Kama iko haki ya mtu kuamua kujitenga na Tanzania na kuundwa nchi ya watu wa Jamhuri ya JPM, Mimi namba moja

Tatizo lako ni kizamvuu wanakupakua Sana.... Huna uwezo wakufikiri😅
Nipe faida ya maneno haya ulichoambulia mkuu!

Mchango wako haukupi faida yoyote na ukumbuke matusi haya uliyoandika hayatafutika japo unaingia kanisani au Miskitini

Hauwezi tu kuwa ulivyo?
 
Unataka kufanya uhaini wa kuigawa nchi kwa sababu tu wanaomsema vibaya JPM hawajakamatwa na kuwekwa gerezani ?!

Are you okay upstairs??
 
Unataka kufanya uhaini wa kuigawa nchi kwa sababu tu wanaomsema vibaya JPM hawajakamatwa na kuwekwa gerezani ?!

Are you okay upstairs??
Unauelewa mdogo sana mkuu!
 
Tukiongea mnaona tunabeza! Lakini angalia hiki ulichoandika hapa inaoneka waza kua hamkua wamoja na watanzania wote kama Taifa lililojengwa kwa usawa, bila udini, ukabila!! Ogopa san kikundi cha watu kinachojiona wao ni bora na hawastahili kuchanganyikana na wengine!!
 
Umewahi kujiuliza kwa nini duniani kuna dini zaidi ya moja? Na dini hizi zinapingana kila moja ikivutia kwake? Na huku ni kwa Muumba sasa!
Unadhani binadamu anaweza kupendwa na kila mtu?

Pevuka mkuu!
 
kamfufue baba uzikwe wewe
 
kamfufue baba uzikwe wewe
Mkuu, ulichoandika kinawakilisha ukweli wa maisha yako?

Wewe ni chizi au bahati mbaya tu umeandika hivyo!

Mbona umeamua kujichoresha kwamba, unawalakini kichwani!

Acha basi hizo mkuu na ustufanye tukuone umekosa heshima
 
Zitto Kabwe aibuka na kuwajibu CCM 'wanaompenda MAGUFULI wakazikwe nae Chato
Ukimuiza ni kivipi yeye hakumfuata mamaye, hana jibu!

Ukimuuliza, Je, hakumpenda? Anasema alimpenda! Mbona hamfuati? Kimya!

Ni majibu ya hovyo tu na ni mropokaji tu ambaye anaweza kusema hivyo!
 
Hujajib hoja yang kbs!!
Lengo lako ni kutaka watu wote wakubaliane na mjadara wangu kisa nimemtaja JPM mwanasiasa na binadamu tu siyo?

Haiwezi kutokea kwamba kiongozi mmoja akubalike kwa watu wote!
 
Nyie na huyu mtu wenu ni wahamiaji haramu toka Burundi kama munechoka ukarimu wa Tanzania rudini kwenu mlikozoea kuchinjana maana inavyoelekea utulivi na amani iliyopo nchini imewachosha. Bandiko hili ni uhaini,uchochezi na uasi dhidi ya dola haupaswi kuvumiliwa hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…