Sahii kabisa,Wengi wamekushangaa kusema unajenga kila mwaka lakini its possible hasa rental units. Kuna twin two-bedroom units nilianza mwaka jana mwishoni i think, sasa hivi nafanya finishing.
Plan yangu niimalize ndani ya mwaka then nianze ingine. Na niko ndani ya muda niliopanga. Rental units hazina mbwembwe full basics ila smart.
Kujenga hainaanishi ushakua don,Kaka wewe ni Don nikopeshe mtaji kidogo
Hebu tafadhali weka floor plan ya hii nyumba yakoyeah , kama walivyoshauri wadau huipaswi wakati unajenga kutumia mbaka pesa ya akiba inabidi uende taratibu.
- mwaka jana nilianza kumwaga mawe , nikaja msingini na kujenga kiti .nikatulia
View attachment 2323760
- Mwaka huu , mwezi watu nikaanza simamisha kuta nusu nikatulia ilipofika mwezi wa sita nimemalizia kozi zilizobaki, kwasasa nimetulia napiga hesabu namna ya kupiga linta sina presh maana still plan zangu zipo ndani ya muda
- incase mungu akinijalia uzima kufikia mwezi wa kumi na moja ntakuwa nishamaliza na linta na kumalizia kozi za juu zilizobaki . Ila mbaka mwakani mwezi wa saba najua ntakuwa nishapaua kabisaa.
View attachment 2323760
- hii picha chini inaonesha nilipokwamia kwa sasa najua ntatoboa tuu lazima nimiliki mjengo wangu lazimaaa
Unauza ndaga au?Nmeanza ujenzi 2011-
nikajenga nyumba yangu ya kwanza ya kuishi (3 bedrooms,kimoja master),
mwaka 2013 nilipofulia nikaiuza nikarudi kupanga.
Nikafata 2014,
Nikajenga nyumba ya biashara (fremu 2+ godown 1)
Nikaja 2015
Nikajenga nyumba nyingine ya kuishi,
(5 bedrooms, viwili master)
Nikaja 2017
Nikajenga nyumba ya biashara
(Vyumba 10,vyote master)
Nikaja 2018,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self- ziko 3)
Nikaja 2019,
Nikajenga nyumba ya kupangisha
(Chumba na sebule self-iko 1, na chumba single self-iko 1)
Nikaja 2020
Nikanunua pagale la
Vyumba 2 na sebule self (HAIJAKAMILIKA BADO)
Nikaja 2021
Nikaongeza chumba na sebule hazina self- ziko 2
Mwaka huu,
Nnaujenz wa mdg wa nyumba 3
-nyumba 2 nazijengea fensi kuzunguka,
na nyumba 1 nnazoezi la kuinua kuta ili ipande hewan, kufunga gypsum board na kuiwekea tiles ili niipangishe kwa Ela ya juu kdg.
Ujenz bado unaendelea.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofali za kuchoma na za block zinatofautina sanaUzi wa matajiri huu, majobless hawagusi huku kwa moto[emoji23][emoji23].
Anyway, before ujenzi hakikisha kabisa unajua nn unataka kufanya.
Usikurupuke ktk ujenz.
First of All juwa unahitaji nyumba ya aina gan, una bajeti gan in your hand, pia jua gharama kuanzia msingi mpaka finishing.
Hakikisha unamtafta mtahalamu wa ujenzi akupe full information ya ujenzi kuanzia aina ya ramani, eneo la ujenzi, vifaa vya ujenzi na bei zake, pia gharama za mafundi na ubora wao, bila kusahau muda muafaka wa kukamilisha ujenzi kwa mafundi wanapopewa kazi.
