Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are so uninformed.Kaa na upumbavu wako.Unatumia Jamii Inteligence kufikisha upumbavu?
Goodridance
Haiwezekani mwanadamu mwenye consciousness akakubaliana na sentensi ya kipumbavu namna hiyo eti Wamarekani wanaharibu climate ya dunia makusudi ili kutawala dunia ambayo wao nao wamo humo humo na hakuna dunia ingine ya kwenda
Thats conspiracy theory,no proof and does not make any sense
Kuna climate deniers USA wengi sana na chama cha R hakijali climate ila chama cha D kinajali climate,this great divide ina balance out
Kungekua na another earth hapo labda wangechoma kwa minajili hiyo....au kama climate ingekua inajali mipaka ya nchi wangefanya,ila climate ni global haijali mipaka,kuchoma ni kujichoma mwenyewe!
Wewe inaelekea ni mtu wa common sense, I am above that.Unatumia Jamii Inteligence kufikisha upumbavu?
Goodridance
Haiwezekani mwanadamu mwenye consciousness akakubaliana na sentensi ya kipumbavu namna hiyo eti Wamarekani wanaharibu climate ya dunia makusudi ili kutawala dunia ambayo wao nao wamo humo humo na hakuna dunia ingine ya kwenda
Thats conspiracy theory,no proof and does not make any sense
Kuna climate deniers USA wengi sana na chama cha R hakijali climate ila chama cha D kinajali climate,this great divide ina balance out
Kungekua na another earth hapo labda wangechoma kwa minajili hiyo....au kama climate ingekua inajali mipaka ya nchi wangefanya,ila climate ni global haijali mipaka,kuchoma ni kujichoma mwenyewe!
Trust me,I'll be the first person to join you to expose or fight whatever evil, but you need something tangible to convince me.Hao walioandika hiyo paper na waliowatuma kufanya hiyo kazi ni evil people.Na nakushangaa,mbona na we we wanakuathiri.Why don't we join hands in exposing them,in the hope that wanadamu wengi watajua uovu wao and eventually turn against them.Mimi nashangaa sana watu kama ninyi frankly.
🔜Nachojua mwanadamu hawezi kata tawi alilokalia yeye mwenyewe🔚This is what I call common sense.Ungekuwa mjanja ungeniuliza sasa wakiharibu hapa wao watakaa wapi,ningekukueleza,sasa kwa vile unajifanya mjanja,kaa na ujinga wako.Ukweli gani unataka?
Nachojua mwanadamu hawezi kata tawi alilokalia yeye mwenyewe
Thats a FACT!
Mengine unayoongeza ni mengine hayanihusu
There is so much more,hiki ni cha mtoto.Trust me,I'll be the first person to join you to expose or fight whatever evil is done, but you need something tangible to convince me.
Prove to me that Americans do plan to end this planet without telling me that paper you read. I mean, I need something beyond that paper.
Thank you!
Nimeki download hicho ki document nitakisoma kwenye ipad yangu ila binadamu tumekwisha, we are heading to the dark ages again, a total control and the end of human freedom, Illuminati are taking the world, ukiwaambia watu wankuona kama una dream mchana watakuja kugundua it is too late!!Wewe inaelekea unavuta bangi na unachanganya
na kinyesi,ulijuaje kwamba bangi inachanganywa
na kinyesi?And then sijui nani kavuta bangi hapa,wewe ambaye umekurupuka bila kusoma mada vizuri au mimi.Most likely hata habari yenyewe hujaisoma kwa kuwa hujui Kingereza kwa hiyo hujui source na nani kaandika.WaTz bwana,tuwajinga sana, halafu hata kuelimishwa hatutaki.Hovyo sana.
Jesus Chirst! did I say something like prove to me? How about this,you didn't design this platform and so get informed that whatever madness is posted in this forum is my business.Prove it to you?Wewe ni nani.People with independent minds wananielewa,we we sio target,ignore.
Umeshakula makande unaandika chochote kinachokujia!Vatican ndio kiongozi hasa,muwezeshaji mkuu akiwa US,ikifuatiwa na Britain,Germany,Urusi na China.Wengine wanaburuzwa tu.Usipokuwa mdadisi unaweza kudhani kwamba Urusi na China hawahusiki,lakini hizi ni harakati tu za kuihadaa Dunia na Wanadamu.
Kwangu Mimi mkuu it is already too late.NWONimeki download hicho ki document nitakisoma kwenye ipad yangu ila binadamu tumekwisha, we are heading to the dark ages again, a total control and the end of human freedom, Illuminati are taking the world, ukiwaambia watu wankuona kama una dream mchana watakuja kugundua it is too late!!
Sawa.watakaa wapi wewe maiti maana dunia ni hii hii hakuna ingine na hiyo climate haiangalii geographical boundaries?
Huna lolote la kunielimisha hapo unanipotezea muda ndio maana hata sitaki uniambie watakaa wapi maana ni nonsense tu utaongea na kunipotezea muda
Chunia,kaa nayo ikusaidie wewe,sina muda mchafu wa kusikiliza uchafu
Mnaongea mazingaombwe,vitu ambavyo havipo.kati ya majukwaa ya ajabu ajabu hili linaongoza[emoji3][emoji3]Nenda kwenye udaku,huku kwenye Jamii Intelligence sio level yake.Humu tunachimba mambo yaliyoko nyuma ya pazia.Kama umezoea taarifa za mainstream media,Bungeni wamesema hivi na hivi pole.We are above that.
Hivi ni vitu ambavyo vipo nyuma ya pazia mkuu,si rahisi kuvielewa.Unajua,tumelishwa pumba for too long,ndio maana inakuwa vigumu kuelewa.Mnaongea mazingaombwe,vitu ambavyo havipo.kati ya majukwaa ya ajabu ajabu hili linaongoza[emoji3][emoji3]
Hao ndio wanaokutawala na kuitawala dunia brother.You are mind controlled and a slave ndio maana ni vigumu ku-appreciate concept ya NWO.Sasa kama wahusika wakuu akina Klaus Schwab,Rockefeller, Rothschild, George Soros,Bill Gates nk.wanakiri kwamba hiyo kitu inakuja,who are you to deny it,si utakuwa mjinga.Andiko nikishaonaga NWO natupa shimo la taka! Utindio wa kufikiri na kutupilia mbali kushirikisha akili kutatua challenges!