ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
EGM unaiacha ya kazi gani? Futa nayo Haina maanaNdiyo. Habari ndiyo hiyo. NECTA imezifuta rasmi combinations za CBG na HGE.
Tafuta utaratibu mwingine kama ulikiwa unasoma hizo combinations.
View attachment 2846585
Nimemaliza!
Uchumi ni upi?ile Economics ya Adv ni Uchumi au taka
ECA nayo imefutwa.Hata EGM ni useless,ibakie ECA
Kwa hiyo mtu akitaka kusoma Economics advance anasoma kozi gani? Au economics Kwa level hiyo haitakuwa sehemu ya masomo?ECA nayo imefutwa.
Hivi Physics kwenye udaktari inatumika vipi mkuu?CBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography
Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level
Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba
CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo
Bora wamefuta
Kuna somo linaitwa business nini sijui ndio limeanzishwa mbadala wa commerce.Kwa hiyo mtu akitaka kusoma Economics advance anasoma kozi gani? Au economics Kwa level hiyo haitakuwa sehemu ya masomo?
Mwisho unafuta ECA kwamba?
Tabia Nchichemistry Biology na geography? hawa wanahusika na nin?
Advance Kuna combination inamwandaa mtu katika proffesion??CBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography
Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level
Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba
CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo
Bora wamefuta
Inaonekana haya mambo umeacha kufuatilia kitambo sana na kipindi hicho CBG ilikuwa kama PCB tuCBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography
Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level
Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba
CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo
Bora wamefuta
Mambo hayaendi kienyeji, hata kama wataifuta bado haitakuwa shida kwa wanafunzi ambao wameshaanza kuisoma.Ndiyo. Habari ndiyo hiyo. NECTA imezifuta rasmi combinations za CBG na HGE.
Tafuta utaratibu mwingine kama ulikiwa unasoma hizo combinations.
View attachment 2846585
Nimemaliza!
Hao wanaosema haina proffesion sio wakweliInatia huruma aisee watu wamechukua wamesoma kumbe wanakalia kuti kavu π
Sahihi, nashangaa watu wanasema vitu bila kuwa na uhakika.Nimesoma maoni ya watu wengi humu, kuhusu combination ya cbg, nimegundua waTanzania wengi niwavivu wa kusoma na ufuatiliaji wa mambo wengi mnafikiria ndani ya kile mlichofundishwa tu , cbg inampa mwanafunzi uwanda mpana sana, kuanzia mambo ya aquatic science,environmental science, zoology, botanic science, microbiology, labaratory technology, biotechnology, agricultural science, agribusiness, chemistry, geology and so forth, food science, food processing engineering, kwa kifupi hii ni combination maarufu duniani kote na katika nchi nyingi zilizoendelea watu hawa pia kama wanaufaulu mzuri wa physics o level wanasoma medicine bila shida, tatizo wengi wenu humu mnaenda kama manyumbu, Elimu ina uwanda mpana sana nje ya combination, somo moja tu la natural science mfano biology, chemistry, physics likisimama lenyewe bado linampa mwanafunzi mwangaza mzuri kiutaalamu tofauti na hesabu, historia, so as long as CBG iko na two natural science subjects ni upuuzi wa hali ya juu kuifuta hii combination [emoji108]
Ndugu kwa sasa hata hiyo PCB haina maana.Hapo kuna watu washakipiga cbg.pcb ni mpango wakuu
ππππ hilo ndio swali la msingi ambalo watu wanatakiwa kulielewa.Hivi Physics kwenye udaktari inatumika vipi mkuu?
Walioanza kuzisoma kabla ya tangazo wataendelea kuzisoma ila baada ya tangazo hawatazipata hizo zilizofutwa km ni kweli.Ndiyo. Habari ndiyo hiyo. NECTA imezifuta rasmi combinations za CBG na HGE.
Tafuta utaratibu mwingine kama ulikiwa unasoma hizo combinations.
View attachment 2846585
Nimemaliza!
Acha kupotosha umma.Ndugu kwa sasa hata hiyo PCB haina maana.
PCB wengi ndio wanakuja kuwa walimu wa chemistry na biology.
Licha ya kuwa Kuna possibility ya kusoma program za afya ila nafasi ni chache hasa kwa maskini ambao hawana uwezo wa kwenda kusoma vyuo binafsi kama Bugando, nk
chemistry Biology na geography? hawa wanahusika na nin?
Mimi sijui hawa jamaa malalamiko yao yana husu nini,pengine kukwama kwao ndiko kunasababisha wajumhishe kila mtu.Ila wengi wameingia kwenye udaktari na sua nawafahamu nimesoma nao