Kama kuna mtu anadhani hali ya hewa tunayoiona inaletwa na kukata misitu etc uzi huu umuamshe

Kwahiyo dunia ikiwa na serikali moja maana yake hakuna umasikini tena maana Marekani ndo atakuwa mtawala wa dunia.

Halafu mkuu mataifa makubwa yote yameamua kudanganywa na Marekani juu ya mabadiliko ya tabia nchi kwamba yanaletwa na shughuli za kibinadamu na yenyewe kwa teknolojia yao ilivyo walishindwa kubaini chanzo ni jeshi la Marekani hadi wewe ndo ukabaini?
 
Unahitaji elimu mkuu,tena sana.Hilo ni somo kamili,next time.Ila ungesoma hiyo paper with an open mind ungepata pa kuanzia.
 
Aisee,kweli watu ufahamu ni mdogo sana.Naomba usome paper,usiishie utangulizi tu,hutapata picha kamili.Hiyo paper wameandika wataalam wa the American Air force sio mimi!Sasa unabishana nao,wewe nani?
 
Viwanda vikubwa vya silaha na vitu vixito ndiyo kisababishi...
 
Jamaa anatuambia Wamarekani wanaharibu dunia ili waitawale....cha ajabu hata wao wanaishi humu humu.

Sasa wakishaharibu hii dunia watatawala nini tena?...huyu jamaa hizi 'conspirancy theories' zinamkoroga akili.
 
Huyu kijana mleta uzi itakuwa amechanganyikiwa akili na ugumu uliopitiliza wa maisha hivyo kila kitu anaona vice versa.
Amegeuka kuwa Zombi, anahitaji msaada wa haraka sana.
Jamaa anatuambia Wamarekani wanaharibu dunia ili waitawale....cha ajabu hata wao wanaishi humu humu.

Sasa wakishaharibu hii dunia watatawala nini tena?...huyu jamaa hizi 'conspirancy theories' zinamkoroga akili.
 
Jamaa anatuambia Wamarekani wanaharibu dunia ili waitawale....cha ajabu hata wao wanaishi humu humu.

Sasa wakishaharibu hii dunia watatawala nini tena?...huyu jamaa hizi 'conspirancy theories' zinamkoroga akili.
So you believe kwa kuwa wanakaa humu humu hawawezi kuiharibu dunia,mawazo ya kipumbavu kabisa haya.So unadhani hao scientists wa the American Air Force walioandika hiyo paper walikuwa na maana gani?Sikiliza we we,taarifa hii sio isolated,ziko nyingi zinazo prove hii kitu.And do you seriously believe any government, utakuwa mjinga sana brother. Hivi unajua kwamba dunia inatawaliwa na psychopaths and extremely evil people.
 
Unahitaji elimu mkuu,tena sana.Hilo ni somo kamili,next time.Ila ungesoma hiyo paper with an open mind ungepata pa kuanzia.
Ni kweli kuongeza maarifa ni jambo la muhimu lakini unahisi kweli katika hili nahitaji kujifunza pia?
 
Ni kweli kuongeza maarifa ni jambo la muhimu lakini unahisi kweli katika hili nahitaji kujifunza pia?
Leave it if you don't need it,jifanye hujaona wala hujasikia hii taarifa.
 
Hivi
tunachobishania ni nini?Jifanye kama hujawahi kuona wala kusikia hii taarifa.Na hivi unafikiri Jamii Intelligence maana yake nini.
 
Nimepotea njia huku...[emoji3447]
Nenda kwenye udaku,huku kwenye Jamii Intelligence sio level yake.Humu tunachimba mambo yaliyoko nyuma ya pazia.Kama umezoea taarifa za mainstream media,Bungeni wamesema hivi na hivi pole.We are above that.
 
Jamii intelligence iliwekwa kwa ajili ya watu wenye common sense sio wewe Zombie flat earther
Hivi
tunachobishania ni nini?Jifanye kama hujawahi kuona wala kusikia hii taarifa.Na hivi unafikiri Jamii Intelligence maana yake nini.
 
Ngoja twende taratibu mkuu naona kama unajaribu kushambulia watu bila kueleza unachojua.Hivi wamarekani wakishafanya uharibifu huu wao watenda wapi? swali namba moja.

Pili, unatumia mda mwingi kueleza habari za hiyo pepa yako.Hivi katika hiyo pepa ni kipi kinakupa jeuri ya kuja kutueleza kwamba hatujui chochote?

Mwisho kabisa hao evil people ni wapi waseme.Kama ni watu wabaya hata wewe unaweza kuwa miongoni mwao maana hapana mtu kazaliwa na hii spirit ni vile tunakutana nazo as we interact with environment.Kingine kama kuna watu wabaya, pia wazuri wapo so ondoa shaka
 
Jamii intelligence iliwekwa kwa ajili ya watu wenye common sense sio wewe Zombie flat earther
Yes,upo tena.Hivi why should you bother about a Zombie,si uni-ignore tu.Oh yes,mada zangu ni mkuki moyoni na bado.Yaliyojificha lazima tuyafunue,may be in the process wanadamu watazinduka na kuwageukia.Siamini kwamba Binadamu watabaki kuwa wajinga forever.
 
Iyo machine naijua sema jina limeni toka lakon ipoo
 
Hao walioandika hiyo paper na waliowatuma kufanya hiyo kazi ni evil people.Na nakushangaa,mbona na we we wanakuathiri.Why don't we join hands in exposing them,in the hope that wanadamu wengi watajua uovu wao and eventually turn against them.Mimi nashangaa sana watu kama ninyi frankly.
 
Niambie ukweli we we ukoje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…