Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Ha ha ha,Waende kwa Tahadhari zote huko Tanga Alhamisi na Arusha Jumapili kwani kwa Umafia ambao umefanyika huenda Wiki hii ikiwa Ngumu Kwao kwa Michezo yao. Nawaonea sana Huruma Kocha Kaze, Boss wa GSM Hersi na Mwenyekiti Msola.
Kwa yaliyofanywa huko Watu watauwana.
Big up mkuu, uliona mbali.