Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Nidhamu tu kwa ujumla wake, kwenye kazi, jamii, masomo, dini, maisha na mambo mengine Mkuu. Itakusaidia sana japo kuna watakaokuona kama mjinga hivi ila itakusaidia sana.Sawa ahsante. Kwenye imani sina shaka. Je, kwenye nidhamu ni nidhamu ya aina ipi?
"Pesa hakikisha haikuendeshi kudharau watu au kutukana Mtu respect everyone ."Kaa mbali na wanawake
Wekeza katika career nikimaanisha Kazi na sio vitu mfano ukipata hela nunua vitu vya muhimu tu Kama Kitanda Godoro ,hela nyingine wekeza katika career yako kupitia hiyo matunda utakayopata ndo utaanza kununua liabilities so invest on ur carrer firstly.
Kaa mbali na Pombe na wanawake hii haimaniishi usiende clubs No
Pesa hakikisha haikuendeshi kudharau watu au kutukana Mtu respect everyone .
Ahsante sana. Nakutana nao wapi hao waliofanikiwa ili nijifunze?Mkuu nina mengi ya kukushauri,ila kama la kwanza ni hili anza kujenga uhusiano mzuri na watu waliofanikiwa,jifunze kupitia wao,kuwa kama nyuki beba uchafu wote kisha uchambue uchafu zaidi uutupe,penda kujituma,penda kujiweka msafi kuwa na heshima kwa kila mtu,usijifanye una jua kila kitu.
Ni hayo kwa sasa.
Mimi nishaingia nipo 25+"Pesa hakikisha haikuendeshi kudharau watu au kutukana Mtu respect everyone ."
[emoji115]
Ahsante kaka yangu #HayaLand
Mfano utumiaji wangu wa mitandao ya kijamii uko kibiashara zaidi. Hapa JF ni sehemu yangu kubwa ya kutolea stress na mawazo. Huwa naingia humu in my free time labda nikiwa kwenye daladala, natafuta usingizi au nimepoz tuSawa nashukuru sana. Nina uraibu wa mitandao ya kijamii pia. Je, ni kama ipi? JF?
Ashindwe yeye kuelewa tu. .Umemaliza kabisa
Hakika huko ni kupoteza mudaMfano utumiaji wangu wa mitandao ya kijamii uko kibiashara zaidi. Hapa JF ni sehemu yangu kubwa ya kutolea stress na mawazo. Huwa naingia humu in my free time labda nikiwa kwenye daladala, natafuta usingizi au nimepoz tu
Vijana wengi wanashinda kwenye mitandao ya kijamii badala waende kutafuta pesa. Unakuta mtu kucha kutwa anatongoza watu mitandaoni cha ajabu anatongoz wanaume wenzake bila kujua. Huoni huko ni kupoteza mda?
suala la totoz zingatia sana ukiwa chuo, nje huku tabu tupu aiseeHeri ya siku njema ya leo.
Mimi ni kijana wa miaka 24 naelekea kutimizia 25 hivi karibuni. Ninasoma chuo kikuu mwaka wa nne(wa mwisho).
Nimewaona wengi ambao wangeweza kunishauri vitu vya msingi vya kuwa navyo umri huu kabla muda haujaniacha, ila kwa heshima ya madini yatokayo JF nimeamua kuja humu kwanza kutoa duku duku langu hili.
Humu najua tupo watu tofauti ila wengi ni intellectuals. Naomba mnisaidie fumbo langu hili, kulitafsiri na kuniambia chochote kitu.
Sitaki kujutia kama wengi wa miaka 50+ wanavyojuta, kwa kushindwa kuukomboa wakati. Sitaki yanifike hayo.
Wakati ni sasa, na leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Wakati umeiva!
Ndo maana ukaambiwa maliza shule kwanza.Sawa nashukuru. Ila ni kama umenitisha. Hata huku kusoma mbona ni mapambano pia? Au unaongelea mapambano yapi?
Kujali mudaAhsante sana kaka yangu #MshanaJr, nidhamu ya biashara inakuwaje kuwaje kwa kifupi?
Ha ha ha akatae ndoa.1. KATAA NDOA
2. Kuwa na nidhamu ya pesa.
3. Usipende kusaidia saidia watu hovyo, itakugharimu.