REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Unapelekwa viwanja vya mbali kwa sababu pesa yako haitoshi na unalazimsisha viwanja vya pesa ndefu ushauri wangu nunua hivyo hivyo vya mbali utakuja tushukuru badae maana hata hapo posta unapopatamani kuwa karibu napo kuna watu walikuona mbali miaka ile do nenda uko mbali kapabadilisheMi sina stress coz sijachoka kupanga halafu sina familia yaani msela tupu ningeanza hata mwaka huu sema nabagua viwanja nataka cha kigamboni karibu na niwe na access ya kufika post mpaka kariakoo ... Vya mbali sana sitaki
Viwanja vipo hapo Kigamboni kwa Mkorea(kuna chuo cha Wakorea) 5km from Ferry na 3km from Darajani. SQM moja 35,000/-Unapelekwa viwanja vya mbali kwa sababu pesa yako haitoshi na unalazimsisha viwanja vya pesa ndefu ushauri wangu nunua hivyo hivyo vya mbali utakuja tushukuru badae maana hata hapo posta unapopatamani kuwa karibu napo kuna watu walikuona mbali miaka ile do nenda uko mbali kapabadilishe
Sio posta kabisa yaani pawe karibu kutoka posta kwa kigamboni mfano km 12 mpaka posta kiwanja kigamboni.Unapelekwa viwanja vya mbali kwa sababu pesa yako haitoshi na unalazimsisha viwanja vya pesa ndefu ushauri wangu nunua hivyo hivyo vya mbali utakuja tushukuru badae maana hata hapo posta unapopatamani kuwa karibu napo kuna watu walikuona mbali miaka ile do nenda uko mbali kapabadilishe
Binafs ujenz wangu huwa na wa papo kwa papo, miez 3 nyumba imekamilika naendelea na ishu nyngn
Ujenz wa mda mrefu unanikera Sana, maana unakua kila Mara unaenda saiti kuzika ela.
Bora upasuke HARAKA afu uachane nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna huyu jamaa mm ndiko na nunua Cement na nondo. Bei iko vzr mnooo
Kujenga jitahidi kubana matumizi kwa vyovyote. Kwa ss natafta chaka la kupata material ya finishing. Tena ya kisasa najua nitapata tu. Maeneo ya tabata,tazara na industry area keko. View attachment 2324749
Huu Uzi jamani mtaje na gharama nafuatilia sana maana nataka kuanza mwakani inshallah .
π€£π€£π€£Umkute na kijaa chumbani kwako dah hyo kesi ni balaa lazima mmoja afe.Anza tu mkuu
Akili itajigeuza kutokana na mazingira yake
Mwenyewe hapa kg zinashuka tu[emoji16][emoji16]
Afu nije niowe mtoto wa mtu anisumbue akili namuuwa
Mkuu usiongeeπ€£π€£π€£Umkute na kijaa chumbani kwako dah hyo kesi ni balaa lazima mmoja afe.
Hesabu zako zipo sawa kabisa. Nimetumia 30 Milion kuanzia msingi hadi kupaua nyumba vyumba vitatu.Ok
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.
Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,
Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi
Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Mkuu andaa hiyo hela, huyo jamaa sio muongo. Mimi binafsi nimetumia milioni 30 kuanzia msingi hadi kupaua. Hesabu zake ni halisia sanaNaandaa 30mil
Mkuu andaa hiyo hela, huyo jamaa sio muongo. Mimi binafsi nimetumia milioni 30 kuanzia msingi hadi kupaua. Hesabu zake ni halisia sana
Kuwa makini usinunue mali za wizi, hutafika mbali sana au zinaweza kukuzingua mbeleniKuna huyu jamaa mm ndiko na nunua Cement na nondo. Bei iko vzr mnooo
Kujenga jitahidi kubana matumizi kwa vyovyote. Kwa ss natafta chaka la kupata material ya finishing. Tena ya kisasa najua nitapata tu. Maeneo ya tabata,tazara na industry area keko. View attachment 2324749
Labda ujenzi wa Wilaya ya Mufindi tena vijinini huko na bado haitoshi maana kupaua tu material bila fundi lazima itakuwa zaidi ya 6M kwa bati ya geji 30.Mbona kuna mwamba amesema katumia milioni 6 na laki 8 nyumba imara kama chuma nyie wengine hizo milioni 30 mnajenga kwa WhatsApp nini?
Achana na stori za vijiweni wwMbona kuna mwamba amesema katumia milioni 6 na laki 8 nyumba imara kama chuma nyie wengine hizo milioni 30 mnajenga kwa WhatsApp nini?
