Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] katuambia ukwei mchunguuu
Tutakoma....
Na mimi ndiyo wale nikiendaga jogging narudi na Boda....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] katuambia ukwei mchunguuu
Bro principle ni moja tu;Habari wadau,
Naomba ushiriki katika ujenzi wa afya, Dunia hii malaika ni watu na si vinginevyo, kila mmoja wetu kaumbwa kama malaika wa pekee, niwape hili moja la kupunguza mwili na Uzito na kuondokana na tabia ya kula kula kila wakati.
Anza zoezi la kutumia kahawa iliosagwa vizuri ya dukani au ya kutengenezwa vizuri, weka ratiba kila asubuhi kabla ya mlo wowote. Kijiko Cha chai kimoja na maji yako ya moto hutajuta. Ondoa kitambi kwa afya na Punguza Uzito.
Ukitumia hii weka ratiba ya kula saa 7 mchana au saa10 Kwa sababu hutahisi njaa.
Tafadhari: kama una pressure usitumie fuata ushauri wa daktari.
Awamu ijayo ntawaletea njia ya juice na aina ya mchanganyiko wa matunda.
Unaefanya mazoezi endelea na ongeza na matumizi ya Kahawa.
Pambana usilete lawama mara oooh nafsi inataka mwili unakataa, msisahau kula protein, zinc na vitamin kwa wingi.
Mnaotumia Asali na Maziwa Mgando au Maziwa Mtindi msiache. Ali kasusu, pweza tumieni.
K-Vant , Konyagi, smart etc kunywa kiasi Kwa afya yako.
Nawasilisha Afya ni msingi na ndio Utajiri Linda afya ufaidi Dunia.
Wadiz na Malaika wake.
Am out comrades.
Ahahaha sijawah jaribu akii siku moja nimejaribu kimbia kifua kinajaa wee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutakoma....
Na mimi ndiyo wale nikiendaga jogging narudi na Boda....
Hivi huwez pungua mpaka mazoezi??Bro principle ni moja tu;
What u take should be less than what you put out!
What you take in
Punguza quantity ya unachokula
Punguza zaidi matumizi ya vyakula vya wanga, sukari.
What you take out
Fanya sana mazoezi walau dak 30 hadi 60 kila siku kwa sababu kula pia uakula kila siku!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahahaha sijawah jaribu akii siku moja nimejaribu kimbia kifua kinajaa wee
Anhaaa...kumbe? Basi "ashakum si matusi"Miss you pia... Inter.
Beck yupo..nikuitie[emoji28]
Halafu huo ufeminist nilikuonesha wapi lakini? Nadhani labda tulipishana kidogo tu katika kuweka mambo sawa..
Mwite huyo Becca, mwambie anakwama wapi hadi haji JF siku hizi [emoji848]Miss you pia... Inter.
Beck yupo..nikuitie[emoji28]
Halafu huo ufeminist nilikuonesha wapi lakini? Nadhani labda tulipishana kidogo tu katika kuweka mambo sawa..
Sikuwah kurudia mpaka leo huwa najiuliza watu wanawezaje kukimbia yaan mim siwezi labda uniambie nikimbilie pesa hapo naweza kabisa lakin kukimbizana na upepo siwez[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka mno..
Good! Mimi mwenyewe mwaka wa 10 huu, nacheza 75-76KG! Na pia mara zote nikipima, huwa naambiwa nipo kwenye over weight! Na siyo obersity.Mungu aniepushe na hiki kikombe,
Cha unene
Am 75kg, 6.1 feet
👍👍👍Bro principle ni moja tu;
What u take should be less than what you put out!
What you take in
Punguza quantity ya unachokula
Punguza zaidi matumizi ya vyakula vya wanga, sukari.
What you take out
Fanya sana mazoezi walau dak 30 hadi 60 kila siku kwa sababu kula pia uakula kila siku!
79kg 175M, Mwili wa Ndoige ndio unanibeba kifua cha kazi Ole wake Nakkadori asionje hatachomoka body ya Ndoige hawezi kuiachaMungu aniepushe na hiki kikombe,
Cha unene
Am 75kg, 6.1 feet
Mimi ni mpole kitambo mbona[emoji2]Anhaaa...kumbe? Basi "ashakum si matusi"
Hata hivyo siku hizi umekuwa mpole sana, kulikoni Best [emoji848][emoji3]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yupo..na anaingia sana...Mwite huyo Becca, mwambie anakwama wapi hadi haji JF siku hizi [emoji848]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sikuwah kurudia mpaka leo huwa najiuliza watu wanawezaje kukimbia yaan mim siwezi labda uniambie nikimbilie pesa hapo naweza kabisa lakin kukimbizana na upepo siwez
🤦🏻😂😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliwahi kukimbia Marathon moja...ile kurudi na Mashoga zangu tusipande bajaj ni nini?[emoji2]..tukashuka karibu na finishing point kuchukua medal tupo hoi[emoji1787]