Kama hupendi unene na uzito usiofaa pata haya maarifa ufanikiwe ndani ya mwezi mmoja

Kama hupendi unene na uzito usiofaa pata haya maarifa ufanikiwe ndani ya mwezi mmoja

Habari wadau,

Naomba ushiriki katika ujenzi wa afya, Dunia hii malaika ni watu na si vinginevyo, kila mmoja wetu kaumbwa kama malaika wa pekee, niwape hili moja la kupunguza mwili na Uzito na kuondokana na tabia ya kula kula kila wakati.

Anza zoezi la kutumia kahawa iliosagwa vizuri ya dukani au ya kutengenezwa vizuri, weka ratiba kila asubuhi kabla ya mlo wowote. Kijiko Cha chai kimoja na maji yako ya moto hutajuta. Ondoa kitambi kwa afya na Punguza Uzito.

Ukitumia hii weka ratiba ya kula saa 7 mchana au saa10 Kwa sababu hutahisi njaa.

Tafadhari: kama una pressure usitumie fuata ushauri wa daktari.

Awamu ijayo ntawaletea njia ya juice na aina ya mchanganyiko wa matunda.

Unaefanya mazoezi endelea na ongeza na matumizi ya Kahawa.

Pambana usilete lawama mara oooh nafsi inataka mwili unakataa, msisahau kula protein, zinc na vitamin kwa wingi.

Mnaotumia Asali na Maziwa Mgando au Maziwa Mtindi msiache. Ali kasusu, pweza tumieni.

K-Vant , Konyagi, smart etc kunywa kiasi Kwa afya yako.

Nawasilisha Afya ni msingi na ndio Utajiri Linda afya ufaidi Dunia.

Wadiz na Malaika wake.

Am out comrades.
Simple sana, piga maombi ya kufunga kwa zaidi ya siku 3 mfululizo bila kula usiku na mchana kisha baada ya hapo jitahidi uwe na balanced diet ili uje unishukuru kwa kubarikiwa kiroho na kiafya.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Rebecca kapotea sijui yupo shule nadhani nae anasota na PhD, aje kama Bado yupo nchi ya madongo kuinama
Anaanzaje kusota nakati akina msukuma wanazo wamepewa tu bure za heshima, mwambie aache kuzeesha ubongo atafute koneksheni ili atunukiwe tu bila kuota kipara kwa miaka 7 ya msoto wa PhD [emoji38]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Usiombe uwe na kitambi na kipara halafu Pesa huna! Utajuta!
 
Ambao hatutumii kahawa tutumie nin tupungue mim sijui raha zimenizidia nanenepa tu 😂😂
Unene ni dalili ya uzembe, uvivu, ulafi wa kula hovyo hovyo, na pia kujiendekeza.

Unene ni kichaka cha magonjwa yasiyo ya kuambukiza mfano Kisukari, shinikizo la damu, nk

Kataa unene kwa gharama yoyote ile.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mimi nguo za Mwaka jana sasa hivi sivai...
Unaelekea kubaya! Wewe maana yake utakuwa unafutuka sasa, na siyo kunenepa!

Mbaya zaidi wanaume wengi hatupendi wanawake mabonge, wenye vitambi, na wasio na shape; kutokana na unene uliopitiliza. Chukua hatua mapema, kabla mambo hayaja haribika.
 
Makiseo nimekumiss sana we na Rebecca the most feminists mliokuwa mnanichangamsha hapa JF [emoji1][emoji119]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Miss you pia... Inter.
Beck yupo..nikuitie[emoji28]

Halafu huo ufeminist nilikuonesha wapi lakini? Nadhani labda tulipishana kidogo tu katika kuweka mambo sawa..
 
Unaelekea kubaya! Wewe maana yake utakuwa unafutuka sasa, na siyo kunenepa!

Mbaya zaidi wanaume wengi hatupendi wanawake mabonge, wenye vitambi, na wasio na shape; kutokana na unene uliopitiliza. Chukua hatua mapema, kabla mambo hayaja haribika.
Sasa kunisema hivyo ni nini wewe Tate?
Na kwanini unatumia ngeli ya Si na siyo Mi?

Ni wewe hupendi wanene usiwazungumzie wote... Wewe kama unapenda hao wengine komaa na size yako aiseee..
 
Kupunguza.mbona simple TU[emoji38]
1. Tafuta mwanamke pasua kichwa
2. Nunua gari bovu
3. Kakope benki na ushindwe kulipa
 
Sasa kunisema hivyo ni nini wewe Tate?
Na kwanini unatumia ngeli ya Si na siyo Mi?

Ni wewe hupendi wanene usiwazungumzie wote... Wewe kama unapenda hao wengine komaa na size yako aiseee..
Povu shogaa
 
Back
Top Bottom