Kama kuna mwanafunzi anasoma tahasusi CBG na HGE imekula kwake. NECTA yazifuta rasmi

Kama kuna mwanafunzi anasoma tahasusi CBG na HGE imekula kwake. NECTA yazifuta rasmi

CBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography

Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level

Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba

CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo

Bora wamefuta
Hivi Physics kwenye udaktari inatumika vipi mkuu?
 
Viongozi wetu hawana ubunifu kabisa.

Tangia uhuru wamekua wakiharibu tu badala ya kuleta maendeleo ya kweli.

Wameua taasisi zote za uma zilizokua zinafanya vizuri wakaingiz biashara zao.

Ukiwaambia waje na idea mpya productive hawawezi.

Wanachoweza ni kuharibu na kufuta tu.
 
CBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography

Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level

Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba

CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo

Bora wamefuta
Advance Kuna combination inamwandaa mtu katika proffesion??


Combination zote za kuunga unga tu, na combination ipi ifae kusoma nini huwa ni maamuzi tu ya wanaopanga


Mfano: program ulizotaja za CBA hata mtu wa CBG anasoma pia


Mwisho 2016 CBG walikuwa wanasoma program nyingi (karibu zote) anazoweza kusoma PCB ikiwemo udaktari


Ila kwa sasa kwenye afya ndio imekuwa changamoto ila programu nyingi bado anasoma ikiwemo udaktari wa wanyama, program nyingi za kilimo bado wanasoma, envronmental health nk
 
CBG ni Combination inayounda masomo matatu yaani Chemistry, Biology na Geography

Mimi nilishakuwa Mwl. Kipindi flani na nilikuwa napinga sana Mwanafunzi kwenda kusoma combination hii at advanced level

Yaani haimwandai Mwanafunzi katika Proffession yoyote ile, nafuu hata CBA coz A ni Agriculture...Mtu anae da kusomea udaktari wa mifugo au kuwa Bwana Shamba

CBG imepotezea wanafunzi wengi dira...ht Udaktari hawapati kwakuwa hakuna Physics hapo

Bora wamefuta
Inaonekana haya mambo umeacha kufuatilia kitambo sana na kipindi hicho CBG ilikuwa kama PCB tu
 
Ndiyo. Habari ndiyo hiyo. NECTA imezifuta rasmi combinations za CBG na HGE.

Tafuta utaratibu mwingine kama ulikiwa unasoma hizo combinations.
View attachment 2846585

Nimemaliza!
Mambo hayaendi kienyeji, hata kama wataifuta bado haitakuwa shida kwa wanafunzi ambao wameshaanza kuisoma.


Itafutwa kwa wanaokuja na sio wanaosoma.
 
Inatia huruma aisee watu wamechukua wamesoma kumbe wanakalia kuti kavu 😃
Hao wanaosema haina proffesion sio wakweli


Kuna watu wamesomea degree za udaktari, unesi, maabara nk

Mpaka sasa bado wanasomea program za kilimo na ufugaji karibu zote isipokuwa zile zinazohitaji watu wa PCM.

Kimsingi kwa sasa ukiachana na program za afya, karibu kila program ambayo PCB anaisoma pia CBG anaweza kuisoma
 
Nimesoma maoni ya watu wengi humu, kuhusu combination ya cbg, nimegundua waTanzania wengi niwavivu wa kusoma na ufuatiliaji wa mambo wengi mnafikiria ndani ya kile mlichofundishwa tu , cbg inampa mwanafunzi uwanda mpana sana, kuanzia mambo ya aquatic science,environmental science, zoology, botanic science, microbiology, labaratory technology, biotechnology, agricultural science, agribusiness, chemistry, geology and so forth, food science, food processing engineering, kwa kifupi hii ni combination maarufu duniani kote na katika nchi nyingi zilizoendelea watu hawa pia kama wanaufaulu mzuri wa physics o level wanasoma medicine bila shida, tatizo wengi wenu humu mnaenda kama manyumbu, Elimu ina uwanda mpana sana nje ya combination, somo moja tu la natural science mfano biology, chemistry, physics likisimama lenyewe bado linampa mwanafunzi mwangaza mzuri kiutaalamu tofauti na hesabu, historia, so as long as CBG iko na two natural science subjects ni upuuzi wa hali ya juu kuifuta hii combination [emoji108]
Sahihi, nashangaa watu wanasema vitu bila kuwa na uhakika.

Wakati kupitia somo la biology au chemistry peke yake mtu anaweza kusoma program nyingi tu
 
Hapo kuna watu washakipiga cbg.pcb ni mpango wakuu
Ndugu kwa sasa hata hiyo PCB haina maana.


PCB wengi ndio wanakuja kuwa walimu wa chemistry na biology.


Licha ya kuwa Kuna possibility ya kusoma program za afya ila nafasi ni chache hasa kwa maskini ambao hawana uwezo wa kwenda kusoma vyuo binafsi kama Bugando, nk
 
Ndugu kwa sasa hata hiyo PCB haina maana.


PCB wengi ndio wanakuja kuwa walimu wa chemistry na biology.


Licha ya kuwa Kuna possibility ya kusoma program za afya ila nafasi ni chache hasa kwa maskini ambao hawana uwezo wa kwenda kusoma vyuo binafsi kama Bugando, nk
Acha kupotosha umma.
 
M
Ila wengi wameingia kwenye udaktari na sua nawafahamu nimesoma nao
Mimi sijui hawa jamaa malalamiko yao yana husu nini,pengine kukwama kwao ndiko kunasababisha wajumhishe kila mtu.
Mdogo wangu kapiga CBG kitambo kile,ni daktari sasa hivi,mwingine naye kapiga hiyohiyo CBG ni chemical engineer yuko kiwanda flani cha dawa.

Sijui wao walisoma BCBG ndio maana wanasema haimuandai mtu kuwa professional wakati maafisa mifigo wengi wamepitia huko?
 
Back
Top Bottom