Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Mnajidanganya. Mwanamke hafikishwi kileleni mpaka yeye mwenyewe awe tayari.
Haijalishi ni nani, mnajiumiza bure kwa madawa.
Ukisema hivi, unalifanya bandiko Lako kuwa batili mkuu. Ni sawa na mwingine aseme "kumridhisha mwanamke, ni kumpa pesa anazohitaji. Factors zingine zikiwa constant".
Nilitarajia utwambie kitu kinachomfanya mwanamke aridhike, ambacho kinajisimamia chenyewe bila kutegemea vingine, tofauti na hapo, nacho hakitoshi.
Well said[emoji122]Mnajidanganya. Mwanamke hafikishwi kileleni mpaka yeye mwenyewe awe tayari.
Haijalishi ni nani, mnajiumiza bure kwa madawa.
Huwezi kumridhisha mtu ambaye hayuko tayari kuridhika.Huwa nawaangalia na kuwahurumia watu wanaodhani kuwa wana power ya kutuliza watu wengine.
Yani wewe mtu mmoja unaweza kumfanya binadamu mwenzio asipate hamasa ya kujaribu vitu vipya na mamilioni ya watu anaowana na kupishana nao njiani.
Binadamu hatulizwi kwa sababu hatosheki Ila yeye mwenyewe anaamua kutulia kwa kuridhika
.Mwanamke hawezi kutulia ikiwa humkojozi huyo Mwanamke hayupo na hajaumbwa.
Waulize, wapo humu.
Wanawake sio kama sisi wanaume. Ingawaje kama alivyosema mdau hapo juu wapo wachache Exceptional ambao ndio huitwa Malaya wasioridhika na mwanaume mmoja hata kama unamkojoza.
Narudia, hakuna Mwanamke atakayekuvumilia n kutulia wakati humkojozi huyo hayupo.
Sawa kabisa mkuu ππΎππΎππΎHuwezi kumridhisha mtu ambaye hayuko tayari kuridhika.
Satisfaction comes from inside, and not otherwise. Ndio maana yupo anayepewa zawadi ya ua, atashukuru kama kajengewa nyumba. Ila mwingine utamnunulia simu, still aone sio kitu
Heading imezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri, ila content za Uzi umegusia vingi.Nimezungumzia kukojozwa na kutunziwa siri.
Mwanamke mpaka akojoe jua anahisia na wewe(karidhika na wewe)
Hiyo ndio factor kubwa.
Huwa hakuna muafaka (concensus) kwenye hili.Humu wapo walishaelezaga hayo mkuu. Tafuta
FaizaFoxyMwanamke hawezi kutulia ikiwa humkojozi huyo Mwanamke hayupo na hajaumbwa.
Waulize, wapo humu.
Wanawake sio kama sisi wanaume. Ingawaje kama alivyosema mdau hapo juu wapo wachache Exceptional ambao ndio huitwa Malaya wasioridhika na mwanaume mmoja hata kama unamkojoza.
Narudia, hakuna Mwanamke atakayekuvumilia n kutulia wakati humkojozi huyo hayupo.
Kukojoa kwa mwanamke ama mwanaume ni hisia, Wanawake wa sasa asilimia kubwa wanawaza vikoba, wanatumia dawa za kupanga uzazi , wanatumia madawa ya kujichubua ngozi, wengi wana stress za maisha. Hayo yote yanasababisha sex homoni kushindwa kubalance hivo kuwa vigumu kufikia mshindo,na wengi wanaekiti ili kukuvimbisha kichwa ili uonekane shughuli umeiweza ili utoe pesa ya maana.utajisifia unamkojoza kumbe anaekiti ili malengo ya kibunda yafikiwe.
Mwanaume mradi kitu inateleza piga sugua kwa raha zako akitaka kujikojolea akojoe ni mkojo wake.
Huwa hakuna muafaka (concensus) kwenye hili.
Kuna wanaosema kibunda cha mpunga tu kinamkojoza, wengine wanasema kuzama chumvini, wengine kukaa kifuani muda mrefu (hapa ndo kuna waumini wa mkongo), nk..
Endeleeni kuyatumia si makhanithi.Na anakuwa tayari kwa yule mwenye hisia naye.
Madawa tutaendelea kuyatumia kwa sababu yapo kwaajili hiyo.