Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eeeeeWanakera wakikuona tu salamu nyingi wote hatuna hela tunajikaza halafu baadae watusnich
Pombe za kienyeji tena!true jamaa!!! au kama vipi,,,,anywe pombe za kienyeji!!
Ngono ni dhambi, je hugawiwa kama njugu?Ulevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
Hata uzinzi ni dhambi ila mbona mwatunyimaUlevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
Wewe ni CHAWA wa MamaSamia2025 . Uchawa ndio ulevi wakoMimi ni mlevi wa neno la Mungu. Nina addiction kabisa..
Baab KubwaSungura hapingwi!
Ulevi wa nini?Ulevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
Hizo zina shibisha kabisa. Unapata kilevi na msosi kwa bei mojatrue jamaa!!! au kama vipi,,,,anywe pombe za kienyeji!!
Kuna tofauti kati ya kupeana offer na kwenda bar kuvamia watu usiowajua na kuwaomba biaWanywaji lazima mpeane ofa. Nawe ipo siku watakununulia. Usiwadharsu. Roho mbaya hiyo!
Dodoma ndio wana ufala huoDaah.. kuna Bar hizo wale wahudumu wake wanabaki na chenji.. yaan ukilipa bia za elf 9 ile buku wanaiminya.
Ukilipa msosi wa elf 9500 ile jero hairudi..
Kumbuka akishaminya hela haji tena yeye anakuj mwingine na unampa cash akuletee masanga.. huyu nae anaminya hizo buku buku.. so ukikaa vibaya unakuta umeacha elf 10 Bar.
Hapo hajaja mdandia ofa hapo umchape bia mbili..
Hata DSM .. hizi bar na night club uchwara kama Kitambaa cheupe wana huo ujinga.Dodoma ndio wana ufala huo
Kitu gani kimetokea? Mbona kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu? INASIKITISHA SANAWewe ni CHAWA wa MamaSamia2025 . Uchawa ndio ulevi wako
Ukiwa na hela ndiyo ticketi ya kuwafira wenzako sio?Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?
Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.
Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.
Hutoaibika milele.