Mynd177
JF-Expert Member
- Dec 3, 2022
- 2,817
- 5,141
NAKAZIA.Ukifuata mambo yako kivyakovyako hayo hayawezi kukupata.
Atakayeona umuhimu na wewe atakutafuta,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIA.Ukifuata mambo yako kivyakovyako hayo hayawezi kukupata.
Atakayeona umuhimu na wewe atakutafuta,
Kweli kabisa wakili, pesa ni jawabu ya mambo mengiKuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.
Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.
Ni watu wachache waliofikia level ya kutoona umuhimu wa kuheshimiwa. Wengi kwao ni hitaji muhimu la binadamu.Heshima inasaidia nini?
Hata ukiheshimiwa inasaidia nini?
Astaghafiru llah [emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli tunadharaulika sana, hata kama una kitu ndani yako huonekani kama huna ela, unanyanyuliwa kwenye kikao kiti chako wanaweka Mbege jinsi huna maana
NAKAZIA.
Nimeuliza huko juu hawajajibu [emoji3]Heshima inasaidia nini?
Hata ukiheshimiwa inasaidia nini?
Halafu muda wote wanakuwa wanachekacheka😀Uzuri wa pesa hata ukiongea pumba hakuna mtu anapinga
Kweli mkuuTupandishie Uzi mkuu
Ndo hao wako tayari kujiumiza kwa ajiri ya kulinda wanachoita heshima.Sijui Kwa nini Watu wanapenda kuheshimiwa.[emoji23][emoji23]
Yaani kuendeshwa na Maoni na Mtazamo wa wengine
Nakuunga mkonoUkifuata mambo yako kivyakovyako hayo hayawezi kukupata.
Atakayeona umuhimu na wewe atakutafuta,
Unapolilia uheshimiwe unawapa wengine power ya kukucontrolNdo hao wako tayari kujiumiza kwa ajiri ya kulinda wanachoita heshima.
Kuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.
Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.
Kifupi watakudharau. Ukionyeshwa dharau sababu huna pesa usikasirike, hao ndugu wanakupenda sana ni vile tu hawakuheshimu na umasikini wako.
Hapohapo, ukiona unaheshimiwa-heshimiwa sana na kunyenyekewa jua kuwa inaheshimiwa na kunyenyekewa pesa yako.
Usidhani labda watu wanakupenda sana. Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.
Tafuta pesa au kubaliana na hal
Kuna huu ukweli ambao ni vema kila mtu anatakiwa kuufahamu. Kwa asilimia kubwa heshima ya mtu huletwa na pesa alizonazo.
Kama huna pesa hata wazazi wako, kaka na dada watakudharau. watu baki ndiyo kabisa watakudharau. Na si kwamba hawakupendi. Watakupenda sana ila hawatakuheshimu.
Kifupi watakudharau. Ukionyeshwa dharau sababu huna pesa usikasirike, hao ndugu wanakupenda sana ni vile tu hawakuheshimu na umasikini wako.
Hapohapo, ukiona unaheshimiwa-heshimiwa sana na kunyenyekewa jua kuwa inaheshimiwa na kunyenyekewa pesa yako.
Usidhani labda watu wanakupenda sana. Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.
Tafuta pesa au ku
Ndo hao wako tayari kujiumiza kwa ajiri ya kulinda wanachoita heshima.
Nakuunga mkono
Miye unipende usinipende as long as am comfortable with my self I don't care
Huwezi ridhisha Kila mtu
😁😁😁Binadamu hana aibu kabisa linapokuja suala la kuabudu pesa.
Hapa nakazia, pesa sio kila kitu.japo Ina makes both end meetsukiwa huna pesa utaona kila kitu kinahitaji pesa ila ukiwa una pesa utaona kuna vtu ili uvipate haina hja ya kutumia pesa