To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣🤣🤣🙌.......😀😀hapana madam wangu, ingawa ukiwa huna hela, hata ukienda beach kubarizi kama hivyo watu wanadhani unataka kujiua majini.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🙌.......😀😀hapana madam wangu, ingawa ukiwa huna hela, hata ukienda beach kubarizi kama hivyo watu wanadhani unataka kujiua majini.......
Wana JF uadui unatoka wapi? hapa ni Facts tuNaona sasa hivi ni marafiki
Siku ukiumwa ndo utalelewa umuhimu wa watu hii ni point ya kitoto na kibinafsi sana hata ukifa watu wengine ndo watakaokusitiri hata faraja tunapata kutoka kwa watu wengineHakuna MTU ambaye yupo kwaajili yako zaidi yako mwenyewe. Hiyo ndio Kanuni namba moja ya Maisha au Kiumbe.
Mengine yote ni unafiki
Jamani Ariana kiti changu waweke mbege😀, aki kutatokea ugomvi huo hapatakalika hapo si unajua hasira ya kutokua na pesa na udharauliwe,namwaga na hiyo mbege yao😀Ni kweli tunadharaulika sana, hata kama una kitu ndani yako huonekani kama huna ela, unanyanyuliwa kwenye kikao kiti chako wanaweka Mbege jinsi huna maana
Waganga wa kienyeji sio kweli kuwa wana hali ngumu ila ni masharti ya mizimu, Na kikawaida mizimu ni asili ndiyo maana kwa waganga utakuta ng'ombe, kondoo, visu, fuvu n.k. Nguvu ya uganga ime-base kwenye asili, Kazi ya kiganga ndo huwafanya wawe hivyoSio kweli waganga wa jadi wanaheshimiwa sana na washirikina angali wengi hali duni, viongozi wa dini wana heshima yao, ma sister wanaheshimika jamii nzima, madereva malori wanaheshimu sana rangi nyeupe traffic na makuli wanaopakia mizigo.. ume generalise mkuu ila sikupingi kwa namna moja
ndo utasikia hapo Kiruu!! unaona side effect za kukosa Mbesaaa!!!!!!!Jamani Ariana kiti changu waweke mbege[emoji3], aki kutatokea ugomvi huo hapatakalika hapo si unajua hasira ya kutokua na pesa na udharauliwe,namwaga na hiyo mbege yao[emoji3]
ndo inabidi iwe ivyo , unaishi maisha yako wakikutaka watakutafutaUkifuata mambo yako kivyakovyako hayo hayawezi kukupata.
Atakayeona umuhimu na wewe atakutafuta,
Astaghafiru llah [emoji23][emoji23][emoji23]
aisee
😀😀😀 ila pesa🙌 hata ukiongea point, inaonekana unapiga kelele tundo utasikia hapo Kiruu!! unaona side effect za kukosa Mbesaaa!!!!!!!
[emoji1] kwanza ukiwa huna hela kuna kaunyonge flani hivi kanakuingia unajikuta hujipi kipaumbele mana ukiambiwa toa hapo Afu 3 ya haraka haraka huna ya nini kujifedhehesha
ukiumwa ukifa si basi!!! kuna kitu watu wengi nahisi hawakielewi " hamna mtu anazaliwa anaanza kuwa weirdo out of blue! Huwa kuna mtiririko wa mambo mengi ya hali hiyo yamemtokea yakamfanya aone kujitenga ndio namna sahihi! Kukata tamaa juu ya jambo sio rahisi lazima mtu aumie kwa mda mrefu mpaka akate shauri.Siku ukiumwa ndo utalelewa umuhimu wa watu hii ni point ya kitoto na kibinafsi sana hata ukifa watu wengine ndo watakaokusitiri hata faraja tunapata kutoka kwa watu wengine
atakuskiliza nani [emoji23][emoji23]wenye akili wamstafuta hela.. kama huna na akili hazikusaidii kitu..[emoji3][emoji3][emoji3] ila pesa[emoji119] hata ukiongea point, inaonekana unapiga kelele tu
Mkuu nafuta upuz wote niliopost nasitawahi tena kupost upuz kama huoWana JF uadui unatoka wapi? hapa ni Facts tu
Ni ukweliHakuna MTU ambaye yupo kwaajili yako zaidi yako mwenyewe. Hiyo ndio Kanuni namba moja ya Maisha au Kiumbe.
Mengine yote ni unafiki
Asante 💯Heri ukose hela lakini uwe umesoma maana katika jamii zetu waliosoma nao wana heshima zao utasikia we umesomea nini? Me ni daktari, me ni Mwanasheria, Me Engineer, Kuliko hujasoma na huna hela utadhaurilika mpaka kufa, Kama una mda wa kusoma soma kweli aisee nawapa ushauri wa bure
💯💯💯 Kunywa soda siji kulipa 😂😂ukiumwa ukifa si basi!!! kuna kitu watu wengi nahisi hawakielewi " hamna mtu anazaliwa anaanza kuwa weirdo out of blue! Huwa kuna mtiririko wa mambo mengi ya hali hiyo yamemtokea yakamfanya aone kujitenga ndio namna sahihi! Kukata tamaa juu ya jambo sio rahisi lazima mtu aumie kwa mda mrefu mpaka akate shauri.
Na kila jambo lina garama zake kwenye maisha, ukiona mtu kaamaua hayo ujue anajua kuna kuumwa kuna kufa, ila kwasababu ana Exist kwa niaba yake mwenyewe anaona fresh hat nikiumwa nikifa yote maisha kwani nani ananidai au anashida na mimi! mtu akichagua njia ujue anajua impelekako.
😂😂😂 unapita mule mule, kama huna pesa utatumikishwa sanaatakuskiliza nani [emoji23][emoji23]wenye akili wamstafuta hela.. kama huna na akili hazikusaidii kitu..
ni kuosha vidosho vya mbege tu