TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Sikutegemea hili swali litoke kwako.Sisi tunawapa Marekani return gani kwa misaada wanayotupa!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutegemea hili swali litoke kwako.Sisi tunawapa Marekani return gani kwa misaada wanayotupa!??
Naomba nikuulize swali mkuuKama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.
Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.
Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.
Kama hutaki upinde kaa karibu na urusi.Kama huamini kwamba Kiongozi anatakiwa kuabudiwa, hauwezi kuishadadia Urusi. Kama wewe unaamini kila mtu ana haki ya kuelezea hisia zake bila ya kutishwa na dola, huwezi kuishabikia Urusi.
Kama unataka Kiongozi akiwa madarakani asitumie madaraka hayo kujitajirisha, wewe na Urusi hamfanani. Kama unapenda demokrasia duniani, kaa mbali na Urusi. Kama unachukia viongozi Katili, jitenge na Urusi.
Kama siyo tabia yako kupenda wanasiasa wanaopenda rushwa na wanaozuia kukamatwa, iache Urusi ikae mbali na wewe.
Mfano mmoja mkataba wa gesi, na nasikia wameweka kambi kigamboni baada ya kugundua pande hizo kuna madini adimu sana dunianimkataba gani wa wizi. marekani kakuibieni?
Wew naye akili ndogo hivi unashindwa kujua aisee kazi ipoSisi tunawapa Marekani return gani kwa misaada wanayotupa!??
Gesi wala siyo US ni kusingizia watu uongo tu. Kwa hiyo wametoka huko na kugundua kuna na Serikali haina taarifa? Waafrika tukuona wazungu waamejenga sehumu huwa tunaamini eneo hilo lina madini.Mfano mmoja mkataba wa gesi, na nasikia wameweka kambi kigamboni baada ya kugundua pande hizo kuna madini adimu sana duniani
Mzunvu hawezi kuja kujenga afrika for nothingGesi wala siyo US ni kusingizia watu uongo tu. Kwa hiyo wametoka huko na kugundua kuna na Serikali haina taarifa? Waafrika tukuona wazungu waamejenga sehumu huwa tunaamini eneo hilo lina madini.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
onesha ujinga wake tofauti na hapo wew ndo mjingaSikujua kama wewe ni mjinga kiasi hiki
Urusi anaua wananchi wa Ukraine wala hagusi familia ya Huyo kweny picha , wengj wenu ni mazezeta mnashabikia bila kujua mnashabikia nnKuliko kumtetea rais kama huyu wa ukeaine kwenye picha acha tu niendelee kumtetea mrusiView attachment 2574813
marekan kaitaja wap hapo ? ndio maana nlisema ww ndo mjingaMarekani hana tofauti na mchawi, unamzaa mtoto, unamlea na kumsomesha mwisho wa siku anamla nyama. Usibabaishwe na vimisaada kwani marekani hapeleki msaada sehemu ambayo hakuna returns
demokrasia ni nzur ila waafrika wengi mnataka demokrasia ikupe wewee sauti kuliko mwingine mwishowe mnaishia kuuana badala ya kukomesha ubinafsi wenu mnasingizia demokrasiaMwamposa:"Demokrasia ni sawa sawa na devil gasia
kumbe mnasaini wenyew sasa kwann ulaumu wengine wakati mnasaini wenyew ? jipime akili mkuuTunasainni mikataba ya wizi na kufuata wanayotuambia kama vile kueneza ushoga
kwan Urusi alianza kuua waukraine na majiran zake enz za Zele? hzo akili zenu zmetiwa ganzi sio bureYani dume zima limevaa kimini alafu leo nilitetee
umekaririshwa huna macho kuona kinachoendelea ? vitu vingine mnajitakia tu kuitwa majina ya ajabuWatu tumelishwa matango pori kua marekani pekee ndio anademokrasia wengine wote hawana.Kunaambo mengi ya ajabu sana huko marekani ambayo nikinyume na haki za binadamu na demokrasia kwa ujumla.
ila wanaowatumia mashoga huku afrika si nyinyi wenyew au wanatumiwa na wazungu?Mkuu nakupinga, hayo maswala ya haki haki ndo yanasabisha kuenea kwa ushoga na pia wanawake wanapewa kichwa kujiona wako sawa na wanaume,
nan anawala nyuma hao mashoga ? ni nyiny wenyew , sasa kwann mnawalaumu watu walio nje ya jamii zenu ?Media zinapromote ushoga, we angalia muvi za kutoka marekani nyingi zina maudhui hayo
kuna kati yenu alisimama na hayo mataifa kuyasaidia kama wafanyavyo EUROPE dhidi ya Ukraine , nyiny ni wanafiki na unafik ndo unawauaunataka tuishadadie marekani hii iliyovamia Iraq na kuuwa maelfu ya watu,, iliyovamia Libya na kuua maelfu ya watu Afghanistan, Vietnam etc. Punguza mahaba ndugu,,, kila uchao kufungulia nyuzi za kuiponda urusi utadhani unalipwa vile!!!
Iraq hii hii iliyoivamia Iran na Kuwait ? ndo unaitetea hapa ? na mliisaidiaj Iraq , nakumbuka nchi za middle east zilipiga kura kuunga mkono uvamiznww Iraq , sijui Urusi kule Ukraine alitumia sabab gan kuivamiaLabda nikukimbushe mwaka 2003 kama ulikuwa hujazaliwa, Marekani iliishutumu Iraq kuwa ina silaha za kikemikali, ikabidi watumwe wachunguzi wa kimataifa kwenda Iraq kukagua, na Iraq haikupinga.
Wakakagua hawakukuta hizo silaha wala residuals, wakatoa ripoti kuwa hakuna silaha hatarishi,
Marekani bila sababu yoyote akaivamia iraq, wakaua maelfu
Kuna wakari wanajeshi wa marekani waliua watoto kama wanacheza video games,
ICC ikataka kuwashitaki wakaijia juu kuwa wataiwekea vikwazo.
Urusi kaivamia ukraine kwa sababu ilikuwa ina mu host marekani na ni hatari kiusalama kwa urusi, NI KIPI KINA JUSTIFY UUAJI WA MAREKANI? AU KWA SABABU ALIUA WAARABU?
jitahidi ufuatilie maswala kiundani usipelekwe na mkumbo wa Western media
sasa angefanya kwa mabeberu sio taifa changaIko hv wengi wanaomshabikia mrusi sio kwamba wanapenda anayoyafanya kwasasa,hata wao wanajua sio kitu poa,ila wanashabikia kwasababu tu mrusi kafanya kile ambacho marekani hatak watu wengine duniani wakifanye wakati mmarekani akitaka kufanya anafanya na hakuna wa kumzuia