Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mbona mada zako nyingi unaongeleaga hili Jambo la heshima?au linepoteza maana currently?Sijui Kwa nini Watu wanapenda kuheshimiwa.😂😂
Yaani kuendeshwa na Maoni na Mtazamo wa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mada zako nyingi unaongeleaga hili Jambo la heshima?au linepoteza maana currently?Sijui Kwa nini Watu wanapenda kuheshimiwa.😂😂
Yaani kuendeshwa na Maoni na Mtazamo wa wengine
Heee kumbe umeshabadili na jina hapo juu,taikon la fasihi kutoka nyota ya Tibel😁Tena uridhishe Watu ili ati uheshimike huo Utumwa huwaga sina.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]dah aisee.......[emoji3][emoji3]hapana madam wangu, ingawa ukiwa huna hela, hata ukienda beach kubarizi kama hivyo watu wanadhani unataka kujiua majini.......
umeanza vibaya umemalizia vizuri nakubaliana nawewe ila sio kwa uliposema heri ukose hela lakini uwe umesoma. Heri uikose hiyo elimu ila sio pesa mkuu. Usomi wako hauna maana kama hauleti ugali mezani, haulipi bills na kukukwamua kiuchumi.Heri ukose hela lakini uwe umesoma maana katika jamii zetu waliosoma nao wana heshima zao utasikia we umesomea nini? Me ni daktari, me ni Mwanasheria, Me Engineer, Kuliko hujasoma na huna hela utadhaurilika mpaka kufa, Kama una mda wa kusoma soma kweli aisee nawapa ushauri wa bure
Kweli kabisa!unapigiwa na makofiUzuri wa pesa hata ukiongea pumba hakuna mtu anapinga
Samahani sikukujui ila utoto raha sana, yaan maisha nikutegemeana dada hata wewe watu tu wanakuvumilia una mapungufu mengiukiumwa ukifa si basi!!! kuna kitu watu wengi nahisi hawakielewi " hamna mtu anazaliwa anaanza kuwa weirdo out of blue! Huwa kuna mtiririko wa mambo mengi ya hali hiyo yamemtokea yakamfanya aone kujitenga ndio namna sahihi! Kukata tamaa juu ya jambo sio rahisi lazima mtu aumie kwa mda mrefu mpaka akate shauri.
Na kila jambo lina garama zake kwenye maisha, ukiona mtu kaamaua hayo ujue anajua kuna kuumwa kuna kufa, ila kwasababu ana Exist kwa niaba yake mwenyewe anaona fresh hat nikiumwa nikifa yote maisha kwani nani ananidai au anashida na mimi! mtu akichagua njia ujue anajua impelekako.
Hekima ya maskin aisikilizwi hio ni nature na pesa ni jawabu la mambo mengiKweli kabisa!unapigiwa na makofi
Kuwa na kiburi na huna hela haifai kabisa. Unaweza hata itiwa kelele za wizi.Sasa ndio uwe huna hela hapo nyumbani halafu unajifanya kiburi unaoneka Kama hamnazo hivi
Ukiwa kijana na nguvu unaweza hisi maisha yote unaweza amin kila jambo ni kwa ajili yako, ukweli ni kwamba hata wewe wazazi wako ulivyokua mdogo walikua kwa ajili yakoNi ukweli
Fedha inaleta kiburi mara nyingiKuwa na kiburi na huna hela haifai kabisa. Unaweza hata itiwa kelele za wizi.
HakikaHekima ya maskin aisikilizwi hio ni nature na pesa ni jawabu la mambo mengi
Pesa iwe mtumwa wakoTafuta pesa kukidhi mahitaji yako, family na watoto muifurahie Dunia na kutimiza majukumu yenu bila ya kuwa mzigo kwa mtu yoyote ,kutafuta kusaka heshima heshima yako italingana na pesa yako akija mwenye pesa zaidi utajisikia mmnyonge ,utaanza tena kusaka pesa kupandisha heshima big kwa hao wenye kutafuta pesa kusaka heshima,jitahidi uitawale pesa na sio pesa ikutawale usije kuishia kuwa mtumwa wa pesa badala ya pesa ndio iwe mtumwa wako ,ukiishi kwa bajeti yako itakuondolea wivu na mashindano yasio na tija ,ukweli kukosa pesa ni kubaya lakini real husler huishi akipatacho pia pesa itanunua vyote lakini sio uhai so take it easy with life ,enjoy ,mshukuru Mungu unapojaliwa keep it up ni somo kwa wasio kuwa nazo kuzisaka nao wakunje millions, billions hata trilion ikibidi.
Siyo kipimo Cha utu per seKwa hiyo it means pesa inakuwa ni kipimo Cha utu au mimi sijaelewa?
Tabia za Uchagani hizo!!Ni kweli tunadharaulika sana, hata kama una kitu ndani yako huonekani kama huna ela, unanyanyuliwa kwenye kikao kiti chako wanaweka Mbege jinsi huna maana
Ndivyo inatakiwa kuwa. Nasikia hata Mungu huchukia masikini mwenye kiburi.Fedha inaleta kiburi mara nyingi
Acha kunidanganya hapo labda Jesus tu naye usipokuwa na sadaka anakuachaMama YAKO mzazi na Jesus pekee ndo hawawezi kukuacha usipokuwa na pesa. Maana walikujua tangu ungali uchi
Maoni bora kabisa🙏Tafuta pesa kukidhi mahitaji yako, family na watoto muifurahie Dunia na kutimiza majukumu yenu bila ya kuwa mzigo kwa mtu yoyote ,kutafuta kusaka heshima heshima yako italingana na pesa yako akija mwenye pesa zaidi utajisikia mmnyonge ,utaanza tena kusaka pesa kupandisha heshima big kwa hao wenye kutafuta pesa kusaka heshima,jitahidi uitawale pesa na sio pesa ikutawale usije kuishia kuwa mtumwa wa pesa badala ya pesa ndio iwe mtumwa wako ,ukiishi kwa bajeti yako itakuondolea wivu na mashindano yasio na tija ,ukweli kukosa pesa ni kubaya lakini real husler huishi akipatacho pia pesa itanunua vyote lakini sio uhai so take it easy with life ,enjoy ,mshukuru Mungu unapojaliwa keep it up ni somo kwa wasio kuwa nazo kuzisaka nao wakunje millions, billions hata trilion ikibidi.