Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Kama huna hela unaenda bar kufanya nini? Huo ndio mwanzo wa kuingia kwenye ushoga

Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?

Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.

Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.

Hutoaibika milele.
Sungura hapingwi!
 
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?

Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.

Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.

Hutoaibika milele.
Nakazia
 
Kuna jamaa ni baunsa hivi anazurula baa akiniona tu ananichangamkia na kuomba bia.

Anaanza kutaka kujiweka kuwa bodyguard wangu lakini nikimcheki naona hata mkono hauwezi kazi kupiga nondo za zege[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] lakini tunaishi na masela namna hiyo.
Hao mabaunsa wengi wao mashoga, hadi list yao ilitolewa
 
Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?

Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.

Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.

Hutoaibika milele.
.....mbaya zaidi akinunuliwa siku moja, analeta mazoea kila akikuona anataka bure....afu bia zao ni Heineken na whidhoek, afu mie tajiri nakunywa kvant ndogo, nailambalamba almradi nisogeze muda wa bar kufungwa.....WANAKERA!!!
 
.....mbaya zaidi akinunuliwa siku moja, analeta mazoea kila akikuona anataka bure....afu bia zao ni Heineken na whidhoek, afu mie tajiri nakunywa kvant ndogo, nailambalamba almradi nisogeze muda wa bar kufungwa.....WANAKERA!!!
Wanakera wakikuona tu salamu nyingi wote hatuna hela tunajikaza halafu baadae watusnich
 
Back
Top Bottom