Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

Kama kasi ya Mwamposa ikiendelea hivi, kuna hatari waislam wote jijini Dar wakabatizwa

hiyo hadithi inasema uislamu ulianza ukiwa mgeni na utarudi ukiwa mgeni hivyohivyo kama ulivyoanza, kwa maana bado ni kitu cha kushangaza na kigeni na ugeni wake hauishi maana wanaoshikamana nao bado wanaonekana wa kipekee na wageni katika miji.

na hiyo hadithi ya iymaan kurudi madina lau ungejua maana yake.
Huo ugeni unaoutunga mbona kwenye hadith haupo
soma tena
  • Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
    • Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
  • Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
    • “Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
 
Huo ugeni unaoutunga mbona kwenye hadith haupo
soma tena
  • Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
    • Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159
  • Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
    • “Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
بدأ الإسلام غريبا و سيعود غريبا كما بدأ فاطوبى للغرباء
غريبا ni kitu kidogo!? utakuwa umevuta bangi ya mashona nguo mkuu.
 
بدأ الإسلام غريبا و سيعود غريبا كما بدأ فاطوبى للغرباء
غريبا ni kitu kidogo!? utakuwa umevuta bangi ya mashona nguo mkuu.
Kwa nini waislamu mkibanwa kidogo tu mna activate panic mode , sio wewe tu wote humu
Gusa link nenda kawaambie waislamu wenzako ndio wanavuta bangi kwa kuandika ilianza kama small religion na itarudi kuwa small religion
 
Mkristo anayemjua Kristo na kufuata mafundisho ya Biblia hawezi kwenda pale.
Hata Muislamu anaeijua dini hawezi kamatwa pale, pale wanaenda vipofu.
 
Kwani hao wanaoabudu kwa mwamposa wanaabudu wakiamini huyo mwamposa ndiye mwokozi wao na mtoa baraka wao au?"

Maana kila upande mwamposa anabariki mwamposa anabariki nataka kujua hao wanaabudu ktk Mungu Na KwelI?
Miujiza utoka kwa Mungu na shetani pia utambulika kwa matunda yao.
 
Watu wanaelemewa na matatizo mengi; kwa hiyo wanatafuta sehemu ambapo watatua mizigo yao.

Ni sawa na kwa mganga kukuta foleni; kuliko kwenda huko kwenye foleni, bora aende kwenye digital (maombezi tu, matatizo yanakuwa yametatuliwa bila mwili kuathiriwa)
Matatizo yote chanzo ni ukosefu wa maarifa, ukiwa na maarifa matatizo ukimbia
 
Kama hilo nyomi la wamama wa kiislam na waume zao tunaliona kwenye TV yake ni la kweli, basi baada ya miaka 5 Dar itakuwa na wakristo tupu.
Wakristo wa-atupu , sio Wakristo tupu..
Kajifunze kuandika kiswahili kwanza halafu ndio uje na upuuzi kama huu

Kiti ki-tupu=Kiti hakijakaliwa na mtu
JF imejaa Wajinga wa-tupu

Maliza Sentensi hapo chini tumia neno tupu
Meli imekuja ikiwa. _____

Neno tupu lina maana zaidi ya moja
Tupu ni sehemu za Siri za mwanamme au mwanamke.

Utupu wa mwanamke ni mzuri..
Utupu wa mwanamme ni...........
 
Wewe mbona umejisalimisha kwa Mohamed na kufata maagizo yake?
Kwa wanafata dini kiislam Muhamad no binadamu kwa binadamu mwengine, isipokuwa yeye kapewa uwezo na Allah.

Wanaofata dini ya Yesu wao wanaona Yesu ni Mungu ijapokuwa Yesu mwenyewe kazipinga hizi shutuma....

Kwa waislam Yesu/Isa/Iso/Joshua/Jesus/Yasu ni Mtume wa Allah kama Mitume mwingine, miujiza yote aliofanya Joshua kapewa uwezo na Mungu..

Yesu hana vigezo vya kuwa Mungu
 
Kwa wanafata dini kiislam Muhamad no binadamu kwa binadamu mwengine, isipokuwa yeye kapewa uwezo na Allah.

Wanaofata dini ya Yesu wao wanaona Yesu ni Mungu ijapokuwa Yesu mwenyewe kazipinga hizi shutuma....

Kwa waislam Yesu/Isa/Iso/Joshua/Jesus/Yasu ni Mtume wa Allah kama Mitume mwingine, miujiza yote aliofanya Joshua kapewa uwezo na Mungu..

Yesu hana vigezo vya kuwa Mungu
Ila kwenye biblia Yesu ni mwana wa Mungu=Mungu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ila kwenye biblia Yesu ni mwana wa Mungu=Mungu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sisi sote ni wana wa Mungu, kila Mtume ni mwana wa Mungu

Unataka kuniambia Mungu alifanya mapenzi na bikra Maria akapatiana Yesu

Kama Biblia umeandika Yesu kamwita Mungu baba haina maana kuwa Mungu ni baba ake, ni heshima tu..

