ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Kinyume chake huko ndio tuyatumie kwa kujifunzia. Yaliyo wasaidia tuangalie tuyatumieje yatusaidie hasa kuondoa 'ibada' ya rais mungu mtu.Mifano ya Marekani iliyopata uhuru 1776?
Si Haki kutoa kifano ya Mataifa makongwe kama haya
GM!
Majimbo yote yatachangia kwenye serikali kuu. Majimbo yataongeza ubunifu kwenye kilimo, utalii na mengine. Majimbo yatasimamia matumizi bora ya rasilimali kwao na kwenye serikali kuu tofauti na sasa. Huo ndio uzalendo wa kweli na sio wa kujipendekeza kwa miungu watu.Hicho ndio.nakichukia mimi!!
Huu ni ubinafsi.
Huyu anaeishi sehem isiokua na maligafi ataishije?
Halafu mtu wa ainayako utajiita MZALENDO?
NDIO, wasiotaka kukosolewa wanamuwinda kama panya.Lissu yupi, yule mtanzania anaishi Ubelgiji?
Jifurahishe halafu pia wajulishe namba yako ya simu.tuombe samahani watanzania Lisu sio mtanzania ni mbelgiji
wewe kama uko kwenye mwanga ulitaka lissu uungane nae kwenye ushoga?useless kushindwa uchaguzi kwa figisu ndio usema haitaji akili kubwa? wew bado akili ndogo tuu bado uko gizani
Waliomlinda wakati wote wa Kampeni hadi akawa anawasifia, sasa ameshindwa wameanza kumwinda tena? Ana pesa nyingi alikuja nazo wanataka kumnyang'anya au?NDIO, wasiotaka kukosolewa wanamuwinda kama panya.
Hong Kong na Macau sio majimbo ya china ni autonomy areaHayo mambo ya majimbo kwa Afrika bado sana. Tizama, Ethiopia, Nigeria na hata hawa majirani zetu wanafiki wanaowasaidia upinzani kutaka kuleta fujo kote wote hiyo siasa imeonesha madhaifu makubwa sana.
Angalia na huko China Jimbo la Hong Kong linawatesa sana Serikali kuu ya China. Hasa ukizingatia kuwa USA, UK nao wanatia mkono wao mweusi kuendeleza fujo huko.
Tuache HIZI mbwembwe uchwara za mtembezi , mtembeza bakuli na vibaraka wenzake ; Tanzania Tudumishe Umoja wetu na Utaifa wetu.
Rais wa Tanzanaia ni Mhe Dr. Magufuli
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais Dr. Magufuli
Hong Kong na Macau sio Jimbo ni autonomy areaHayo mambo ya majimbo kwa Afrika bado sana. Tizama, Ethiopia, Nigeria na hata hawa majirani zetu wanafiki wanaowasaidia upinzani kutaka kuleta fujo kote wote hiyo siasa imeonesha madhaifu makubwa sana.
Angalia na huko China Jimbo la Hong Kong linawatesa sana Serikali kuu ya China. Hasa ukizingatia kuwa USA, UK nao wanatia mkono wao mweusi kuendeleza fujo huko.
Tuache HIZI mbwembwe uchwara za mtembezi , mtembeza bakuli na vibaraka wenzake ; Tanzania Tudumishe Umoja wetu na Utaifa wetu.
Rais wa Tanzanaia ni Mhe Dr. Magufuli
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Mbariki Rais Dr. Magufuli
Vijana wa ccm wanajua ukija mfumo wa majimbo zile nafas zao wanazozipigania kila uchwao za ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa, wakurugenzi hazitakuwepoKwa maana iyo unamaanisha nchi zote zenye majimbo zina vita???? Kweli umenyimwa akili wewe.
Unajua nchi ngapi zina mfumo wa majimbo duniani??? He zote zina vita??? Ujerumani kuna vita??? Ubelgiji kuna vita??? Marekani kuna vita??? South Africa Je???
Hizi propaganda zenu mlifanikiwa kuwadanganya Babu zetu na wazazi wetu , kwa kizazi hiki cha teknolojia na chenye exposure mtaishia kuaibika tu!!