Pia hakikisha unapewa alternative ways za ku avoid gharama za ujenzi, mfano kwa kutumia baadhi ya materials cheap badala ya zile higher price, pia mbadala wa materials mfano kwa baadhi ya mikoa nchin unaweza tumia tofari za udongo za kuchoma badala ya tofali za blocks ambazo ni gharama,
let's say ujenzi wa nyumba mpaka kukamilika ni tofari elfu4, so piga hesabu 1block= 1000Tsh, so 4000blocks will be 4millions[emoji23][emoji23]asee gharama za bati hizi, lkn kama unge avoid kwa njia mkato utanunua tofar za kuchoma zile za 100/200Tsh per one, ambapo kama idadi 4000 basi itakuwa 100×4000 = 400,000Tsh[emoji23][emoji23] ela ndogo sana ambapo unaweza ongezea na zingine za fensi,
Kamwe usijenge kwa kufuata mkumbo, nyumba ni nyumba haijalishi imejengwa kwa tofar gan, lamsingi tutakutana kwenye Finishing[emoji23][emoji23].
Pia hata ktk bati, kama unaona kabisa bajeti haitosh basi usisite kuachana na msouth kamatia bati hiz hizi za kawaida na zipige rangi moja TAAAM ambayo itazuia bati kuchakaa haraka pia kuleta muonekano mzuri.
Mengine jiongeze.
Kamwe usikurupuke kuanza kutafta mafund wakat hujui bei ya siment wala nondo na hujui gharama halali za mafundi ktk level mbalimbali ktk ujenzi.
Na hakikisha huyo mtahalam ama fundi aliyekupa hizi infor hahusiki na ujenzi bali ushauri tu, epuka kupigwa.
Baada ya kujua yote hayo sasa jipange na mahela yako utajua unaanzaje ujenzi awamu kwa awamu kulingana na bajeti yako tena kwa muda sahihi,
Hamna mbao za Mti pori za 2x6..? 12ft2*6 fut12=8000
Napokea maana mimi ni mmoja wapo.Unaweza kufa na nyumba ukaacha hapo, otherwise jenga bila haraka, kwa awamu na taratibu uta enjoy
Ukifikia level vitu vya kingereza uwiiiiii ni stress juu ya stress hasa kama unafosi nyumba kuisha na budget yako ni ndogo
Hongereni watu mnaomiliki mabangalooooo
Hongereni mnaomiliki ghorofa
Sitaki kuwakatisha watu tamaa lakini kujenga sio laisi labda kama unajenga kibanda … mimi nilikuwa mmoja wa watu wanaofikilia hivyo hadi nilipoanza kujenga nilikuwa na Zaidi ya mil 110 yote imekwisha na nyumba bado sana ndio kwanza nimefunika zege la ghrofa ya kwanza nyumba ya 5bed rooms ghrofa moja na kisehemu cha kupunzikia juu . So kama unataka kujenga nyumba standard jipage .
Hata 30m unajenga inategemea unataka nyumba ya namna ganiKwahiyo unataka kuaminisha uma kujenga nyumba ya kuishi ni lazima uwe na milioni 100+?
Uko sahihi sana.Sitaki kuwakatisha watu tamaa lakini kujenga sio laisi labda kama unajenga kibanda … mimi nilikuwa mmoja wa watu wanaofikilia hivyo hadi nilipoanza kujenga nilikuwa na Zaidi ya mil 110 yote imekwisha na nyumba bado sana ndio kwanza nimefunika zege la ghrofa ya kwanza nyumba ya 5bed rooms ghrofa moja na kisehemu cha kupunzikia juu . So kama unataka kujenga nyumba standard jipage .
[emoji120]Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.
Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,
Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi
Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Niko Dar mzee nataka ya vyumba vinne haijalishi bajeti gani ila napiga mpaka bati then narelax coz nyumba nilipopanga pazuri na nalipa ndefu miezi sita.
Safi yaani sina wasi najenga coz ninatarajia mwakani mwisho nioe mpaka nikioa niwe nishafika kweny bati halafu naishi na mke nyumba ya kupanga mwaka au mwaka na nusu nahamia kwangu..it's my plan
Kama unataka kujenga kibanda sawa lakini nyumba standard ni Zaidi ya Mil 100.. Nondo tani moja ni 2.6 milioni , lori la mchanga 280000 , cement ya msingi na kuanzia at least mifuko mia , bado tofali bati ,Mbao madirisha , milango nk . Acha kusikiliza watu ujenzi ni gharama sana .Hata 30m unajenga inategemea unataka nyumba ya namna gani