Nyerere wanamwita baba wa Taifa, haina maana Nyerere alitembea na mama zetu, ni heshima tu..

By the way hakuna hata sehemu moja katika Bible iliyoandikwa kuwa Yesu ni Mungu
 
Sisi sote ni wana wa Mungu, kila Mtume ni mwana wa Mungu

Unataka kuniambia Mungu alifanya mapenzi na bikra Maria akapatiana Yesu

Kama Biblia umeandika Yesu kamwita Mungu baba haina maana kuwa Mungu ni baba ake, ni heshima tu..

Nyerere wanamwita baba wa Taifa, haina maana Nyerere alitembea na mama zetu, ni heshima tu..

By the way hakuna hata sehemu moja katika Bible iliyoandikwa kuwa Yesu ni Mungu
Kama unaamini adamu na hawa waliubwa na wala hawakutokana na mapenzi kama tunavyozaliwa sasa..inakua vipi ngumu kwako kuamini bikra alipata ujauzito kwa uwezo wa roho mtakatifu.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kanisa moja walienda mbali zaidi wakawa wanaimba hadi gospel kwa kiarabu, wanavalisha waumini wao niqab na mabaibui, kanzu na balakashia ili kumisslead muslim societies ila mwisho wa siku walikwaa kisiki. Point yangu ni kwamba tumia akili yako.
 
Kama unaamini adamu na hawa waliubwa na wala hawakutokana na mapenzi kama tunavyozaliwa sasa..inakua vipi ngumu kwako kuamini bikra alipata ujauzito kwa uwezo wa roho mtakatifu.?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sijapinga kama mwanamke bikra kupata mimba, mwanamke anaweza kupata mimba bila ya kuingiliwa na mwanamme..

Mungu anaweza kufanya chochote anachotaka, lakini unaposema Yesu ni mtoto wa Mungu,, hilo nitalipinga sana
 
Kuna tofauti kati ya muumini na muislamu! Hao wote ni mbwa tu kwahiyo wanamfuata mbwa mwenzao
Kama huu ndio uislamu wa kuita mbwa binadamu wenzio, naungana kabisa na hao wanao ikimbia imani hii ya kiislam.
 
Kwa wanafata dini kiislam Muhamad no binadamu kwa binadamu mwengine, isipokuwa yeye kapewa uwezo na Allah.

Wanaofata dini ya Yesu wao wanaona Yesu ni Mungu ijapokuwa Yesu mwenyewe kazipinga hizi shutuma....

Kwa waislam Yesu/Isa/Iso/Joshua/Jesus/Yasu ni Mtume wa Allah kama Mitume mwingine, miujiza yote aliofanya Joshua kapewa uwezo na Mungu..

Yesu hana vigezo vya kuwa Mungu
Muhammad kwa waislamu sio mtu wa kawaida ndio maana hata akichorwa katuni mnavaa mabomu na kujilipua.

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai. Acha kufuata korani inayoleta blah blah miaka mia sita baada ya biblia kuwepo.

Mnapenda sana kusema Issa ndio Yesu ili kumpa umaarufu jamaa yenu. Leta hapa ushahidi kwamba huyo issa alipata kuishi Israel.
 
Muhammad kwa waislamu sio mtu wa kawaida ndio maana hata akichorwa katuni mnavaa mabomu na kujilipua.

Yesu Kristo ni Mungu aliyehai. Acha kufuata korani inayoleta blah blah miaka mia sita baada ya biblia kuwepo.

Mnapenda sana kusema Issa ndio Yesu ili kumpa umaarufu jamaa yenu. Leta hapa ushahidi kwamba huyo issa alipata kuishi Israel.
Ni Kweli Muhammad kwa Waislam sio mtu wa kawaida kwani yeye ni binadamu alipewa uwezo wa Mungu tafauti na Binaadamu wengine..

Huyu mnaemwita Yesu ni Myahudi aliezaliwa kwa jina la Joshua, Warabu wanamwita Isa, Wayahudi wanamwita Iso, Warumi walimwita Jesus, Wagiriki walimwita Jasu, Waswahili mmeiga jina waliomwita Wagiriki na kumwita Yesu ..

Waislamu hawataki Mtume wao achorwe ili kuepukana na yale yaliyonikuta Yesu,

Yesu ana sura zaidi ya moja kila Kanisa lina picha tafauti ya Yesu... Yesu blue eyes, Yesu Blondie,.. nk

Uwelewa wako mdogo ndio unao kufanya uandike ulichoandika.

Hamna kitu kinachoitwa Mungu aliehai, Yesu kafa miaka mingi iliyopita, sasa tuseme Dunia inaongozwa nani hivi sasa?..

Tafakari
 
Back
Top Bottom