Mcanada
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 982
- 1,942
Fact kabisa1. Namba ya NIDA.
2. Leseni ya udereva.
3. TIN number.
4. Bank Account.
5. Passport.
6. Computer skill ( hata kidogo)
7. Mengine ni mengineyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact kabisa1. Namba ya NIDA.
2. Leseni ya udereva.
3. TIN number.
4. Bank Account.
5. Passport.
6. Computer skill ( hata kidogo)
7. Mengine ni mengineyo.
Kama shughuli zako za gengeni passport ya nn?Vyote nakubali, ila hapo Passport nakataa
Sio kweli usitishe watu ukiwa Mtanzania na vigezo vyote unavyo unapata passport.Upatikanaji wa passport ni mgumu sana
Oral hapo, nikawaambia nimechanja 😂Hapo kwanza nchekee … 🤣🤣 Hio ilkua written ama oral!?
Jiongeze naye mgawa RIZIKI atakupa,,Mgawa RIZIKI, THAWABU, BARAKA ni MUNGU . Yeye ndiye katuumba na ni yeye pekee ndiye anajua Hatima ya maisha yetu. Akiamua atakalo lazima atende na hakuna wa kumzuia.
🤣🤣Oral hapo, nikawaambia nimechanja 😂
Slaa ndio nini?Ni sawa kabisa mjeshi haachi slaa maana popote kinanuka
Ukiwa mtoto mdogo huwez elewa na hupaswi kujua subili ukikua unikumbshe ntakwambiaSlaa ndio nini?
Sasa hauoni kua mungu huyu unaemtukuza unamzalilisha hebu zinapokua maada zakibinaadam acheni kuuingiza uhusika wake kwamaana yeye nikila kitu ila kashindwa kumuokoa jamaako mliye mgaramia nakumwombea kwahio unautweza ukuu wake kirahisi nakizembe kwasababu unamuhusisha namambo ambayo keshayamaliza kwakukupa akili punguzeni unafiki fanyeni kazi kwa maarifa mungu keshajivuaHatima ya maisha yangu iko mikononi mwa Mungu.
Na sina uwezo wa kuipambania.
Nasema hivi kwasababu.... Jana tumemzika Ndugu yetu ambae alikua anapambania Hatima ya maisha yake (sisi pia tukaongeza nguvu ya kumpambania)....pesa nyingi sana zimetumika kuuokoa uhai wake...lakini Mungu akasema no! Akamchukua.
Unaweza kwenda kwenye usaili ukakutana na vichwa,...na ukawa hauna hata vigezo...lakini ukashangaa umepita kirahisi sana. MUNGU NI FINAL SAY KATIKA MAISHA YETU, MENGINE MBWEMBWE TU
Note: kila mtu anataka na anapenda kuwa na maisha mazuri. Tuwe makini sana katika upambanaji wetu.
USITUMIE nguvu katika upambanaji wako, tumia AKILI.
kuna watu wajinga sana hivi ingekua riziki tu situngekua tunalala muda wote riziki siipo hawa watu niwapotoshaji wakubwaUsiwapotoshe aise wacha Ni lzm vijana wapambne kwa namna zoKte hizo risiki utakutana nazo mbele kwa mbel kuliko kusubiria risiki usio ijuwa ,
Huo msemo wako Ni mbay sna na kidgo iniaadhiri vibaya hvyo imiza watu waingie mzigoni risiki itakwakuta njiani okay period
sasa mpaka huo muda ugike siwatakua wamekufa nanjaa toa wazo mbadala vjana waweze kuneemeka kwa busara zako acha kuzungukaMungu bado hajataka. It is just a matter of time!
Vyote ninavyo na bado ngozi ni ngumu1. Namba ya NIDA.
2. Leseni ya udereva.
3. TIN number.
4. Bank Account.
5. Passport.
6. Computer skill ( hata kidogo)
7. Mengine ni mengineyo.
Kuna vingine ninavyo hapo hujaorodhesha lakn maisha ni ngumu ile hatar1. Namba ya NIDA.
2. Leseni ya udereva.
3. TIN number.
4. Bank Account.
5. Passport.
6. Computer skill ( hata kidogo)
7. Mengine ni mengineyo.
Lazima upinge tu kisa huna baadhi ya vitu tajwa apo.Wapo watu wana vitambulisho vya nida kabisa sio namba
Wapo watu wanaleseni zinaqualification na certificate kutoka VETA, NIT na PVS
Wapo wenye TIN number nzuri tu
Wapo watu wana computer skill wanajua graphic design coding nk
Watu wana account zaidi ya moja crdb NMB DTB maendeleo bank nk
Ila hawana ajira kwa sababu wanategemea ajira.
Ila kama huna ajira unataka kujiajiri hizo sio zana ni mabomu ya kukurudisha nyuma.
Zana ni
Mawasiliano
Maarifa sahihi
Competence
Self employment.
Wewe unawaza kuajiliwa kama afisa takwimu unataka kumhesabu nani bwege nini!
Tupanue huo uelewa sasaUelewa wako ni mdogo sana.
Nimeshamjibu aliyeuliza, ila kwakuwa una majibu yako tayari, nibishe ili iweje?Kama shughuli zako za gengeni passport ya nn?
Nimekuelewa sn mkuu.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app