Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Halafu,kwa nini aviziwe?Na wao waanzishe huduma za kiaina yao.Naweza kuwa sielewi au siamini huduma yake lakini katika hili sioni kosa lake. Ni haki ya kila mtu kuchagua wapi pa kuabudu.
Hakuna mtu wala dini yenye mamlaka ya kumpangia raia yeyote dhehebu la kufanya ibada.
Si uongo ndg huku mtaani kwetu mbona wengi tu wanahudhulia ibada huko kawe? na sio siri hasa wamama wanakumbushana na wanakwenda,hii si tv nimewaona na ninawajuaWizi mtupu hakuna muislam pale!!
We umeona hijabu unasema waislam
Ndiyo. Mungu ni mmoja dini tofautiHalafu mnasisitiza Mungu ni mmoja. Mna tatizo pahala
Hahaaaaa, kwa kweliHahah wamehama kwenye viwete na vipofu na kufufua watu,
sasa wameamua kuweka maboya ya hijabu na nikab. Huo utapeli tunaujua sana.
Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.Huu mjadala ulishafungwa!watajisalimisha sana
Yaani baadhi ya makanisa yameishiwa mbinu siku hizi za kuwadanganya waumini kwa kuwafufua wafu, kuwaombea viwete wa mchongo nakadhalika kwakuwa mbinu hizi zimeshabainika.Huu mjadala ulishafungwa!watajisalimisha sana
Kwahiyo ukristo kwako ni uadui..kwamba mwisilamu hapaswi kuchangamana na mkriso..hizi dini na wafia dini huwa ni wapuuzi.Dada yale ni maigizo hakuna muislamu anayeenda kwa Mwamposa ama kwa mchungaji yeyote.
Nimeshuhudia dada mmoja hivi ni mkristi safi nilisoma naye Tabata siku hiyo kaenda kwa Mwamposa alikuwa na mkutano wa injili maeneo ya Kinyerezi.
Huyu dada alivaa hijab na nikab juu sikumtambua kabisa lakini wakati anapanda gari kurudi nyumbani aliitoa nikabu akabaki na hijab ndo nikamfahamu hivyo tukasalimiana kwakuwa tunafahamiana vizuri kabisa.
Sasa huyo ni mmoja tu ya mamluki wa kikristo wanaotumiwa wajifanye waislam ili kuwavuta waislamu. Hakuna muislamu mwenye akili timamu ataenda kwa Mwamposa nakuhakikishia.
Hakuna kitu kama hicho.Ndiyo. Mungu ni mmoja dini tofauti
Haaaaa wewe ni toto lao kwa hiyo wewe ni kijibwa chaoKuna tofauti kati ya muumini na muislamu! Hao wote ni mbwa tu kwahiyo wanamfuata mbwa mwenzao
Suleiman Mohammed tukale zetu kitimoto leo sinza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23] Kwa sababu Kila unaemuona anaenda Kwa mwamposa. Anaitwa SULEIMAN,JUMA, AISHA,HADIJA basi akili Yako yote inakutuma kama hao ni Muslims
Nikabuhao sio waislam hao..ni maigizo kama kufufua maiti na vilema kutembe...mchukue mmoja muulize au mwambie asome sur tul fath akisoma nakupa 1000k hapa hapa
Truehuyo mwamposa anaviziwa tu! hii ni mbinu ya wapinzani wake either serikali au wenzake walokole! wanamsogeza kwenye hasira za waislam! atapata majibu
Kaongee nae nawewe uwe tapeli kama YeyeHilo tapeli wanaomfuata ni watu wasiojielewa tu, sasaivi ana boti kumi za uvuvi kule pwani ya kunduchi na ununio nasikia
Nchi huru hii mbona amlete fujo mnapokunywa pombe bia au mduduWe huwajui Waislamu, kwenye Uislamu hakuna huo uhuru unaousema
kama ni kweli anavyoeleza mtoa mada, hili litaleta bifu kubwa sana siku sio nyingi
Hio ni danganya wajinga,Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Na waumini wa kweli sasa hivi wapo msituni wanapigana jihad. Wewe muumini wa keyboard unawezaje kumuita mwenzio mbwa?Kuna tofauti kati ya muumini na muislamu! Hao wote ni mbwa tu kwahiyo wanamfuata mbwa mwenzao