Kama kijana nifanye vipi sasa kabla muda haujanitupa mkono?

Ahsante sana, nimeupokea ushauri huu.
 
Daaaa mwenzio Nina five decade na cjasoma ramani
 
Ushauri wangu labda ndio utakua wa tofauti sana , Mie nakushauri kama hauna connection yoyote bongo utaishia kua maskini ni bora uondoke tu tafuta chuo US au nchi yoyote ya Ulaya lakini US na Canada ndio rahisi zaidi, uaply chuo kozi uliosomea kama kawaida, kila watachokihitaji lipia, hadi visa au jaribu green card, halafu uondoke bongo huko fika soma kidogo halafu tafuta kozi hizi ambazo zinahitaji watu kwa sasa kama healthy science ambazo zimeathirika na Covid. Ukimaliza hizo kozi hukosi kazi za maana; na mshahara utapata wa kumzidi Mwigulu Nchemba na posho zake. Weka malengo yako basi utafanikiwa.
 
Njemba labda atamzidi za wizi wanazohalalisha kwa urefu wa kamba Basi Ila achukue haki yake ama jasho lako hata mie hanigusi ambaye Ni jobless na PhD ya mchongo na utalaamu wangu nilionunua burundi
 
Kama upo chuo anza kujihusisha na siasa hasa uwe upande wa ccm , fanya juu chin jipendekeze , yani tetea serikal ata kama inafanya madudu , utakuja kunishukuru dogo.
 
Ahsante sana
 
Njemba labda atamzidi za wizi wanazohalalisha kwa urefu wa kamba Basi Ila achukue haki yake ama jasho lako hata mie hanigusi ambaye Ni jobless na PhD ya mchongo na utalaamu wangu nilionunua burundi
Utaalamu upi huo
 
Kama upo chuo anza kujihusisha na siasa hasa uwe upande wa ccm , fanya juu chin jipendekeze , yani tetea serikal ata kama inafanya madudu , utakuja kunishukuru dogo.
[emoji38][emoji38][emoji38] haya bhana
 
Put this into consideration seriously. Zamia nje kuishi au kutafuta mtaji ufanye hiyo biashara yako, bongo hutoboi. Huu ndo ushauri pekee chukua.
Kweli kabisa, mie niliondoka bongo mwaka mmoja tu baada ya kumaliza UDSM, nipo huku kwa Biden na sijutii. Niliondoka na lengo langu moja tu kuja kuishi huku, sio kurudi tena afrika. Bongo uwa nakuja kusalimia maana nina mijengo yangu huko miwili na huku nina mjengo wangu wa mortgage, sitaki kurudi huko kwa sasa. Bongo bila connection au kua kwenye circle ya ccm ni kweli hutoboi , ila tatizo ninaloliona wabongo wengi ni waoga wa maisha sio kama wakenya au waganda na west africans ambao wamejaa huku wanapambana haswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…