Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Hahahaa viwete na vipofu wa mchongo Hilo Dili lilikufa mda mrefu Sasa Jeni anaitwa mariamu ester anaitwa mwantumu danganya toto hawatakaa wafanikiwe muda sio mrefu watamwaga manyanga chini na kusilimu
 
Yesu ni mwokozi wa maisha yako,mpokee upate uzima wa milele.
Waislamu wanamtambua Jesus original sio huyo aliesulubiwa waislamu hawamtambui kwa maana mtume wa mungu hawezi kuwa laana maana bibilia inasema alifanywa kuwa laana ili kuwakomboa iko hivi anaemfuata alielaaniwa nae? Atakuwa jibu peke Yako huko sipo
 
Anawavuta tu baadae awaue kwa mkanyagano kama alivyowaua wale watafuta miujiza kule Moshi
 
Katika waumini wenye mioyo ya utoaji ni wa kristo ila upande wapili ni wabahiri kinyama..ndio mana hawana maendeleo zaidi ya kusubiri tende namisaada toka uarabuni.

#MaendeleoHayanaChama
 
Koran in mtu anaitwa Issa na Alikimbia msalaba , akawekwa Isa bandia badala yake
Pole sana tena narudia pole sana kasome ujue ni Nini kilichoandikwa utajua kuwa yesu unaemfuata ni WA mchongo
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Mkuu ulikua na ushahid gani Kama ni waislam tumeshihudia wachungaji wakiwapanga watu Kama dili Mara ngapi kwa hiyo hao we umeowaona wamevaa tu shungi ukaona ni waislam je Kama ndio njia ya kuendelea kupigwa je
 
Pole sana tena narudia pole sana kasome ujue ni Nini kilichoandikwa utajua kuwa yesu unaemfuata ni WA mchongo
Kilicho andikwa
  • Issa , inasemekana walitamka kumuua ila Allah akatengeneza issa mwingine akauliwa
  • Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe
    • Koran 4;157. Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu.
  • Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially.
 
Msaliti alikuwa nani na alizikiwa wapi? Nafahamu utajibu kuwa kua alipotea
 
Muislamu atafanya dhambi lakini mara nyingi ni ngumu kubadili upande labda huyo awe ni Muislamu jahil wa levo ya chini kabisa.

kabisa maana katika uislam ni bora uwe gaidi uue watu utaonekana wa maana lakini sio kuwa mkristo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
huyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kwan wamelazimishwa Mzee Mimi mkristo ila nilipo Kuna waislamu wanaenda kwake kuabudu ni haki yao
 
Msaliti alikuwa nani na alizikiwa wapi? Nafahamu utajibu kuwa kua alipotea
Kuna habari za msaliti ndani ya Koran ? Ni jambo jipya nasikia leo, msaliti wa Isa namsoma wapi kwenye koran
 
Hivi kuna wabaguzi na waliojaa chuki kama waislam?

Nyie watu ni tatizo dunia nzima.
Hakuna MTU mbaya kama mnafiki''anakuchekea huku anakuangamiza,,, Bora adui unayemjua kuliko mnafiki. Waislam lazima tuwe tatizo dunia nzima lkn sio Kwa SBB ya chuki Bali sababu ya msimamo tunaishi Kwa kufuata Muongozo mmoja Tu WA KITABU kimoja dunia nzima hatupelekeshwi na mamlaka za DUNIANI kama mnavopelekeshwa nyie chochote atakachoona mzungu Sawa kinaingizwa ktk dini na nyie mnakibariki Kwa hiyo lazima dunia ituone tatizo,,wakati dunia inatuona tatizo uislam huo huo WA tatizo la dunia ndio dini inayokua Kwa Kasi duniani'' SA sijui itakuaje
 
Shida ya Mwamposa habatizi, yeye anaombea tu, watu wanaendelea na Imani zao, Kama Ile wametoka kwa mganga, ilitakiwa ahubiri wokovu kwanza Lanka ya maombezi
 
Unajaribu Kuweka mambo yasiyo ndani ya Koran na Hadith tena umefika mbali unasema Koran ilikuwa ya mda flani ,

Allah kasema ata baba Yako akiwa sio muislamu usiwe na urafi nae embu Anza na chuki hiyo, ielezee inatekelezwa vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…