😄😄 Technic ya video call Ni mpya kwangu aisee 😄Kuna mmoja huyo ameshindikana.
Yaani kila bar utakayokwenda lazma atafika. Anachokifanya ni kupiga video call kwny group la WhatsApp..ukirespond anaangalia mazingira mliyopo..atawazungukia wrote akirudi kwake kalewa for free.. nowadays tunapiga kitungi nje ya mji kwa kero zake halafu hana aibu hata kidogo atataka umnyweshe,ale kitimoto utadhan demu.
Wee nae acha ukorofii, khaaahKumbe ni mwanamke??
Namsamehe bure maana unaweza kuta kafikia menopause bila ndoa ndio maana ana Street.
Yeah! I can't waste my time with a such fool[emoji28][emoji28]
Daah.. kuna Bar hizo wale wahudumu wake wanabaki na chenji.. yaan ukilipa bia za elf 9 ile buku wanaiminya.
Ukilipa msosi wa elf 9500 ile jero hairudi..
Kumbuka akishaminya hela haji tena yeye anakuj mwingine na unampa cash akuletee masanga.. huyu nae anaminya hizo buku buku.. so ukikaa vibaya unakuta umeacha elf 10 Bar.
Hapo hajaja mdandia ofa hapo umchape bia mbili..
Tip ya kutoa mwenyew it's fine.. ila sio ya kulazimisha.Acha ubahili. Uwe unatoa tip
Kweli kabisa, kila kitu kikizidi hugeuka kuwa ulevi, wewe ni chawa, iangalie hata user 🆔 yakoKitu gani kimetokea? Mbona kwa muda mrefu nimekuwa nikiamini wewe ni mtu mwenye akili timamu? INASIKITISHA SANA
Acheni kuwadekezaIla watu wanaoendaga bar kugongea bia wanamatatizo,
Kunammoja nipo na chombo Moja nimechili nayo,"Oya braza daa mwanangu wewe hua nakukubali sana"Kuna k vant ilikua ipo nusu ikabid nimuachie janja
Mimi kuna mmoja alikuta nina Redbull na Smirnoff yangu imebaki kama robo hivi, jamaa akashoboka, nipe hii nimalizie.Ila watu wanaoendaga bar kugongea bia wanamatatizo,
Kunammoja nipo na chombo Moja nimechili nayo,"Oya braza daa mwanangu wewe hua nakukubali sana"Kuna k vant ilikua ipo nusu ikabid nimuachie janja
Kama username ingekuwa ndo uhalisia wa kila mtu huku basi wewe ungekuwa tajiri kuzidi Bakresa kumbe ni kenge fulani anayeota ndoto mchana.Kweli kabisa, kila kitu kikizidi hugeuka kuwa ulevi, wewe ni chawa, iangalie hata user 🆔 yako
[emoji23]Nitatumia slogan hii kuombea "K"Ulevi ni dhambi sasa dhambi ni kitu cha kumnyima mtu kweli?
Naunga mkono hoja.Baba jitu zima una zaaidi ya miaka 18, unendaje bar ukiwa hauna kitu?
Unaenda bar unaanza kuombaomba bia kwa wanaume marijali wenzako, hùu ndio mwanzo wa kufanyiwa vitendo vya hovyo.
Kama huna hela baki ndani mwako, na kama unataka kulewa chukua buku mbili kununue Smart Gin Rudi nyumbani kwako, kunya kisha lala.
Hutoaibika milele.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jiandae kuliwa
Aisee.Kuna mmoja huyo ameshindikana.
Yaani kila bar utakayokwenda lazma atafika. Anachokifanya ni kupiga video call kwny group la WhatsApp..ukirespond anaangalia mazingira mliyopo..atawazungukia wrote akirudi kwake kalewa for free.. nowadays tunapiga kitungi nje ya mji kwa kero zake halafu hana aibu hata kidogo atataka umnyweshe,ale kitimoto utadhan demu.
Na kuonesha utakatifu wa pombe: Muujiza wa kwanza wa Yesu Kristo ulikuwa kubadilisha maji kuwa mvinyo!Nipe mstari unaosema bia ni dhambi. Ulevi unaweza ukawa hata mlevi wa ngono, kila addiction ni ulevi
Haha hah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa sisi kina mama huko peponi tunafikaje?Na kuonesha utakatifu wa pombe: Muujiza wa kwanza wa Yesu Kristo ulikuwa kubadilisha maji kuwa mvinyo!
Kwenye quran tumeahidiwa kukuta mito ya pombe huko mahali pa juu palipoinuka! Kifupi pombe imeheshimishwa mno kwenye vitabu vitakatifu