Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Naomba kutoa hoja, tujadili hoja tafadhali. Shukrani sana
 
Nilivyoandika kuwahusu malinoni ya wafuasi wa JPM wewe haumo kwenye hao, hicho kiherere cha nini kwa yasiyokuhusu?
Mngeitisha mkutano wa ndani wa hao mamilioni ya wafuasi wa dhalimu mumsifie, umeamua kuleta huku kwenye public domain ni lazima upate mrejesho. Ww ndio uache kiherehere cha kuleta habari za dhalimu hapa kwenye platform ya wanaume wenzako.
 
Mngeitisha mkutano wa ndani wa hao mamilioni ya wafuasi wa dhalimu mumsifie, umeamua kuleta huku kwenye public domain ni lazima upate mrejesho. Ww ndio uache kiherehere cha kuleta habari za dhalimu hapa kwenye platform ya wanaume wenzako.
Tindo niache kwa sababu yako tuu! Hapana mkuu
 
Tutolee upuuzi. Mfate huko kaburini mkaanzishe hiyo jamhuri na marehemu wengine walotangulia nae.
 
Tusisahau JPM alifanya nini hadi yote haya yanamkuta. Mbona Nyerere na Mkapa wamepumzika kwa amani? JPM alifanya kosa moja kubwa kati ya mengi; kuzuia watu wasiseme kitu wakati wa uongozi wake. Sasa watu wamepata uhuru wao wa kusema na wanasema. Umeelewa?
 
Wamepata uhuru pia wanaiba..
 
Sijasoma hata yaliyomo ndani ila kichwa cha habari hiyo nchi iko wapi

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Sababu anawatasha wengi amekufa ila watu wengi wanataka falsafa kama ya magu ndio iongoze nchi ,walamba asali na machawa ndio wanaona itawafanya wasiitawale nchi wanavyotaka kwaiyo wanaona kumtukana na kumkandia ndio njia pekee ya kuuwa falsafa yake Kwa wananchi ,ila inawasimbua sana
 
Tatizo lako ni kizamvu... wanakupakua Sana.... Huna uwezo wakufikiri😅
 
Nchi ni Nchi ni Moja Tanzania.

Magu alifanya mengi MAZURI, tunayaenzi.

Sa100 anaendeleza, Mungu ambariki.
Kunako Majaliwa tunaomba Mungu atuletee mkali zaidi ya Magu kunako 2025 ikiwa uchaguzi mkuu utakuwepo.

Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…