Kama kijana mpambanaji, hakikisha hukosi vitu hivi

Kama kijana mpambanaji, hakikisha hukosi vitu hivi

Hatima ya maisha yangu iko mikononi mwa Mungu.

Na sina uwezo wa kuipambania.

Nasema hivi kwasababu.... Jana tumemzika Ndugu yetu ambae alikua anapambania Hatima ya maisha yake (sisi pia tukaongeza nguvu ya kumpambania)....pesa nyingi sana zimetumika kuuokoa uhai wake...lakini Mungu akasema no! Akamchukua.

Unaweza kwenda kwenye usaili ukakutana na vichwa,...na ukawa hauna hata vigezo...lakini ukashangaa umepita kirahisi sana. MUNGU NI FINAL SAY KATIKA MAISHA YETU, MENGINE MBWEMBWE TU


Note: kila mtu anataka na anapenda kuwa na maisha mazuri. Tuwe makini sana katika upambanaji wetu.

USITUMIE nguvu katika upambanaji wako, tumia AKILI.
Very true mkuu
 
Hatima ya maisha yangu iko mikononi mwa Mungu.

Na sina uwezo wa kuipambania.

Nasema hivi kwasababu.... Jana tumemzika Ndugu yetu ambae alikua anapambania Hatima ya maisha yake (sisi pia tukaongeza nguvu ya kumpambania)....pesa nyingi sana zimetumika kuuokoa uhai wake...lakini Mungu akasema no! Akamchukua.

Unaweza kwenda kwenye usaili ukakutana na vichwa,...na ukawa hauna hata vigezo...lakini ukashangaa umepita kirahisi sana. MUNGU NI FINAL SAY KATIKA MAISHA YETU, MENGINE MBWEMBWE TU


Note: kila mtu anataka na anapenda kuwa na maisha mazuri. Tuwe makini sana katika upambanaji wetu.

USITUMIE nguvu katika upambanaji wako, tumia AKILI.
Naked truth
 
Mimi natilia mkazo kwenye kujifunza kazi za mikono Kama vile useremala,fundi ujenzi,fundi umeme, plumbing na kadhalika.

Ukiwa na ujuzi wa hayo mambo Hakuna siku utalala njaa.
 
Wapo watu wana vitambulisho vya nida kabisa sio namba
Wapo watu wanaleseni zinaqualification na certificate kutoka VETA, NIT na PVS
Wapo wenye TIN number nzuri tu
Wapo watu wana computer skill wanajua graphic design coding nk
Watu wana account zaidi ya moja crdb NMB DTB maendeleo bank nk

Ila hawana ajira kwa sababu wanategemea ajira.
Ila kama huna ajira unataka kujiajiri hizo sio zana ni mabomu ya kukurudisha nyuma.

Zana ni
Mawasiliano
Maarifa sahihi
Competence
Self employment.

Wewe unawaza kuajiliwa kama afisa takwimu unataka kumhesabu nani bwege nini!
basi wewe ndo unawaza hayo.

sikuzote wanasema upele humwota asiye na kucha. unakuta mtu anavyo vyote hivyo but hawezi kuvitumia. Skillls nyingi zipo mtandaoni na wana tunaishi kuliko wenye ajira zenu.

nitafute mtaani nikufundishe kitu.

afu takwimu imeingiaje hapo ndugu wa kaliua iheshimu shahada yangu mkuu.
 
Kupata passport ni mbinde sana wamefanya kama ni anasa kuwa nayo.
 
Hivi kunatofauti gani kati ya visa na passport mkuuu??!!naomba kujifunza.
Passport ni kitambulisho ambacho kinakuruhusu mwananchi kuweza kusafiri nchi za nje

Ila

Visa ni ruhusa ambayo unapewa na ubalozi wa hiyo nchi unayotaka kwenda ili wakuruhusu uingie nchini mwao

Nadhani apa umenipata jpo kidogo
 
Passport ni kitambulisho ambacho kinakuruhusu mwananchi kuweza kusafiri nchi za nje

Ila

Visa ni ruhusa ambayo unapewa na ubalozi wa hiyo nchi unayotaka kwenda ili wakuruhusu uingie nchini mwao

Nadhani apa umenipata jpo kidogo
Nimekupata nduguyangu asante kwa kujali mkuu.je waweza nipatia ni viambata vipi unahitajika kua navyo ili upate passport??kwa faida ya wengihapa.
 
Nimekupata nduguyangu asante kwa kujali mkuu.je waweza nipatia ni viambata vipi unahitajika kua navyo ili upate passport??kwa faida ya wengihapa.
Kwanza ili upate passport kwa Tz wanasema ni lazima uwe na kiambatanisho kua untka kusafiri mna Tz hawatoi passport kma kitambulisho cha Nida

Vitu ambavyo unatakiwa kuwa navyo ni hivi hapa

Screenshot_20230426-121206_Chrome.jpg
 
Kwanza ili upate passport kwa Tz wanasema ni lazima uwe na kiambatanisho kua untka kusafiri mna Tz hawatoi passport kma kitambulisho cha Nida

Vitu ambavyo unatakiwa kuwa navyo ni hivi hapa

View attachment 2600130
Asante sana mkuu.ila kwa mtazamo wangu,ushahidi wasafari ya nje daahh,
 
Mimi vyote ninavyo ila nauza nyanya karatu.
 
Mimi pia nahitaji passport , mwenye connection ya kutusaidia kuipata chap atupe info
Kupata passport hakuhitaji connection ila unahitaji mtu mwenye uzoefu wa kuomba passport ili akusaidie process maana kosa dogo kwenye ujazaji wa taarifalinaweza kukugharimu kuanza process upya ambayo ni gharama mpya.
 
Back
Top Bottom