Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kwahiyo unataka watu wakifanya maovu wageuze makanisa chimbo la kujificha? Kama police imefuata taratibu kanisa lina wajibu kwa kutoa ushirikiano

Watuhumiwa wanaweza kukamatwa sehemu yoyote ile na vyombo vya usalama. Uwe kanisani au mskitini haizuii serikali kufanya kazi.

Msichonganishe kanisa na waumini wake wala na serikali
Mama D unaongea na huyu bwabwa ,unamshauri lipi kama waziwake wameshindwa

USSR
 
Tumefundishwa kuvumiliana. Na hakuna kitu hatari kama kudharau imani,dini,kanisa ama dhehebu la mwingine. Ndo maana yapo tofauti ili kila mtu kwa imani yake achague pakwenda.
So ni bora tukabebeana madhaifu ya kiimani kuliko kuanza kuchokonoana.
Sijui huu utamaduni wa kusemana kiimani uneanza lini...Hakuna vita mbaya kama vya imanj, maana watu wanaondoka kwenye rationality wanabakia kupigana kiimani bila reasoning
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Hz ni dharau kwa kanisa na waumini haiwezekan watu waende kusali alafu wanakamatwa
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Eleze nini kilitokea na kwa nini mnakamatwa. Acha kujificha kwenye mgongo wa imani. Ukifanya kosa la jinai kanisani utakamatwa t u. Mbona hamjakamatwa kipindi cha nyuma. Kuna kitu unaficha.
 
malalamiko yataisha itakapopatikana KATIBA mpya

Wanaume huwa hawalalamiki kipara20
Wanaume huwa wanasimama na kutafuta suluhu ya kudumu

Sasa hawa wa chadema wamejawa lawama na excuses tuu suluhu hawana
 
Wanaume huwa hawalalamiki kipara20
Wanaume huwa wanasimama na kutafuta suluhu ya kudumu

Sasa hawa wa chadema wamejawa lawama na excuses tuu suluhu hawana

kwa akili kama za kina Sirro Suluhu haiwezikupatikana Mama D
 
Back
Top Bottom