Marekani zimeungana nchi ndo maana inaitwa United States of America, naunga mkono Sera ya majimbo kwani kila kiongozi anakuwa ni wa kuchaguliwa kwenye boksi la kura na siyo ule wa kuteuliwaMifano ya Marekani iliyopata uhuru 1776?
Si Haki kutoa kifano ya Mataifa makongwe kama haya
GM!
Wachekesha kweli weye.Huyu mtu inasemekana hadi alikuwa anawasilana na IGP Simon Sirro, kipindi chote cha kampeni zake; hili la kuwindwa kwa nini hakufanya hivyo?
zanzibar mmeigawaje... zanzibar ni kama JIMBO LA ILALA lakini tuambizane kuna wabunge na majimbo mangapi.. hapo ndo utajua kuwa hujuiMkuu hayo ni Majimbo au Mikoa!
Mbona Burundi ni ndogo kuliko Mkoa wa Morogoro halafu Majimbo nane
Sasa kila Jimbo Lina Mikoa mingapi?
China wana majimbo, Canada wana majimbo, Kenya wana majimbo, USA nayeMataifa yote yanayoendesha serikali zao kwa mfumo wa majimbo ndiyo yanaongoza kwa maendeleo. Kanusha nikupe facts!
Mmmmmh mkuu Burundi hawana majimbo. Rwanda hawana majimbo, sasa wewe ukisikia mkoa ama jimbo la uchaguzi unajua ni political province, hapana kumbuka pia mkoa unaweza kuitwa jimbo kwa namna yake, lakini majimbo tunayoyazungumzia hapa ni maeneo yenye utawala wake wa ndani.zanzibar mmeigawaje... zanzibar ni kama JIMBO LA ILALA lakini tuambizane kuna wabunge na majimbo mangapi.. hapo ndo utajua kuwa hujui
Lissu kashindwa kuwashawishi watanzania kuhusiana na huu upuuzi wa majimbo sasa kaamua kwenda kukaa pamoja na EU ilimradi tu ni dalali wa kimataifa.Kwa wale wa CHADEMA iliyokataliwa na Watanzania nawashauri wafuatilie kinachoendelea Ethiopia. Sera za majimbo alizokua anazipigia chapuo Lissu ndio hizo huko Ethiopia zimesababisha serikali ya Taifa Addis Ababa kuingia vitani na Serikali ya jimbo lake la Tigray. Jimbo lina Rais lina Bunge lina jeshi lake hayo ndio Lissu anataka kutuletea.
Wakati Ethiopia wanatamani wangekua na umoja kama sisi Lissu anatamani tuwe sio kitu kimoja kama Ethiopia. Ethiopia wana majimbo kutokana na kuendekeza tofauti zao za kikabila sio kwa mapenzi ya utaifa wao.
Umajimbo ni rahisi kusambaratishwa Taifa na maadui kuliko kuwa Serikali moja imara yenye mikoa na wilaya zilizo na uwakilishi imara kwenye Serikali kuu. Hakuna kitu hatari kwa umoja wa kitaifa kama kuwa na majeshi ya kivita yanayomilikiwa na mamlaka tofauti kwenye nchi moja.
Zanzibar kwa maana ya unguja na pemba ipo sawa na jimbo la ilala!!!zanzibar mmeigawaje... zanzibar ni kama JIMBO LA ILALA lakini tuambizane kuna wabunge na majimbo mangapi.. hapo ndo utajua kuwa hujui
ndo mana nimesema utaua huui...Zanzibar kwa maana ya unguja na pemba ipo sawa na jimbo la ilala!!!
Ama kweli utajua kama hujui
Hivi nyie watu hizi propaganda za kipuuzi mnamdanganya nazo nani siku hizi?
Mbona hutolei mfano serikali za majimbo za Marekani?
Ethiopia vita zao ni za enzi, nyie endeleeni kumdanganya Awafu mpate ug
Nahici wewe Ndo I utakua uwelewi chochote kuhusu Sera za Majimbo na uanzishwaji wake