Kweli CCM wameishiwa na watu wenye kuweza kutoa hoja zenye nguvu na kuweza kujibu hoja zenye nguvu badala yake wanataka kuvunja hoja kwa kutumia nguvu !
Waombwe radhi ma-Think tanks wa zamani warudi mzigoni !!
Au nasema uongo ndugu zanguni ??! 🙏🙏
Kweli CCM wameishiwa na watu wenye kuweza kutoa hoja zenye nguvu na kuweza kujibu hoja zenye nguvu badala yake wanataka kuvunja hoja kwa kutumia nguvu !
Waombwe radhi ma-Think tanks wa zamani warudi mzigoni !!
Au nasema uongo ndugu zanguni ??! 🙏🙏