Kama huna pesa hakuna mtu atakuheshimu. Hata wazazi wako watakudharau

Kama huna pesa hakuna mtu atakuheshimu. Hata wazazi wako watakudharau

Kuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.

Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.
Kweli kabisa wakili, pesa ni jawabu ya mambo mengi
 
Kuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.

Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.

Kifupi watakudharau. Ukionyeshwa dharau sababu huna pesa usikasirike, hao ndugu wanakupenda sana ni vile tu hawakuheshimu na umasikini wako.

Hapohapo, ukiona unaheshimiwa-heshimiwa sana na kunyenyekewa jua kuwa inaheshimiwa na kunyenyekewa pesa yako.

Usidhani labda watu wanakupenda sana. Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.

Tafuta pesa au kubaliana na hal
Kuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.

Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.

Kifupi watakudharau. Ukionyeshwa dharau sababu huna pesa usikasirike, hao ndugu wanakupenda sana ni vile tu hawakuheshimu na umasikini wako.

Hapohapo, ukiona unaheshimiwa-heshimiwa sana na kunyenyekewa jua kuwa inaheshimiwa na kunyenyekewa pesa yako.

Usidhani labda watu wanakupenda sana. Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.

Tafuta pesa au ku
 
Ndo hao wako tayari kujiumiza kwa ajiri ya kulinda wanachoita heshima.

Mimi Huko nilitoka zamani Sana.
Kwanza sipendi kuzingatiwa, Kwa wanaonijua live wala sina muda wa kujitesa ili nionekane labda ninapesa au ni Msomi. Nipo simple.
Mimi hata uniite kwenye sherehe yako usijetemegemea nitavaa vizuri sijui masuti, 😂😂
Labda kama utaniomba nisikutie aibu ikiwa kwako nikivaa Kwa namna Fulani ndio heshima, lakini sio Mimi uniheshimu kisa nimevaa Suti.
 
Back
Top Bottom