Kama kijana mpambanaji, hakikisha hukosi vitu hivi

Kama kijana mpambanaji, hakikisha hukosi vitu hivi

Mgawa RIZIKI, THAWABU, BARAKA ni MUNGU . Yeye ndiye katuumba na ni yeye pekee ndiye anajua Hatima ya maisha yetu. Akiamua atakalo lazima atende na hakuna wa kumzuia.
Usiwapotoshe aise wacha Ni lzm vijana wapambne kwa namna zoKte hizo risiki utakutana nazo mbele kwa mbel kuliko kusubiria risiki usio ijuwa ,

Huo msemo wako Ni mbay sna na kidgo iniaadhiri vibaya hvyo imiza watu waingie mzigoni risiki itakwakuta njiani okay period
 
Huu ubongo wako umeoza mgawariziki kaingiaje apo jaribu kupambania hatima yako acha upuuzi
Uko sahih kbsa mkuuu eti mgawa risiki Ni mungu badla aimize vijana kujituma na Kisha riski ziwakute huko mbele kwambel. Yeye anawambia mgawa tahawabu Ni mungu huyu jmaaa Ni mshenzi sna hafai dunian wala mbinguni
 
Upatikanaji wa passport ni mgumu sana
Sijui kwa upande wako kwa hili ulisemalo mm nimechukulia DAR ndani ya cku 10 za kazi tu.Na hata Mia yangu hawajala. Kila mahitaji yao ya kuambatanisha nilikua nayo bila kukosa. Mpk wakakubali kunipatia. Ugumu wako ww ulikua kwenye nn sana.
 
Wapo watu wana vitambulisho vya nida kabisa sio namba
Wapo watu wanaleseni zinaqualification na certificate kutoka VETA, NIT na PVS
Wapo wenye TIN number nzuri tu
Wapo watu wana computer skill wanajua graphic design coding nk
Watu wana account zaidi ya moja crdb NMB DTB maendeleo bank nk

Ila hawana ajira kwa sababu wanategemea ajira.
Ila kama huna ajira unataka kujiajiri hizo sio zana ni mabomu ya kukurudisha nyuma.

Zana ni
Mawasiliano
Maarifa sahihi
Competence
Self employment.

Wewe unawaza kuajiliwa kama afisa takwimu unataka kumhesabu nani bwege nini!
Mbona bwege ha ha ha
 
Namba 6 naomba maujuzi nataka nijifunze kupitia you tube ni channel gani ipo vizuri kufundisha?
 
Watu tuna hadi vyeti vya uviko na homa ya manjano lakini wapiii😂
Umenikumbusha kipindi kile mama ndo amechomwa sindano ya uviko, na mm nikapata interview ya ajira portal nikaona na mm nikapate chanjo yangu afu siku ya interview nitafute namna yoyote ile ili tuu niseme na mm nimechanja ili nionekane mzalendo.
Siku majibu yanatoka ya kazi 😂😂😉 kilichotokea nicheke kwanza 😂😂😂
 
Umenikumbusha kipindi kile mama ndo amechomwa sindano ya uviko, na mm nikapata interview ya ajira portal nikaona na mm nikapate chanjo yangu afu siku ya interview nitafute namna yoyote ile ili tuu niseme na mm nimechanja ili nionekane mzalendo.
Siku majibu yanatoka ya kazi 😂😂😉 kilichotokea nicheke kwanza 😂😂😂
Hapo kwanza nchekee … 🤣🤣 Hio ilkua written ama oral!?
 
Back
Top Bottom