Kama Kocha Fahdu analipwa mamilioni kwa mpira huu basi viongozi wa Simba mjitafakari sana

Kama Kocha Fahdu analipwa mamilioni kwa mpira huu basi viongozi wa Simba mjitafakari sana

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Sijaona uwezo wa kocha kabisa na kunifanya niamini kweli Simba inae kocha, tulicheza na Pamba tukashambuliwa hivi hivi Kama sio uhodari wa kipa Camara Leo Bravos alikuwa anatudhalilisha.

Kwanza Fahdu hajui kupanga kikosi kabisa zaidi ya kubahatisha, pili timu inacheza kwa kiwango cha chini mno, Tatu kuna wachezaji anawachukia bila sababu za msingi mfano ni Awesu Awesu, hata akiamua kumpanga basi anampanga kuturidhisha sisi na ndio maana kipindi cha 2 lazima amtoe hata Kama mpira anautaka.

Viungo Ngoma na Okajepha wanapooza sana pale Kati, Mavambo kiwango kimepungua sana, yaan huwezi amini kama ile ni Simba.

Huyu Ahoua ndio usiseme, kazi yake ni kupiga penati tu, hana lolote alilolifanya Leo, Mukwala ndio hamna kitu kabisa

Huwezi kuniambia kuwa unautaka ubingwa kwa kiwango kibovu namna ile
 
Mashabiki tuna kasumba Sana, Enewei mambo mengi katka dunia hii n Michakato.

Shabiki duniani kokote anakanuni 2 Tu
1.Shabiki hakosei,
2.Shabiki akikosea rejea kanuni ya 1.

Nayote n kwakuwa maamuzi ya Shabiki wengi huja Baada ya tukio ( kugelezea😂😂😂)
 
Simba imecheza vizuri sana dakika 30 za mwanzo za mchezo. Kwa mtazamo wangu ni kiwango bora cha msimu, timu ilikuwa na kasi na shauku ya kutafuta goli. Kilichotokea ni baada ya kutopata matokeo na nafasi ilizokosa basi kuna ka frustration fulani kaliwaingia wachezaji.

Ushauri wangu ambao nadhani nimeshautoa mara kwa mara, Mutale aachwe hili dirisha dogo, hakuna tena msaada atakaokuja kuutoa pale. Makosa yake ni ya kimsingi, kwa umri wake si wa kufundishwa umuhimu wa "first touch" iliyo sahihi. Hayo ni mambo unafundishwa au unajifunza ukiwa na miaka 13 na kwa wale wachezaji wenye vipaji vya asili wanajifunza wanapoanza tu kucheza mpira. Yeye hilo ni tatizo lake la kwanza la msingi. Bila first touch sahihi, hauwezi kutoa pasi nzuri kwa wenzio na hauwezi ku dribble kwa usahihi. Kiufupi unakuwa mchezaji wa hovyo.

Ahoua takwimu zinambeba ila katika mechi nyingi anaicheleweshea sana ushindi Simba, atafutwe mchezaji mzoefu wa kuichezesha timu.
 
Simba imecheza vizuri sana dakika 30 za mwanzo za mchezo. Kwa mtazamo wangu ni kiwango bora cha msimu, timu ilikuwa na kasi na shauku ya kutafuta goli. Kilichotokea ni baada ya kutopata matokeo na nafasi ilizokosa basi kuna ka frustration fulani kaliwaingia wachezaji.

Ushauri wangu ambao nadhani nimeshautoa mara kwa mara, Mutale aachwe hili dirisha dogo, hakuna tena msaada atakaokuja kuutoa pale. Makosa yake ni ya kimsingi, kwa umri wake si wa kufundishwa umuhimu wa "first touch" iliyo sahihi. Hayo ni mambo unafundishwa au unajifunza ukiwa na miaka 13.

Ahoua takwimu zinambeba ila katika mechi nyingi anaicheleweshea sana ushindi Simba, atafutwe mchezaji mzoefu wa kuichezesha timu.
Yupo yule mkongo akianza kucheza....watakaa benchi mpka wachangamke
 
Sijaona uwezo wa kocha kabisa na kunifanya niamini kweli Simba inae kocha, tulicheza na Pamba tukashambuliwa hivi hivi Kama sio uhodari wa kipa Camara Leo Bravos alikuwa anatudhalilisha.

Kwanza Fahdu hajui kupanga kikosi kabisa zaidi ya kubahatisha, pili timu inacheza kwa kiwango cha chini mno, Tatu kuna wachezaji anawachukia bila sababu za msingi mfano ni Awesu Awesu, hata akiamua kumpanga basi anampanga kuturidhisha sisi na ndio maana kipindi cha 2 lazima amtoe hata Kama mpira anautaka.

Viungo Ngoma na Okajepha wanapooza sana pale Kati, Mavambo kiwango kimepungua sana, yaan huwezi amini kama ile ni Simba.

Huyu Ahoua ndio usiseme, kazi yake ni kupiga penati tu, hana lolote alilolifanya Leo, Mukwala ndio hamna kitu kabisa

Huwezi kuniambia kuwa unautaka ubingwa kwa kiwango kibovu namna ile
Ni kocha la viwango hilo🤣🤣 kama aliishusha timu daraja unategemea akuvushe akupeleke wapi!
 
Mpira wa bongo umejaa siasa mdomoni ndo maana hata kuchukua kombe la mabingwa Afrika itachukua millenia moja...imeniuma sana Yanga ilikuwa inakuja kwenye ushindani lakin umwamba kwa wachezaji na viongozi unaiangusha Timu.
 
Sijaona uwezo wa kocha kabisa na kunifanya niamini kweli Simba inae kocha, tulicheza na Pamba tukashambuliwa hivi hivi Kama sio uhodari wa kipa Camara Leo Bravos alikuwa anatudhalilisha.

Kwanza Fahdu hajui kupanga kikosi kabisa zaidi ya kubahatisha, pili timu inacheza kwa kiwango cha chini mno, Tatu kuna wachezaji anawachukia bila sababu za msingi mfano ni Awesu Awesu, hata akiamua kumpanga basi anampanga kuturidhisha sisi na ndio maana kipindi cha 2 lazima amtoe hata Kama mpira anautaka.

Viungo Ngoma na Okajepha wanapooza sana pale Kati, Mavambo kiwango kimepungua sana, yaan huwezi amini kama ile ni Simba.

Huyu Ahoua ndio usiseme, kazi yake ni kupiga penati tu, hana lolote alilolifanya Leo, Mukwala ndio hamna kitu kabisa

Huwezi kuniambia kuwa unautaka ubingwa kwa kiwango kibovu namna ile
Je unajua kuhusu kitu kinaitwa mchezo wa mpira mbona kama mshabiki wa yanga anaiongelea simba pongezi kwake mwalimu anajua sana ndio maana akaanza na kikosi kile na akapata matokeo yale!
 
Fadlu leo kazingua unamuachaje ateba na mavambo nje?

Afu ahua naye apunguze utoto anazingua mbinafsi sana yeye na mwenzake mukwara
Ee nimeona Ahoua anapewa makavu live na Ngoma akaanza kulalamika kwa ishara ni kama Ngoma alikua anamwambia awe anatoa pass haraka haraka...
 
Back
Top Bottom