Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

Haya maendeleo yote yalifanyika kwa asilimia kubwa kipindi cha utawala wa Ujerimani kwa kua ndio ulikua mji mkuu wao wa utawala.
 
Tanga ndio sehem shirika la ndege uingereza British Airways walikua na route kila week. Tanga- Britain. Mjeruman tanga aliipanga haswa.na ilikua sehem moja muhim sana kiuchumi zao la mkonge lilitajirisha matajiri wakubwa wakubwa mfano karimjee jivanjee walikua na estates za mkonge. Ni masikitiko makubwa yalioje
 
Tanga inaongoza kwa watoto wakali maana akili yangu huwaza hayo tu
Tz nzima Tanga ndiyo kuna watoto wakali hilo halina ubishi wala.....wambulu nao wazuri shida yao hawawezi fikia matunzo ya watanga.....

Dada zangu wakichagga nisiwasahau wapo top 5 five Tz hii.....πŸ˜…

1. Tanga na wapare
2. Mbulu na singida zone mpaka kondoa.....
3. moshi na arusha.
4. Wanyakyusa na wangoni, wana mishape.
5.Wasukuma wana mashape ya asili Og.
6.
7.
And list goes mpaka mwisho tuwakute wagogo πŸ˜…
 
Mods kuna kitu sielewagi hata kidogo!

Kwanza unakuta uzi niliusoma muda tu lakini siku unaukuta eti unasomeka kwamba umepostiwa jana (yaani mpya)

Pili uzi wa zamani eti unakuja kufanywa ni komenti (unaunganishwa) kwenye uzi wa jana hapo
 
Hivi ile documentary ya mama na tanga imo?
 
Kumbe wewe ni dume, eti ukienda na demu mpaka uonyeshe cheti, ninazidi kuijua tu midume inayojifanya midemu humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…