Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
RC sio kanisa ni saccos ndio maana wanaupuuzi mwingi, wanachanganya dini na siasa


USSR
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu

Walianza kukamata mikutano ya ndani ambayo ipo kisheria RC na Bakwata hawakukemea, walikamata na kuteka waandishi wa habari na wanaalakati wengine wao RC na Bakwata ilikuwa kama haiwahusu, Mashekhe wa uamsho walipewa kesi ya ugaidi RC na Bakwata ilikuwa haiwahusu, mbowe na bahazi za viongozi wa dini wamewekwa ndani hajatoka shekhe wa Bakwata wala nyie RC kukemea, Sasa nasema zamu yenu imefika mtapaza sauti zenu na hakuna atakae wasikia,
 
walianza kukamata mikutano ya ndani ambayo ipo kisheria RC na Bakwata hawakukemea, walikamata na kuteka waandishi wa habari na wanaalakati wengine wao RC na Bakwata ilikuwa kama haiwahusu, Mashekhe wa uamsho walipewa kesi ya ugaidi RC na Bakwata ilikuwa haiwahusu, mbowe na bahazi za viongozi wa dini wamewekwa ndani hajatoka shekhe wa Bakwata wala nyie RC kukemea, Sasa nasema zamu yenu imefika mtapaza sauti zenu na hakuna atakae wasikia,
Well analyzed bahati mbaya tu siko RC ila naunga hoja mkono
 
walianza kukamata mikutano ya ndani ambayo ipo kisheria RC na Bakwata hawakukemea, walikamata na kuteka waandishi wa habari na wanaalakati wengine wao RC na Bakwata ilikuwa kama haiwahusu, Mashekhe wa uamsho walipewa kesi ya ugaidi RC na Bakwata ilikuwa haiwahusu, mbowe na bahazi za viongozi wa dini wamewekwa ndani hajatoka shekhe wa Bakwata wala nyie RC kukemea, Sasa nasema zamu yenu imefika mtapaza sauti zenu na hakuna atakae wasikia,
Kumbe hapa unaonesha kuwa yale madai ya wanaosema nchi inaendeshwa na Katoliki na lawama zao kila siku kuwatupia Katoliki huwa ni ya kipuuzi tu, halafu wakiambiwa hawataki kusikia.
 
Tumefundishwa kuvumiliana. Na hakuna kitu hatari kama kudharau imani,dini,kanisa ama dhehebu la mwingine. Ndo maana yapo tofauti ili kila mtu kwa imani yake achague pakwenda.
So ni bora tukabebeana madhaifu ya kiimani kuliko kuanza kuchokonoana.
Umejibu kwa busara sana sana Mimi siwezi! Mungu akubariki
 
Uovyo wake upo katika lipi hebu tusaidie tuweze kufunguka ndugu,manake naona wana mavyuo,mahospitali,vituo vya kulelea watoto wasio na wazazi n.k

Inawezekana una unachokijua zaidi ya hivyo,tufungue ndugu yetu mpendwa.
Amen Amen nadhani Babati hapa kachemka sana
 
Ni sawa kabisa. nawapongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa hatua hiyo.
Yaani mnataka mfanye uhalifu halafu mkimbilie Kanisani na Polisi wawatizame tu? Msituchafulie kanisa, Msituchonganishe na Jeshi la Polisi Tanzania.
Kama ni muhalifu utakamatwa popote utakapokuwepo.
Uhalifu walioufanya ni upi? Umesahau kuwa Tulia Akson amesshaingia Kanisani Mara kibao na Uniform za CCM? Au uhalifu unakua kwa Chadema?
 
Mkuu kazi ya kanisa nini?
Hio ni thread nyingine ila wacha nikujibu kwa level yako "ni mahali pa kumshukuru Mungu, kutubu na kuwaombea wenyewe dhambi" kwahio kwakua mmesema Mbowe ni Gaidi walienda sehemu sahihi kumuombea Gaidi Mbowe ili "asituharibie nchi" kwahio Wale Wapuuzi wa Polisi na wewe ukiwepo mlitakiwa kiwasaidia katika maombi yao
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
FUNDA NYONDO, NA MKOME MMETUTESA TANGU UHURU, NINYI MNAJIFANYA NI CCM KINAKINDAKI NA MKOME, SHENZI TAIPU NDO MNAYABARIKI MASISIEMU YATUUAPO NA KUTUFUNGA. MUNGU AWAONE
 
Tumefundishwa kuvumiliana. Na hakuna kitu hatari kama kudharau imani,dini,kanisa ama dhehebu la mwingine. Ndo maana yapo tofauti ili kila mtu kwa imani yake achague pakwenda.
So ni bora tukabebeana madhaifu ya kiimani kuliko kuanza kuchokonoana.
Imani bila matendo n kazi bure.. imani n pamoja na kukemea maovu ktk jamii!
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Polisi binadamu wamezidiwa akili na polisi mbwa, ndio maana wanapitwa hata kwa vyeo.
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Wapi tena na lini??

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo unataka watu wakifanya maovu wageuze makanisa chimbo la kujificha? Kama police imefuata taratibu kanisa lina wajibu kwa kutoa ushirikiano

Watuhumiwa wanaweza kukamatwa sehemu yoyote ile na vyombo vya usalama. Uwe kanisani au mskitini haizuii serikali kufanya kazi.

Msichonganishe kanisa na waumini wake wala na serikali
 
Ni sawa kabisa. nawapongeza Jeshi la Polisi Tanzania kwa hatua hiyo.
Yaani mnataka mfanye uhalifu halafu mkimbilie Kanisani na Polisi wawatizame tu? Msituchafulie kanisa, Msituchonganishe na Jeshi la Polisi Tanzania.
Kama ni muhalifu utakamatwa popote utakapokuwepo.

Wasituchonganishe
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Kuna kitu wanakitafuta wamuulize Magufuli aliko
 
Back
Top Bottom