Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Mnajidanganya. Mwanamke hafikishwi kileleni mpaka yeye mwenyewe awe tayari.
Haijalishi ni nani, mnajiumiza bure kwa madawa.
Na anakuwa tayari kwa yule mwenye hisia naye.
Madawa tutaendelea kuyatumia kwa sababu yapo kwaajili hiyo.