SatCitAnanda
JF-Expert Member
- Dec 11, 2022
- 643
- 1,099
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndo maana Umekaa pekeyako hapo
Ushenzi tuKuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.
Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.
Kifupi watakudharau. Ukionyeshwa dharau sababu huna pesa usikasirike, hao ndugu wanakupenda sana ni vile tu hawakuheshimu na umasikini wako.
Hapohapo, ukiona unaheshimiwa-heshimiwa sana na kunyenyekewa jua kuwa inaheshimiwa na kunyenyekewa pesa yako.
Usidhani labda watu wanakupenda sana. Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.
Tafuta pesa au kubaliana na hali.
Watu walio wengi mbona hawana helaUsipo kuwa na hela hadi nzi wanaona wewe ni mwenzao[emoji848][emoji848]tutafute hela heshima itakuja yenyewe
Ana identity crisisMbona mada zako nyingi unaongeleaga hili Jambo la heshima?au linepoteza maana currently?
Me nkawa nasoma comment nacheka sana.Hapo ndo utakutana na
Hapo ndo utakutana na vibinti vinafiki Mara ooh Ndubwi nimekumisi aggggggggrrr 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ongezaaa sautiiiiiii!!!!!!!Hakuna MTU ambaye yupo kwaajili yako zaidi yako mwenyewe. Hiyo ndio Kanuni namba moja ya Maisha au Kiumbe.
Mengine yote ni unafiki
Mkuu hili jambo ni hatari sana, kuna mtu alisema THE GREATEST THREAT TO HUMAN DEVELOPMENT IS THE OPINION OF OTHERS.Sijui Kwa nini Watu wanapenda kuheshimiwa.
Yaani kuendeshwa na Maoni na Mtazamo wa wengine
We jamaa huwaga unavituko unaandika mambo ambayo hayana uhalisiaNaongelea ufanye kitu kwaajili yako mwenyewe sio kwaajili ya Kupata heshima Kutoka Kwa Watu wengine.
Mfano, unatafuta Pesa ATI ili uheshimiwe, badala ya kutafuta Pesa kwaajili ya mambo yako na familia yako.
Matokeo yake usipopata hizo Pesa unaishi Maisha ya msongo WA mawazo.
Na sio kwamba umefanya Makusudi Bali kazi ulikuwa unafanya.
Au unaenda Kanisani au msikitini ili Mungu na watu wakuheshimu, come on! Huo ni UTUMWA. Fanya kitu kwaajili yako mwenyewe kama kinakufurahisha na kama kinafaida kwako.
Au unakuta Binti analazimisha Aolewe ili apate heshima. Huo ni UTUMWA na upumbavu. Yaani ili uridhishe Watu.
Heshima sio kumridhisha MTU au kundi la Watu.
Heshima ni kufuata na kufanya Haki, ukweli na upendo. Hiyo ndio heshima.
Na Kati ya hayo sijataja Pesa, Gari, nyumba, n.k
Mtu Aishi Kwa maadili Mema, ajipende na kupenda Watu wanaomzunguka, Aishi Kwa Haki, awe Mkweli. Aishi Kwa uhalisia. Hapo atapata heshima ya kweli na inakuja Natural.
Wazazi wanaodharau Watoto wao kisa Hawana Pesa ni majinga, mazuzu, yasiyo na Maadili. Hiyo pia itaenda Kwa Watoto wanaodharau wazazi wao Kwa sababu ya vitu vya kijinga Jinga.
Na wapumbavu na mazuzu ndio huheshimu Watu Kwa sababu ya Pesa, utajiri, na Elimu. Wakati wenye Hekima na Werevu huheshimu Watu Kwa kuangalia maadili Mema wayafanyayo, utu, haki, upendo n.k.
Sisi Watibeli hata huku kwetu tumeshaweka Watu katika makundi mawili tuu, Wenye maadili na wasio na Maadili.
Ukiwa na Maadili Mema Kwa kweli hata kama ni mdogo wangu au mtoto wangu nitakuheshimu na kukupenda, na kukunyenyekea ikibidi.
Lakini ukiwa na Maadili mabaya hata ungekuwa Mama au Baba yangu au Rais au Waziri au tajiri namba moja Duniani, nitakudharau na kukuona kama Mavimavi tuu.
Hukumu hiyo ikitumika kwangu pia ni Haki.
Mimi MTU akinidharau Kwa sababu ya ukosefu WA maadili Kwa kweli ninajisikia vibaya Sana.
Labda nimefanya uasherati alafu MTU akanifumania Kwa kweli hata kama hatasema kitu nitakuwa Duni kwake Kwa muda mrefu.
Sisemi Kuwa Mimi ni mtakatifu kwamba sina Makosa au sina dhambi, nazungumzia heshima na kudharauliwa.
Pole Mchumba Kwa comment ndefu😊😊
Na huo ndo ukweli hakuna binadamu asiyetaka recognition kutoka kwa watu wengine hii huwezi ibadilisha kamweMkuu hili jambo ni hatari sana, kuna mtu alisema THE GREATEST THREAT TO HUMAN DEVELOPMENT IS THE OPINION OF OTHERS.
Hilo haliwezekan dada katika hii duniaKatika familia ukiwa huna pesa jifunze kujitolea kufanya mambo mengine ambayo hayahitaji pesa.
Kama kuna shughuli piga kazi kuliko wengine, kama kuna mgonjwa wa kuhudumia na una nafasi nenda kahudumie kwa moyo wote. Ni mengi yapo ya kufanya na hakuna anakaye kudharau.
Pesa ni muhimu lakini sio kila kitu.
Unaota ndotoCorrupted minds.
Umekuja duniani kutafuta pesa?
Pesa iwe means ya kujipatia basic needs and not your ultimate goal in life..
Usipokua na lengo la kutafuta ela siutakua unapuyanga huku dunia jamaa kaongea ujingaUnaota ndoto
Sijui Kwa nini Watu wanapenda kuheshimiwa.[emoji23][emoji23]
Yaani kuendeshwa na Maoni na Mtazamo wa wengine
Nakuunga mkono
Miye unipende usinipende as long as am comfortable with my self I don't care
Huwezi ridhisha Kila mtu
Inawezekana nimeshashuhudia.Hilo haliwezekan dada katika hii dunia
You're the same to me .. yaani ukizingatia yanayokuhusu tu hakuna kitu kitakuwazisha.. suala la kufikiria kuridhisha watu ndio mwanzo wa kujipa fikra zitakazokuumiza... Huwa sinaga time na mambo hayo.. ukinipenda it's okay na ukinichukia the same cause nothing else will be added after you love or you hate me..Nakuunga mkono
Miye unipende usinipende as long as am comfortable with my self I don't care
Huwezi ridhisha Kila mtu
Lengo la kutafuta pesa ni kupata basic needs, as I said, i.e food, shelter, clothing, education, healthcare.Usipokua na lengo la kutafuta ela siutakua unapuyanga huku dunia jamaa kaongea ujinga