Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

Hata ufanye jitihada kiasi Gani, hakuna namna ya kuweza kumfanya mwanamke aridhike ikiwa hayuko tayari kwa ilo. Hata hao unaowaona wametulia, sio kwamba wanaridhishwa, bali wameamua tu kutulia.

Na katika hii Dunia, satisfaction is myth. People will always want more.
Huwa nawaangalia na kuwahurumia watu wanaodhani kuwa wana power ya kutuliza watu wengine.

Yani wewe mtu mmoja unaweza kumfanya binadamu mwenzio asipate hamasa ya kujaribu vitu vipya na mamilioni ya watu anaowana na kupishana nao njiani.

Binadamu hatulizwi kwa sababu hatosheki Ila yeye mwenyewe anaamua kutulia kwa kuridhika
 
Huwa nawaangalia na kuwahurumia watu wanaodhani kuwa wana power ya kutuliza watu wengine.

Yani wewe mtu mmoja unaweza kumfanya binadamu mwenzio asipate hamasa ya kujaribu vitu vipya na mamilioni ya watu anaowana na kuposhan njiani.

Binadamu hatulizwi kwa sababu hatosheki Ila yeye mwenyewe anaamua kutulia kwa kuridhika

Kuridhika hakumfanyi mtu atulie. Bali kuamua kutulia ndio kunamfanya mtu atulie.
Mtu anaweza kuridhika na mkewe/mumewe lakini bado akawa hajatulia
 
Kwa Mabandiko haya ni dhahiri kuwa WANAWAKE WANAITAWALA DUNIA.

Mwanamke anaonekana ni kiumbe dhaifu lakini Deep Down anawaendesha wanaume kama Magari.

KONGOLE KWENU WANAWAKE, MAANA VIJANA WANAHANGAIKA KILA UCHWAO KUWARIDHISHA NA KUWATUMIKIA.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue

Watu waliokuzaa na watakaozaa watoto wako lazima uwatumikie.

Wanaojifanya hawawatumikii kwa kusema wanawatumikia kwa vitendo ndio maana kila unayemuona anahangaika kutafuta maisha ni kwaajili ya familia yake
 
Sex inapewa uzito kuliko jambo lolote Mkuu, ndio maana anguko kubwa la Waafrika wengi ni Ngono.

VIJANA WANAHANGAIKA KUWARIDHISHA MABINTI AMBAO WAMESHAFANYA KILA AINA YA UHUNI KWENYE MAPITO YAO (INASIKITISHA SANA).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue

Bila sex hakua yeyote hapa angekuwepo.
Hiyo tosha haitoshi kukuambia ukubwa wa jambo hilo?
 
Kuridhika hakumfanyi mtu atulie. Bali kuamua kutulia ndio kunamfanya mtu atulie.
Mtu anaweza kuridhika na mkewe/mumewe lakini bado akawa hajatulia
Kuridhika nimekuongelea katika angle ya kujua kuna possibility ya kupata kilicho bora nje au hata hamasa ya kupata mshawasha wa kitu kipya Ila ukazishinda tamaa na kuamua kuridhika na unachokipata.

So, mtu anaweza kutulia pamoja na madhaifu yako kwa sababu ameamua kuridhika na unachompa. Sio kwamba katoshelezwa kwa 100% kiasi cha kutotamani ladha mpya Ila kaamua kuridhika na kutulia
 
Kwenye mapenzi kumkojoza Mwanamke ndio kumridhisha. Factors zingine zikiwa constant
Ukisema hivi, unalifanya bandiko Lako kuwa batili mkuu. Ni sawa na mwingine aseme "kumridhisha mwanamke, ni kumpa pesa anazohitaji. Factors zingine zikiwa constant".

Nilitarajia utwambie kitu kinachomfanya mwanamke aridhike, ambacho kinajisimamia chenyewe bila kutegemea vingine, tofauti na hapo, nacho hakitoshi.
 
Kuridhika nimekuongelea katika angle ya kujua kuna possibility ya kupata kilicho bora nje au hata hamasa ya kupata mshawasha wa kitu kipya Ila ukazishinda tamaa na kuamua kuridhika na unachokipata.

So, mtu anaweza kutulia pamoja na madhaifu yako kwa sababu ameamua kuridhika na unachompa. Sio kwamba katoshelezwa kwa 100% kiasi cha kutotamani ladha mpya Ila kaamua kuridhika na kutulia

Mwanamke hawezi kutulia ikiwa humkojozi huyo Mwanamke hayupo na hajaumbwa.

Waulize, wapo humu.

Wanawake sio kama sisi wanaume. Ingawaje kama alivyosema mdau hapo juu wapo wachache Exceptional ambao ndio huitwa Malaya wasioridhika na mwanaume mmoja hata kama unamkojoza.

Narudia, hakuna Mwanamke atakayekuvumilia n kutulia wakati humkojozi huyo hayupo.
 
Back
Top Bottom