Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako


Nimezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri.
Mwanamke mpaka akojoe jua anahisia na wewe(karidhika na wewe)
Hiyo ndio factor kubwa.
 
Huwezi kumridhisha mtu ambaye hayuko tayari kuridhika.

Satisfaction comes from inside, and not otherwise. Ndio maana yupo anayepewa zawadi ya ua, atashukuru kama kajengewa nyumba. Ila mwingine utamnunulia simu, still aone sio kitu
 
.
Umefanyia research au unaongea tu.

Unadhani wanawake wote waliotulia wanafikishwa hasa kwa zama hizi ambazo, unaoa while unalinganishwa performance hata na wanaume watano!!

Na unadhani ndoa zote hizi mjini watu wanakiwasha lie ile kama wapo kwenye uchumba !!

Na kingine kama unawaelewa binadamu hakuna kitu kama general rule. Kitu unachokiona hakiwezekani kwa wenzio kinawezekana
 
Huwezi kumridhisha mtu ambaye hayuko tayari kuridhika.

Satisfaction comes from inside, and not otherwise. Ndio maana yupo anayepewa zawadi ya ua, atashukuru kama kajengewa nyumba. Ila mwingine utamnunulia simu, still aone sio kitu
Sawa kabisa mkuu πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎ
 
Nimezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri.
Mwanamke mpaka akojoe jua anahisia na wewe(karidhika na wewe)
Hiyo ndio factor kubwa.
Heading imezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri, ila content za Uzi umegusia vingi.

Na kama hiyo ndio factor kubwa, mara ngapi mahusiano yanavunjika sababu ya hela?
 
FaizaFoxy
Comment yako hapa tafadhali
 
Kukojoa kwa mwanamke ama mwanaume ni hisia, Wanawake wa sasa asilimia kubwa wanawaza vikoba, wanatumia dawa za kupanga uzazi , wanatumia madawa ya kujichubua ngozi, wengi wana stress za maisha. Hayo yote yanasababisha sex homoni kushindwa kubalance hivo kuwa vigumu kufikia mshindo,na wengi wanaekiti ili kukuvimbisha kichwa ili uonekane shughuli umeiweza ili utoe pesa ya maana.utajisifia unamkojoza kumbe anaekiti ili malengo ya kibunda yafikiwe.
 

Mwanamke unayemkojoza usimtazame wakati wa tendo bali baada ya tendo.
Kwenye tendo anaweza ku-act lakini baada ya tendo hawezi ku-act
 
Huwa hakuna muafaka (concensus) kwenye hili.

Kuna wanaosema kibunda cha mpunga tu kinamkojoza, wengine wanasema kuzama chumvini, wengine kukaa kifuani muda mrefu (hapa ndo kuna waumini wa mkongo), nk..

Pesa inamkojozaje Mwanamke na wewe?
Kule kwa Bushman ambako hawatumii pesa wanafanyaje kukojoza wake zao?

Kanuni ya kumkojoza Mwanamke inategemea na mwanamke mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…