Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Kama Kanisa Katoliki hawatakemea huu Ujinga nitashangaa sana

Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekuwa Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu
Hebu edit thrd yako kwa kuanza kueleza matukio hayo yametokea wapi. Kanisa gani? waliokamatwa ni akina nani?
Kuna mazingira yanalazimisha watu kukamatwa. Kumbuka kipigo ktk msikiti wa Mtoro pale mnazi mmoja, weee! Watu walichomekea kanzu zionekane ni mashati meupe! Kanisa isiwe ni maficho ya majambazi. Kama ni makosa ya vibaka, kuwakamata makanisani ni upuuzi wa serikali.
 
Wewe ni bweha kweli. Kila mtu anayetoa mawazo nje ya upumbavu wako ni CHADEMA? Inaonekana chanjo imekufanya ujue mambo mawili tu ccm na chadema, Acha ku attack personalities za watu, weka hoja. Pumbvu.

Personality yenyewe unayopigania ndio hiyo ndio unayoiita Pumbu🙄🙄🙄
Jifunze kutenganisha ujinga wako na hoja. Hii itakusaidia japo kuheshimisha hizo pmbu zako unazozianika huku jukwaani. Kaugulie mbele huko
Lione kwanza! Unaaiisha wanaume😃😃😃😃
 
Kuweni na subira, wiki hii Fr Dr Kitima atalitolea ufafanuzi. Kuvamia Cathedral sio kazi ndogo na tamko la kulaani kitendo hicho linapaswa kufanya na TEC kwa consultation ya Maaskofu wote kupitia kwa Idara maalum.
 
Issue inabidi iwe kushika watu wasio na hatia ?
Sio walioshikwa ni kina nani au wameshikiwa wapi...
 
Kuweni na subira, wiki hii Fr Dr Kitima atalitolea ufafanuzi. Kuvamia Cathedral sio kazi ndogo na tamko la kulaani kitendo hicho linapaswa kufanya na TEC kwa consultation ya Maaskofu wote kupitia kwa Idara maalum.
Shukrani sana sana. Asante na ubarikiwe
 
Mama anaupiga mwingi mno [emoji16][emoji16][emoji16]

Kuna nyumbx walitaka kupeleka siasa zao za kijinga kanisani, wameenda kudakwa huko huko.
Hapo umenena,Mimi ni mkatoliki na nipmepata kamili,ila kwa hili kweli linanikera sana,lakini sishangai sana maana siro alikuwa mseminary,ogopa sana mseminary asipofikia harua kamili
 
Au wanalikomesha kanisa kwasababu lilikuwa Lina msapoti mwendazake
Itakua mistake kubwa sana, tuko taayri kusimama na kanisa hata kama itatubidi kufungwa maisha
Wapi tena huko Mkuu?
Jumla ya viongozi na wanachama 20 wa CHADEMA kanda ya Viktoria wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi baada ya kukamatwa jana kanisani.

Kwa mjibu wa OCD anadai kuwa wanachama hao wa CHADEMA walifanya vurugu kanisani.

Askofu Nkwande amekanusha kuwa kulikuwa na vurugu
 
Kumbeee...! Wasikubali...waende Mahakamani
Jumla ya viongozi na wanachama 20 wa CHADEMA kanda ya Viktoria wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi baada ya kukamatwa jana kanisani.

Kwa mjibu wa OCD anadai kuwa wanachama hao wa CHADEMA walifanya vurugu kanisani.

Askofu Nkwande amekanusha kuwa kulikuwa na vurugu
 
Kama ni wahalifu acha wakamatwe na kama si wahalifu WATASHINDA KESI

Lingine kuwe na UTENGANISHO wa SIASA na DINI hii toa WARAKA na matamko ya viongozi wa dini ya kisiasa ni kulitumbukiza hilo kanisa kisiasa, ukicheza na Mbwa atakufuata hata msikitini.
 
Polisi wa Tanzania wanaendeleza dhihaka kwa Kanisa kubwa kabisa nchini na duniani RC kwa kuvamia kila mara kwenye ibada zake na kukamata waumini tena ibadani.

Cha kushangaza haya hayatokei SDA wala Lutheran wala kwenye haya makanisa kama ya akina Gwajima.

Hii ni dharau na dhihaka kubwa sana, Polisi hawajaitwa kuwa pengine kuna uvunjifu wa amani, sasa kiherehere cha kwenda kukamata waumini kisa wanafanya maombi kinatoka wapi?

Huku kuwashwawashwa kwa Polisi wa Tanzania kutatupeleka kubaya soon.

Wakumbuke, nawakumbusha aliyekuwa Mkurugenzi wa Itigi na baadhi ya Askari Wanyamapori wako gerezani Singida hadi leo kwa kesi ya mauaji Kanisani.

Tumieni akili kidogo acheni kudharau imani za watu

Jumla ya viongozi na wanachama 20 wa CHADEMA kanda ya Viktoria wanaendelea kushikiliwa na Jeshi la polisi baada ya kukamatwa jana kanisani.

Kwa mjibu wa OCD anadai kuwa wanachama hao wa CHADEMA walifanya vurugu kanisani.

Askofu Nkwande amekanusha kuwa kulikuwa na vurugu
Inawezekana kanisa katoliki linashiriki huu uhuni maana haingii akili waumini wako wanakamatwa kila mara na hakuna tamko zito unalotoa kulaani.

Uenda kanisa katoliki ndio wanaotoa taarifa polisi, hawa jamaa ni wanafiki sana
 
We umejuaje kama waliokamatwa ni wanachadema.?
 
Tumefundishwa kuvumiliana. Na hakuna kitu hatari kama kudharau imani,dini,kanisa ama dhehebu la mwingine. Ndo maana yapo tofauti ili kila mtu kwa imani yake achague pakwenda.

So ni bora tukabebeana madhaifu ya kiimani kuliko kuanza kuchokonoana.
Muhalifu hasubiri pa kukamatiwa. Popote pale. Yaani anaweza kushushwa hata kwenye kiuno cha mkewe akafungwa pingu.
 
CHADEMA acheni ujinga. Kanisa katoliki sio PLATFORM ya kufanyia propaganda za kijinga. Acheni kuleta siasa za maji taka kwenye kanisa ambalo ni taasisi yenye mifumo yake. Halitakuwa kanisa kama vikundi vya kisiasa na vya itikadi mbalimbali vitajikusanya kuja na mabango yao, uniform zao na kuzuga wanakuja kusali wakati wana mambo yao. Tafsiri ya fadher kitima ilikuwa ya ki harakati zaidi na hakutafakari kuhusu heshima ya kanisa na madhara ya kuruhusu vikundi vya kisiasa kuja kufanya propaganda zao.

Huo ujinga walioufanya Mwanza kanisa lisimame na likemee usijirudie na kama kuna miongoni mwa waliotengeneza huo ujinga ni miongoni mwa waamini washughulikiwe kwa mujibu wa sheria na taratibu za kanisa
 
Back
Top Bottom