The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hata Diamond kuimbia kanisani pia ilikua ni maigizo tu haikua uhalisia,Nimekuelewa vizuri sana.
Kwa pale ni maigizo tu, sijaona sababu kwa baadhi ya walioguswa walichukulie hili kama vile imekashifiwa imani ya mtu
Wazee wengi waliochoka hupendi kuvaa hivyo.Kwa nini wasanii wakitaka kuigiza mzee aliyechoka na maisha lazima avae barakhashia na msuli
Hapo kiboga kaingia msikitini?Hata Diamond kuimbia kanisani pia ilikua ni maigizo tu haikua uhalisia,
Sasa mbona wagalatia walitokwa povu? Au kunya anya Kuku akinya Bata kaharisha?
Sijawahi itazama hiyo ya Diamond, mimi nipo kwenye hii Mada husika na kwa nilivyoitazama Video kama nilivyosema hapo awali, Joti katumia akili sana kuzuia Dua na alihofia kuleta mitafaruku kama hii.Hata Diamond kuimbia kanisani pia ilikua ni maigizo tu haikua uhalisia,
Sasa mbona wagalatia walitokwa povu? Au kunya anya Kuku akinya Bata kaharisha?
Kama huelewi kinachojadiliwa hapa piga kimya kuliko kukurupuka hovyo na kiswali chako cha darasa la pili.Hapo kiboga kaingia msikitini?
Dogo uwe na heshimaKama huelewi kinachojadiliwa hapa piga kimya kuliko kukurupuka hovyo na kiswali chako cha darasa la pili.
Pita kushoto wewe,Dogo unamjua?Dogo uwe na heshima
Dogo huko bongo si ni saa8 usiku ww bishana na Mimi hapa nipo napata breakfast kesho uchelewe kwenda kuwajibika kwa wahindiPita kushoto wewe,Dogo unamjua?
[emoji3581][emoji3581][emoji3581]Diamond kadhalilisha imani ya watu haijapita hata muda Joti anarudisha goli la kusawazisha ngoma dro moja moja mchezo unaendelea
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Muache tu atachapwa na fimbo ya Mungu. ......Wakuu salaam,
Siku kadhaa zilizopita msanii Diamond alifungiwa wimbo wake kwa maelezo kwamba unadharirisha imani ya watu fulani. Watu walienda mbali zaidi wakasema jamaa kwanza ni muislamu hivyo ule wimbo angerekodia kwenye mazingira yanayomhusu na sio kanisani.
Sasa leo Joti kaachia kazi yake ya sanaa ambayo pia inadharirisha imani fulani. Kwamba anachodepict kwenye hii video ni kwamba uislamu unaozesha watu wa jinsia moja.
Joti anafahamu kabisa kua katika uislamu kujifananisha na jinsia tofauti ni kosa na hairuhusiwi (wakati akiwa orijino komedi walienda kwa sheikh wa mkoa sheikh alhad akawaambia hilo suala). Na pia Joti yeye ni mkristo so hiyo video angeenda kurekodia kanisani.
Ndicho unachofundishwa msikitini hicho, kudhihaki watu??Binti naona umeishia kujichekesha chekesha hovyo tu,hii si dalili nzuri kua makini.
Safi sanaaaa joti na hongera kumbe imewauma eeehWakuu salaam,
Siku kadhaa zilizopita msanii Diamond alifungiwa wimbo wake kwa maelezo kwamba unadharirisha imani ya watu fulani. Watu walienda mbali zaidi wakasema jamaa kwanza ni muislamu hivyo ule wimbo angerekodia kwenye mazingira yanayomhusu na sio kanisani.
Sasa leo Joti kaachia kazi yake ya sanaa ambayo pia inadharirisha imani fulani. Kwamba anachodepict kwenye hii video ni kwamba uislamu unaozesha watu wa jinsia moja.
Joti anafahamu kabisa kua katika uislamu kujifananisha na jinsia tofauti ni kosa na hairuhusiwi (wakati akiwa orijino komedi walienda kwa sheikh wa mkoa sheikh alhad akawaambia hilo suala). Na pia Joti yeye ni mkristo so hiyo video angeenda kurekodia kanisani.
Mashekhe ubwabwa...nilicheka sana ile siku [emoji23]Jamaa anaudhalilishaga sana uislam
Ova
hata mimi nimefikiri mara mbili hawa watu humu wanajadili video hii au kuna nyingine?Kwa nilivyoitazama, Joti ameigiza kama Mwanamke na hakuigiza kama kaka poa. Ni mwanamke ambae amelazimisha Ndoa kwa Udi na Uvumba ili aondoe mkosi, kwasababu mpaka kufikia Umri wa miaka Arobaini na tano (45) alikuwa bado hajaolewa.
Na hakutaka kuvuka mipaka kufikia kwenye Dua amewazuia waliomuozesha kumuombea Dua, bila shaka kama angeombewa Dua ingeonekana kama angejeruhi hisia za watu na alichokifanya akawapigia mruzi watu wake wa Baikoko aliokuwa amewaandaa kwa ajili ya Sherehe za Harusi yake.
Ni maigizo tu, na lengo wala si kukashifu Imani ya mtu yoyote yule.
Kwa msioitazama hiyo Video, hebu itazameni yote hadi mwisho halafu mtaona ni tofauti sana na jinsi Mada ilivyowasilishwa
NikweriWakuu salaam,
Siku kadhaa zilizopita msanii Diamond alifungiwa wimbo wake kwa maelezo kwamba unadharirisha imani ya watu fulani. Watu walienda mbali zaidi wakasema jamaa kwanza ni muislamu hivyo ule wimbo angerekodia kwenye mazingira yanayomhusu na sio kanisani.
Sasa leo Joti kaachia kazi yake ya sanaa ambayo pia inadharirisha imani fulani. Kwamba anachodepict kwenye hii video ni kwamba uislamu unaozesha watu wa jinsia moja.
Joti anafahamu kabisa kua katika uislamu kujifananisha na jinsia tofauti ni kosa na hairuhusiwi (wakati akiwa orijino komedi walienda kwa sheikh wa mkoa sheikh alhad akawaambia hilo suala). Na pia Joti yeye ni mkristo so hiyo video angeenda kurekodia kanisani.