Kweli kabisa hawa mafundi wetu bwana lazima upige mahesabu mwenyewe.Siyo kwamba unakuwa huna akiba
Fundi anakuja anakwambia kwa kuanza leta matofali buku yatatosha kwa mfano, nunua na cement mifuko 50 wewe unanunua kila kitu
Wanaanza na hela yao ushAbageini mpak kwenye level flan
Hiyo level haijafikiwa tirio linaisha labda cement au tofali mfano
Kibongo bongo ndo pale tunapojikuta tumeitumia na akiba kwa sababu makadirio ya mafundi wengi hayako realistic na wengi wanapenda kupunguza vitu ili umpe kazi uko mbele sasa unaambiwa ogeza hiki, ongeza kile dah ni huzuni kwa kweli
Kipo wapi hapo kigamboni na bei yake?Hapana upigwi mkuu,kimepimwa,unaenda kutembelea nakupa hati unafatilia uhalali wote
We kweli upo site !!πππ
Vitu vya kiingereza... Blandering, skimming, plaster etcπ
Ujenzi si lelemama.
Sometimes i wish watu wa Nhc, wangekuwa wanajenga kwenye makazi ya kawaida ya watu kulingana na ramani ya mtu husika, then tunawalipa robo tatu au nusu. Robo ya gharama au nusu nyingine unalipa polepole.
Kuna watu kweli wanapata kiharusi (stroke) kwasababu ya ujenzi wanadhani ni kurogwa kumbe stress za ujenzi.
Na ukimpata fundi mwenye mawenge ndio balaa hatari. Anakutajia vifaa vingi ambavyo havitumiki vyote au anachanganya cement ratio isiyo sahihi., na ile inayomwagika chini haangaiki kuizoa.
Misumari ikidondoka kama hakuna wa kuokota imekula kwako. Bati au mbao zinakatwa vipande vipande bila mpangilio anajua una hela.
Hizi gharama za mkoa gani!??,ziko juu mnoo. Poleni sanaOk
Kama una kiwanja sawa
Foundation andaa milion 4 (settings ya kiwanja laki 3, mawe trip 15 za cum 4.5 @110,000. Mchanga trip 5@120,000, nondo 50@26,000. BRC, cement 50@16,000 na tofali 1500 na ufundi.
Pagale tofali 3000@1200, nondo za linta 40, cement 80 au 100 ukimimina na nguzo za verandah,
Mbao za Kenchi ukiwa na milioni 2.5 na bati 130 kutegemea na grade andaa milioni 4.5 kwenye bati na ufundi
Kwa haraka haraka msingi hadi kuezeka sio chini ya milioni 25 hadi 30 kutegemea na eneo na uaminifu wa mafundi.
Sasa Mkuu hii si ya msingi tu. Na haitoshiIla Mafundi wana majibu yao yanakatisha hadi tamaaa.... umejipanga na kamilioni 2 kako alafu Bwana Fundi anasema NGOJA TUANZE NA HII MILIONI 2 ALAFU TUONE ITAISHIA WAPI.....wakati wewe umejipinda kweli kweli kuipata hili Hela
huu mwaka wa 6 nna Jenga! ha ha ha haaa....daah mpaka hapa napojenga wanaita "pale kwenye lijumba kubwa la zamani lileee kwa mbele yake" km mtu anaagiza jambo ha ha ha haaaHutakiwi kujenga hadi umalize pesa ya akiba yote, tenga akiba yako kwaajili ya dharura yoyote utakayo tokea alafu hela utakazo pata nje ya akiba yako ndo utupie yote kwenye ujenzi ukiona tu ujenzi unataka kugusa kiasi cha akiba ulicho panga kuwa nacho sitisha kwanza ujenzi, maana dharura zingine huwa zinakuja bila taarifa Kama utamaliza akiba Basi utajikuta umeingia kwenye madeni makubwa na hata hiyo nyumba inaweza kukushinda kabisa
Unaweza ukawa huna pesa nyingi ila ukijiwekea utaratibu wa ujenzi usiguse hela yako ya akiba niamin aise utajenga kwa raha sana usione aibu kusitisha ujenzi hata kwa miez 6 ikiwezekana jisahaulishe kabisa ili tu usiguse akiba, ukiweza hizo mbinu utajenga kama tajiri na bila maumivu na muda mzuri wa kujenga ni wakat ukiwa huna familia kubwa, unaweza kuanza kujenga taratibu kabla hata hujaoa