tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Kama hamjuani basi hilo ni TATIZO!Kuna tofauti kati ya kupeana offer na kwenda bar kuvamia watu usiowajua na kuwaomba bia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hamjuani basi hilo ni TATIZO!Kuna tofauti kati ya kupeana offer na kwenda bar kuvamia watu usiowajua na kuwaomba bia
TrueSi tabia nzuri kuombaomba, kama huna hela kunywa maji tu kama samaki uepuke fedheha😀
Hata sinywagi, but I guess if you give me a portion of your milk nita tapika.Ulevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
Una kuwa Kama water buffalo 😄😂Si tabia nzuri kuombaomba, kama huna hela kunywa maji tu kama samaki uepuke fedheha😀
Sasa mwanaume unakosaje kunywa pombe? Hayo maini unatunza ya nini?Hata sinywagi, but I guess if you give me a portion of your milk nita tapika.
👉My favorite enemy
Nina Siri nzito, kazi yake niki kuambia huto amini😄🤒Sasa mwanaume unakosaje kunywa pombe? Hayo maini unatunza ya nini?
Ya kuingilia mbinguniSasa mwanaume unakosaje kunywa pombe? Hayo maini unatunza ya nini?
Aliyesema dhambi nani??Ulevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
OK. I promise you ninakutafuta na nitakupata.Nani atake kukujua wewe kwani we nani humu jf mbwa koko tu ni wewe unayependa mserereko ndio unafanyiwa hiyo michezo, ukiandika upumbavu tunakuchana tu hatuwezi kukuacha maana hatukuogopi yani dume zima unalazimisha ununuliwe pombe, get a Life you son of a bitch [emoji706][emoji706]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kumnyima mtu bia unaanza kujitetea[emoji16]embu nunulia mtu bia bwana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao mabaunsa wengi wao mashoga, hadi list yao ilitolewa
Bora useme, sijui wabongo mindset zao zikoje, wanawaza kila shoga ana njaa, khaaaahUkiwa na hela ndiyo ticketi ya kuwafira wenzako sio?
Mbona kuna mashoga adi wana magari na mijengo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaona unitajee km mfanoo wao? Kwa taarifa yako sasa siendagi bar wala club, na kwa kifupi sina mda na pesa za mwanaume asiyenihusu,Kina cocastic watarajiwa hao...mwanaume unakulaje jasho la mwanaume mwenzio kirahisi rahisi...mwisho wa siku wanakuja kuitwa wajomba maresh
Dada kumbe huwa unalipuka hivi? Sikuwahi note hiki kitu.Acha mikwara ya mende kuangusha kabati unahisi hata ukinipata ndio utakuwa na uwezo wa kunifanya chochote, ningeamua hata sasa hivi kukupa my contacts na location ili usihangaike kunitafuta ungekuja nilipo halafu tungeona ungenifanya nini, kwa bahati mbaya nilishaacha kufahamiana na members wa jf kitambo sana incase ulidhani labda utanifahamu kwa kuja na id nyingine
Wewe ndio ulianza matusi ya nguoni halafu sasa hivi unajifanya umejaa nyongo, kana kwamba wewe ni mstaarabu kumbe mshenzi tu mwenye mdomo mchafu kama choo cha stendi, nitafute kwa njia yoyote unayoijua wewe ukinipata nasema hivi utaanza wewe kabla yangu kubwabwaja hayo matusi yote yaliyokutoka humu
Kila mtu angeamua kuchimba mikwara humu, na kuwaonesha watu yeye ni nani unadhani jf ingekalika, kuwa makini!!
Sasa hapo kakupangia au kakii au ugogo ukiwa bar?Uchoyo na uboya tu, roho mbaya qqmke. Acha wana tujumuike nao. Halafu usipangie wa2 mazee,
Mikwara mbuzi hiiOK. I promise you ninakutafuta na nitakupata.
Usifikiri upo safe sana behind your fake I'd.
Subiri.
Halafu nitakupa nafasi ya kuzungumza yote haya unayoyaandika sasa.
Sasa ukifikiri natania.
Nitakupata tu. I promise you that.
Kumbe ni mwanamke??Dada kumbe huwa unalipuka hivi? Sikuwahi note hiki kitu.