mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kuna kitu wanakitafuta wamuulize Magufuli aliko
Aliko Magufuli hata wewe utaenda
Ile ni ahadi sio adhabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu wanakitafuta wamuulize Magufuli aliko
Mama D unaongea na huyu bwabwa ,unamshauri lipi kama waziwake wameshindwaKwahiyo unataka watu wakifanya maovu wageuze makanisa chimbo la kujificha? Kama police imefuata taratibu kanisa lina wajibu kwa kutoa ushirikiano
Watuhumiwa wanaweza kukamatwa sehemu yoyote ile na vyombo vya usalama. Uwe kanisani au mskitini haizuii serikali kufanya kazi.
Msichonganishe kanisa na waumini wake wala na serikali
Mama D unaongea na huyu bwabwa ,unamshauri lipi kama waziwake wameshindwa
USSR
Sijui huu utamaduni wa kusemana kiimani uneanza lini...Hakuna vita mbaya kama vya imanj, maana watu wanaondoka kwenye rationality wanabakia kupigana kiimani bila reasoningTumefundishwa kuvumiliana. Na hakuna kitu hatari kama kudharau imani,dini,kanisa ama dhehebu la mwingine. Ndo maana yapo tofauti ili kila mtu kwa imani yake achague pakwenda.
So ni bora tukabebeana madhaifu ya kiimani kuliko kuanza kuchokonoana.
Adhabu kwa washenzi kama yeye. Baraka kwa wateule.Aliko Magufuli hata wewe utaenda
Ile ni ahadi sio adhabu
Watoto??Asante Sana mamaD
Achana na vitoto hivi
USSR
Hz ni dharau kwa kanisa na waumini haiwezekan watu waende kusali alafu wanakamatwaPolisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.
Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.
Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?
Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.
Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.
Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Ni kukemea maovu,kutufundisha mema na kutenda mema.
Kuliko haya makanisa ya one man show. Akifa yeye na kanisa linasambaratika
Eleze nini kilitokea na kwa nini mnakamatwa. Acha kujificha kwenye mgongo wa imani. Ukifanya kosa la jinai kanisani utakamatwa t u. Mbona hamjakamatwa kipindi cha nyuma. Kuna kitu unaficha.Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.
Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.
Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?
Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.
Wakumbuke, nawakumbusha aliyekua Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauwaji Kanisani.
Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
moja kati ya makundi hatari kuwahi tokea chini ya jua
Heshma yako broNaan MAMA D
Nipo madam
Vipi Hali yako
Ni kweli atoe ushahidiSasa twende taratibu, Embu eleza huko lenyewe limetokea wapi katika Mazingira gani? Hapa Tunachokiona ni Lawama ambazo hatujui wapi zimeanzia!
Kabisa ila MTOA mada hajaja na nyama zakutosha
Chadema watakapoacha malalamiko na excuses watasaidia sana kujenga taifa hili
Vinginevyo watabaki kuwa janga kwa nchi yetu
malalamiko yataisha itakapopatikana KATIBA mpya
Wanaume huwa hawalalamiki kipara20
Wanaume huwa wanasimama na kutafuta suluhu ya kudumu
Sasa hawa wa chadema wamejawa lawama na excuses tuu suluhu hawana