Kama jibu hili la kipuuzi alilolitoa Rais Chakwera wa Malawi ndizo akili za Wapinzani wengi Barani Afrika, ni bora Vyama Vikongwe vitutawale milele

Mkuu jitahidi kuelewa kusoma in between the line...rudia kusoma tena post yangu hata zaidi ya mara tatu.
 
Mkuu jitahidi kuelewa kusoma in between the line...rudia kusoma tena post yangu hata zaidi ya mara tatu.
Ulichokiandika mbona kinaeleweka mkuu,na hicho kiama mbona kimeshawafikia wanambezi tayari??Utasemaje huyo kiongozi ana moyo wa kusamehe ilhali anaonyesha double standards kwenye huo msamaha wake??
 
"Watu wa Mwanza mlinipa kura nyingi sana hivyo natoa maelekezo nyumba zenu hata kama zipo barababarani hazitavunjwa" By Mheshimiwa Pombe
 
Hiki ndicho chama kongwe ambacho kilikuwa madarakani tangu Uhuru , sasa nyie mbumbumbu mnaongelea chama kipi kongwe kingine!
Wewe wasema ila ungerudia kusoma mada na comments nina hakika ungeandika kivingine.
Anyway yote ni maoni pia.
 
Kmmmke kupenda alitaka Urais wa kupendwa sio wakuwafanyia wananchi wake kazibna kuwaletea maendeleo
 
Ulichokiandika mbona kinaeleweka mkuu,na hicho kiama mbona kimeshawafikia wanambezi tayari??Utasemaje huyo kiongozi ana moyo wa kusamehe ilhali anaonyesha double standards kwenye huo msamaha wake??
Ujumbe umekufikia, GOOD!
 

Mkuu Gentamycine, nikuulize swali. Kuna wakati Raisi wetu Magufuli alitoa tamko kwamba wakazi wa Mwanza wasibomolewe nyumba katika upanuzi wa barabara kwa kuwa walimpigia kura. Na hii ilikuwa ni baada ya kampeni kubwa ya ubomoaji nyumba kupisha barabara hapa Dar es Salaam.

Kwa hio by inference, Rasi Magufuli alitoa statement ya kipuuzi?

Kwa hiyo basi statement au jibu la kipuuzi linategemea mtu, huwezi ku-draw conclusion kwamba ni vyama vya upinzani tu ndio vinatoa statement za kipuuzi. Mtoaji wa statement au jibu la kipuuzi anaweza kuwa wa chama tawala au upinzani. Hata kama hii ilipaswa kuwa joke kutoka kwa Magufuli, basi ilikuwa joke ya kipuuzi kwa mtu mwenye dhamana ya uraisi.

In fact, katika siasa za Tanzania, nimesikia statement za kiupuuzi nyingi kutoka chama tawala CCM kuliko upinzani, labda kwa kuwa upinzani wana namna fulani ya woga wa kutoa matamko ya kipuuzi.
 
Wewe wasema ila ungerudia kusoma mada na comments nina hakika ungeandika kivingine.
Anyway yote ni maoni pia.
Nimesoma na nimeelewa hitimisho la mwandishi kuwa chama cha upinzani kilichoingia madarakani kimeshindwa kutimiza ahadi yake ya kuwa viongozi wa wote, hivyo havifai heri abakie na chama kikongwe kama CCM kwani vya upinzani vinadanganya.

Kubali mwandishi amekosea aliposikia kuwa chama cha upinzani kimekiangusha chama tawala.

Nijibu hili la nibora vyama vikongwe vitutawale milele, Malawi ni kipi kikongwe kama siyo MCP ya Chakwera?
 
GENTAMYCINE,

Ungeweka Basi clip ya hayo mahojiano manake na sisi pia tulisikiliza. Ucje kuwa ulipitwa na kizungu pembeni mkuu. So unajua Tena siyena lugha ya malaika!!
 
Mleta Uzi.amesahau kuwa Rais wa Malawi anatokea chama tawala cha zamani, Malawi Congress Party (MCP) kilichokuwa madaeakani tangu Uhuru wa nchi hiyo (1963) hadi 1994 (miaka 31)!

Chama cha Rais wa kwanza wa Malawi, Kamuzu Hastings Banda.
Hajakosea ila hajui historia ya Malawi, kilichompotosha ni chama cha upinzani kimeshinda! Hajui hata CCM ikishimdwa itakuwa chama cha upinzani.
 
GENTAMYCINE,

Pamoja na mapungufu ya Malawi umebugi sana kuelewa ile interview wewe kwenye English ni Utopolo aibu karudie tena kuangalia na kusikiliza YouTube
 
Uko sahihi.
Jukwaani watu husema kingine
Tusione watu wanasema nitafanya ABC wajinga tu ndio wataamini
Ubinafsi ndio DHAMBI Mungu alishuka kushughulika nayo kupitia YESU Kristo
 
GENTAMYCINE,

Umesahau challte boy akiwa Mwanza alisema watu wa mwanza wasibomolewe nyumba kwa vile walimpigia kura.

Umesahau Magu 60% ya nafasi nyeti amewapa watu wa Kanda ya ziwa.

Umesahau aliwaambia watu wa Lindi na kilosa kuwa wawambie wabunge wao wawaletee maendeleo na akawambia wajifunze.
Magufuli na Chakwera n ndugu wa damu moja tu.
 
GENTAMYCINE,

Mbona Magufuli hajawahi kusema hivyo moja kwa moja lakini matendo na maneno yake kwa ufupi yanalingana kabisa na kauli hiyo na anatoka chama kikongwe?

Mfano kuagiza nyumba za Kimara zibomolewe bila fidia kwa vile kura nyingi zilimkataa na kukataza nyumba zisibololewe kwa vile walimpa kura nyingi?
 
MALAWI CONGRESS PARTY (MCP) ilianzishwa mwaka 1959.
Ndicho chama kilichopigania Uhuru wa Nyasaland (MALAWI).
Sasa kinaongozwa na Rais CHAKWERA.
 
Huyo ni Chakwera na si sera za chama chake. Elewa hilo kuwa hilo si tatizo la chama ila la mtu.
 
Mtazamo wako ni mzuri sana na makini lakini kosa la Chakwera Ni la Chakwera haliwezi kuwa conclusive kiasi cha kuhalalisha vyama vikongwe kuendelea kutawala.Wapo wengi waliofanya zuri,Abdoulaye Wade ,yule wa Ivory Coast,Tshekedi ,Marais wote wa Ghana baada ya kuwchana na utawala wa kijeshi,Bouhari wa Nigeria etc.Apigwe mawe Chakwera ila siyo wapinzani wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…