Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Kuna mmoja huyo ameshindikana.
Yaani kila bar utakayokwenda lazma atafika. Anachokifanya ni kupiga video call kwny group la WhatsApp..ukirespond anaangalia mazingira mliyopo..atawazungukia wrote akirudi kwake kalewa for free.. nowadays tunapiga kitungi nje ya mji kwa kero zake halafu hana aibu hata kidogo atataka umnyweshe,ale kitimoto utadhan demu.
😄😄 Technic ya video call Ni mpya kwangu aisee 😄
 
Hao ndiyo inzi wa kwenye sherehe hasa za uswazi
 
Daah.. kuna Bar hizo wale wahudumu wake wanabaki na chenji.. yaan ukilipa bia za elf 9 ile buku wanaiminya.

Ukilipa msosi wa elf 9500 ile jero hairudi..

Kumbuka akishaminya hela haji tena yeye anakuj mwingine na unampa cash akuletee masanga.. huyu nae anaminya hizo buku buku.. so ukikaa vibaya unakuta umeacha elf 10 Bar.

Hapo hajaja mdandia ofa hapo umchape bia mbili..

Acha ubahili. Uwe unatoa tip
 
Walevi huwa wanashikamana atakunyima pesa lakini sio bia
 
Ila watu wanaoendaga bar kugongea bia wanamatatizo,

Kunammoja nipo na chombo Moja nimechili nayo,"Oya braza daa mwanangu wewe hua nakukubali sana"Kuna k vant ilikua ipo nusu ikabid nimuachie janja
 
Kitu gani kimetokea? Mbona kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu? INASIKITISHA SANA
Kweli kabisa, kila kitu kikizidi hugeuka kuwa ulevi, wewe ni chawa, iangalie hata user 🆔 yako
 
Ila watu wanaoendaga bar kugongea bia wanamatatizo,

Kunammoja nipo na chombo Moja nimechili nayo,"Oya braza daa mwanangu wewe hua nakukubali sana"Kuna k vant ilikua ipo nusu ikabid nimuachie janja
Acheni kuwadekeza
 
Ila watu wanaoendaga bar kugongea bia wanamatatizo,

Kunammoja nipo na chombo Moja nimechili nayo,"Oya braza daa mwanangu wewe hua nakukubali sana"Kuna k vant ilikua ipo nusu ikabid nimuachie janja
Mimi kuna mmoja alikuta nina Redbull na Smirnoff yangu imebaki kama robo hivi, jamaa akashoboka, nipe hii nimalizie.

Nikaimimina yote kwenye glass, nikamwambia tuchange tuagize kubwa. Alaondoka bila kuaga.
 
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?

Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.

Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.

Hutoaibika milele.
Naunga mkono hoja.

Na wengi wanapoteza marinda kwa pombe za mserereko.
 
kuna chawa mmoja wa wcb humu nae inaonekana anapenda sana offa za bure bure uyu apa juu yangu☝️
 
Kuna mmoja huyo ameshindikana.
Yaani kila bar utakayokwenda lazma atafika. Anachokifanya ni kupiga video call kwny group la WhatsApp..ukirespond anaangalia mazingira mliyopo..atawazungukia wrote akirudi kwake kalewa for free.. nowadays tunapiga kitungi nje ya mji kwa kero zake halafu hana aibu hata kidogo atataka umnyweshe,ale kitimoto utadhan demu.
Aisee.
 
Nipe mstari unaosema bia ni dhambi. Ulevi unaweza ukawa hata mlevi wa ngono, kila addiction ni ulevi
Na kuonesha utakatifu wa pombe: Muujiza wa kwanza wa Yesu Kristo ulikuwa kubadilisha maji kuwa mvinyo!
Kwenye quran tumeahidiwa kukuta mito ya pombe huko mahali pa juu palipoinuka! Kifupi pombe imeheshimishwa mno kwenye vitabu vitakatifu
 
Back
Top Bottom