Kama kilichoripotiwa na CAG ni Kweli, basi Magufuli alikuwa sahihi mara 3...

Kwa hiyo na ww umemeza kama ilivyo.....
hizo political manouvers zinazochezwa huko nyuma unazijua!!.??
 
Well, kama ndivyo mashirika yote hayo yalikuwa yakiendeshwa kwa hasara, a funny thing happened kwamba baadhi yao yalitoa dividend!
Ndugu zangu, je nasema uwongo?

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
 
Ww utakuwa mzoga team sio bure you can't even reason!!???
MATAGA safari hii kama vipi muhame nchi maana chini ya mama yetu Samia lazima mtawekwa hadharani kwa madudu ya hovyo mliyo yafanya ya ufisadi ulio kubuhu.
 
Ukiwasikiliza wapinzani ni kwamba chama tawala alikuwa Magufuli na sasa Magufuli katoka hivyo wamefanikiwa kuitoa ccm madarakani.
 
Nguvu kubwa mnayotumia kufuta legacy ya JPM ina ajenda nyuma yake na tumeshawastukia. Kama mna lengo jema, na nia yenu si ovu, si muiwajibishe serikali ya JPM kuanzia waziri mkuu wake, makamu wake wa rais, mawaziri na watendaji wake wote? Mbona bado wapo wapo serikalini? Ni uhuni tu, na bado muendelee kusisitizwa, JPM kaacha jeshi kubwa nyuma. Furaha yenu ni ya muda tu.
 
Mnajidanganya sana nyinyi sukuma gang.
Mjiandae maana mtakamatwa mmoja baada ya mwingine na team zenu zote maana hamuwezi kumkwamisha rais wa nchi.
 
Kama hamtaki hameni nchi mrudi kwenu Burundi
Dawa
Yani hawa jamaa ni wa shamba sana walijidanganya Tanzania ni ya kwao!
Wange changanya akili vizuri wange fika mbali sana ila mtu mshamba na mbinafsi hajawahi kuwa na akili!
Wasukuma huwawezi wewe tafuta mlo wako tu, ukiongelea uchumi wa nchi hii unaongelea usukumani ukiongelea ziwa kubwa liko usukumani na samaki wataaaaamu. Kaa kimya ulishwe upate mlo, ningetaja umaskini wa eneo lako lisilo hata na chembe ya madini ya kusingiziwa. Tanzania ni nchi ya pili afrika kwa mifugo na wafugaji ni wasukuma na wamasai. Madini yanayochimbwa nchii kwa sasa yako usukumani na umasaini. KAA KIMYA achana na sukuma gang
 
Hakuna cha legacy wala nini zaidi ya ufisadi wa hali ya juu
 
Umesahau na sifa ya ufisadi wa kutisha kama mmluvyofanya safari hii.
 

Subiri uone kama kuna mtu anaweza kutetea mtu dhalimu. Kama aliweza kunajisi uchaguzi kwa kiwango kile, ni nani unataka kumletea hekaya zako? Hakuwa mtu muadilifu hilo halina mjadala, ndio maana hata waliomzunguka ukiacha uoga waliokuwa nao, wameweza kumgeuka haraka sana. Naona umejaribu kutaja miradi mingi katika hali ya upotoshaji, kama vile wote wanasema hakuna kilichofanyika. Acha kuleta hoja ulizochanganya na upotoshaji, ili kuficha ukweli wa kinachozungumzwa sasa. Ni hivi, hakuwa muadilifu hata kama kuna vitu kadhaa vimefanyika.
 
Ok ni haki yako lakini kwa binadamu kamili angehoji je, kwanini aliyeninasibu kuwa msafi mithili ya sufi apende kufanya mambo gizani kiasi kile?
Sio alikuwa ana fanyia gizani hapana alikuwa anafunga na macho kabisa ana piga 💰💰💰 sio sandarusi yeye ni 🚛🚛🚚🛳🛳
 
Sijaelewa ?, Kwamba huenda sio Kweli ?, Kwamba huenda alikuwa sahihi Kuzuia haya yasijulikane na kuminya transparency ili wizi kama huu uendelee bila kujulikana ?

Tukumbuke hata kama mtu alifanya mazuri saba je inamaanisha yale mabaya matatu tusiyaseme ili asichafuke ?

Nilipokuelewa kidogo ni kwamba hawa wanapropaganda waliokuwa wanampigia makofi wajiuzuru ila tatizo hata wakijiuzuru hao waliopo benchi wakiingia huenda ikawa ni yaleyale..., cha muhimu transparency iendelee ili tukipigwa au kama kuna uonzo angalau tusikie harufu sio kipindi cha jamaa badala ya kuoga na kusafisha kikwapa tunapiga perfume tu na kujiona watanashati...
 
Hao tayari washageuka wapinzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…