Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Na kuonesha utakatifu wa pombe: Muujiza wa kwanza wa Yesu Kristo ulikuwa kubadilisha maji kuwa mvinyo!
Kwenye quran tumeahidiwa kukuta mito ya pombe huko mahali pa juu palipoinuka! Kifupi pombe imeheshimishwa mno kwenye vitabu vitakatifu
Ohh yeah
 
Sasa sisi kina mama huko peponi tunafikaje?
Twt7xo kubwa ni mwanamke kuto7somq na kuuelewa Uislam.

Uislam, kupitia Mtume Muhamad, ndiyo dini pekee iliyoleta haki kwa mwanamke ambazo alikuwa hana wala hajaziota kabla ya kushwaQur'an.

Leo duniani tunashuhudia kila mwanamke anadai haki lakini haelewi kuwa mwanamke wa Kiislam anazo hizo haki kwa zaidi ya miaka 1,400 sasa.

Jisomee:

 
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?

Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.

Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.

Hutoaibika milele.

Share share Mkuu,sambaza upendo.bia sio kitu Cha kumsimanga mtu.Kama huna sema sina mzee shida Iko wapi sasa.

Kuna siku nilikutana na mwana bar akaaomba nimuungie kweli na akikula maji ya kutosha

Kumbe jamaa ni fundi mzuri tu wa ujenzi.Akaniambia nikipata kazi ya ujenzi nimshtue.nikawa na kazi ya kujenga bada la mbwa.Nikamvutia waya akaja,aiseee ni fundi hatarii afu akanifanyia Bei chee hata bia zangu zilirudi kwa mseleleko ule.Acha uchoyo share share mzeee
 
Share share Mkuu,sambaza upendo.bia sio kitu Cha kumsimanga mtu.Kama huna sema sina mzee shida Iko wapi sasa.

Kuna siku nilikutana na mwana bar akaaomba nimuungie kweli na akikula maji ya kutosha

Kumbe jamaa ni fundi mzuri tu wa ujenzi.Akaniambia nikipata kazi ya ujenzi nimshtue.nikawa na kazi ya kujenga bada la mbwa.Nikamvutia waya akaja,aiseee ni fundi hatarii afu akanifanyia Bei chee hata bia zangu zilirudi kwa mseleleko ule.Acha uchoyo share share mzeee
ACHA KUOMBA OMBA, hiyo sio silka wala hulka ya kiume. Hatufahamiani, unanivaa mezani nikununulie mvinyo, hapana tafadhali
 
Hakim kala tigo ya bodaboda mfakamia pombe huko Arusha
 
Back
Top Bottom