Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Hahahahah huyo kaka hajielewi hata ningekuwa mie ningemshushia ujumbe asingerudia tena salamu zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biti tu ukijitahidi utauliza nafanya kazi ganiNgoja nikufuate huko PM alafu uwaletee mashost wenzio mrejesho🙂
(Teh nasikia wengine huwa kila kitu mnajibu kwa emoji tu, na me nakujibu)Baada ya kukujibu ndio nikaligundua hilo lol!!
Good morning, umeamkaje? Kwema lkn? Vipi mwezi haujapatwa huko?
Sasa unakuta maswali kibaoo, ukijibu moja lingine linafuata, inabidi urahisishe kazi ni mwendo wa emoji tu, emoji zinasaidia kumuonyesha mtu kuwa yo bored.(Teh nasikia wengine huwa kila kitu mnajibu kwa emoji tu, na me nakujibu)
[emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji57] [emoji57]Sasa unakuta maswali kibaoo, ukijibu moja lingine linafuata, inabidi urahisishe kazi ni mwendo wa emoji tu, emoji zinasaidia kumuonyesha mtu kuwa yo bored.
Teh Teh..niambie, upo poa lakin? Mishe vip? Kitaa hawajamb? Haya nipe michongo.cute b nipe story.
Teh teh teeeeh!!Teh Teh..niambie, upo poa lakin? Mishe vip? Kitaa hawajamb? Haya nipe michongo.
NimeifungaNaomba nije inbox
PoleeYani we mrembo ujue wautesa sana mtima wangu...
HahahhhNilichoka ujuee,saa ingine unadhani sms ya MPESA kumbee unauliza uko poa,upo shwari,za weekend vipi ,upo wapi,unafnya nini khaaaaa
Umepotea? Ulikuwa wapi? Kitambo, za kutukimbia? Hauonekani, umetugayaTeh Teh..niambie, upo poa lakin? Mishe vip? Kitaa hawajamb? Haya nipe michongo.
That is no 1 principleMake your intentions clear from the beginning, don't get friendzoned[emoji2][emoji2]