Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Namna hiyo😍. Sio mtu unamnyima mtu dhambi ili ukachomwe moto mwenyewe.Dhambi??? Njoo tule vyomboView attachment 2856765
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna hiyo😍. Sio mtu unamnyima mtu dhambi ili ukachomwe moto mwenyewe.Dhambi??? Njoo tule vyomboView attachment 2856765
Weeee, usiniambie kuna watu wananyima wenzao utelezi. Watu wabinafsi sana😂Hata uzinzi ni dhambi ila mbona mwatunyima
Ni dhambi mkuu. Mshirikishe mwenzako hiyo dhambi usije ukakosa marafiki huko kuzimu.Ulevi wa nini?
Nipe mstariNi dhambi mkuu. Mshirikishe mwenzako hiyo dhambi usije ukakosa marafiki huko kuzimu.
Tukutane jukwaa la dini. Ila uje ukiwa bado haujanywaNipe mstari
Acha ubabaishaji. Unaongelea kunywa nini? Je hujawahi kufika bar, umeagiza maji mtu anakuja kukuomba umnunulie bia? Si rafiki yako na wala hamfahamianiTukutane jukwaa la dini. Ila uje ukiwa bado haujanywa
Hapana
Mkuu acha kunyima wenzako dhambi bhana. Shirikishaneni hizo dhambi.Acha ubabaishaji. Unaongelea kunywa nini? Je hujawahi kufika bar, umeagiza maji mtu anakuja kukuomba umnunulie bia? Si rafiki yako na wala hamfahamiani
Dhambi gani?Mkuu acha kunyima wenzako dhambi bhana. Shirikishaneni hizo dhambi.
Kondoo kapungua uzito wa mkia au bado ananoneshwa na majani mabichi ya huko?Hapana
Nilihama Dodoma kitambo sana
Mkia bado umenonaKondoo kapungua uzito wa mkia au bado ananoneshwa na majani mabichi ya huko?
Nafuata kondoo. Au ndio geti limeshafungwa huko?Mkia bado umenona
May day, May day 119.... I need some helpMkia bado umenona
NjooNafuata kondoo. Au ndio geti limeshafungwa huko?
Lazima uparamiweKina cocastic watarajiwa hao...mwanaume unakulaje jasho la mwanaume mwenzio kirahisi rahisi...mwisho wa siku wanakuja kuitwa wajomba maresh
Ngoja niangalie kama napata flight ya asubuhiNjoo
Bahati nzuri jf haina wanaume waomba bia….😭😭😭Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?
Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.
Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.
Hutoaibika milele.