Kama ilivyokuwa kwa Diamond Platnumz, Joti naye achukuliwe hatua...

Tatizo waislamu tunakuwa wakali tunapofanyiwa malipo! Tunatakiwa kutulia ituingie vizuri!
Mbona wenzetu wametulia lakini?
 
You are right, Kama vigezo ni vilevile walivyotumia kuifungia ya Diamond basi hii video inapaswa kufungiwa haraka sana ...

However mimi nachosema Hii video ya Joti na iLe ya mondi, zote hazina shida yoyote
 
You are right, Kama vigezo ni vilevile walivyotumia kuifungia ya Diamond basi hii video inapaswa kufungiwa haraka sana ...

However mimi nachosema Hii video ya Joti na iLe ya mondi, zote hazina shida yoyote
Kwa hapo joti yupo msikitini? Au ulivaa kanzu tu unakua muislamu?
 
sahv sasa na sie tulio zalilishwaga na bwana almasi acha tuseme..joti yupo sahihi kwa mimi sioni ukakasi wowote hapo kwnye video yake..inshort ni sanaa tuh na hata hvo anapeperusha bendera... " ndugu zangu katika imani tuheshimiane na tuungane mikono anapokosea mtu imani ya mtu mwengine ..watu walilaumu sana wakabeza basata ilchokifany kwa bwana almasi... tuwe na akili tuache kuwasujudia watu kwasababu ya majina... acha nae joti atambe mpk basata watakapo amua...kama mtu utakua unamalalamiko wasilisha balaza la sanaa
 
Jamaa anaudhalilishaga sana uislam

Ova
 
Ahueni na nyinyi sasa mtapitia maumivu kama tunayopitia sisi pale ndugu zenu wanapoleta masihara katika imani yetu.

Ikiwapendeza, mchomeni tu moto kwa kuikashifu dini yenu ya haki.

Haswaaaa
Wameshikwa pale pale… acha dawa iwaingie
 
Fala sana ww jamaa, hiyo dini ndio kielelezo cha umasikiniii hawana mpya.

Wanafia dini, pesa zinawapigaga chenga, angalia hata mikoa waliomo ndio ipo nyuma.
We mjinga unajua maisha ni kutafuta pesa tu.?????? Ukishakuwa na pesa ndio mwisho wake ni nini.???? Acha uk*m* pesa sio kila kitu.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Umejipa kazi ya promoter kwa ujira gani?
 
Joti kazingua sana analeta migongano ya kidini. Kazi ifungiwe haifai. Anaboa sana anavyojigeuza kwa mavazi ya kike, ucheshi mwingine ovyo
 
hakuna Joti hapo ni binti Kiboga,na jinsia moja haipo hapo na wala dua haikusomwa, acha upuuzi kale kiti moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…