Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
As of 29th April, Tanzania had done only 652 tests out of which 480 samples were positive for Covid19. Rwanda and Uganda have actually outdone themselves which proves that total lockdowns work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Test goes hand in hand with indication! You have tested more because there are more Kenyans with covid19 symptoms!!Now look at this buffoonery! Kenya has done the highest number of tests in east africa at slightly over 24,000 tests.
Rwanda has done over 15,000 tests, Uganda too has not done anything close to kenyan testing.
Tanzania and burundi are not even trying.
south africa leads africa with over 80,000 tests
Natumaini umepata na kupitia ripoti hii ambayo inaelezea tiba inafanyika kwa magonjwa yasiyotokana na maambukizi ya COVID-19.Umeweka sawa maeneo kadhaa lakini hilo la kusema watu wanakufa kisa hofu ondokana nalo kabisa, Corona inaua na wengi wa wanaokufa wakipimwa mapafu yanakutwa yamethurika mpaka yanabadilika rangi, acheni hizo propaganda za kuwafanya watu wachukulie hiki kitu poa, kipo na kinaua.
Ninaweza nikakubaliana na ubovu wa vifaa vinavyopima, au uzembe wa wahudumu kwenye maabara, lakini mengine hayo yaacheni, mnaharibu.
Ubovu wa vifaa umetajwa hata India, ila kule walisema vinashindwa kugundua Corona, sio kwamba vinaonyesha ipo.
Who is to blame if so?
Yes you are right! This is the number so far for people having COVID symptoms!! You had more people with symptoms that's why you tested more!As of 29th April, Tanzania had done only 652 tests out of which 480 samples were positive for Covid19. Rwanda and Uganda have actually outdone themselves which proves that total lockdowns work.
Test goes hand in hand with indication! You have tested more because there are more Kenyans with covid19 symptoms!!
We discovered more people because we tested more! We have 465 confirmed cases out of +24,000 tests today. You have 485 out of 652 tests, if you had any capacity to reason you would see Kenya has a lower infection rate than tanzania while Uganda and rwanda have the lowest in the region. if you are to use the ratio to predict then it shows a very large population of Tanzania has the virus and they do not know that they have it.Yes you are right! This is the number so far for people having COVID symptoms!! You had more people with symptoms that's why you tested more!
Nonsense? You have only tested 652 and 485 of those are positive that means that in Tanzania right now if I collect 1000 people from affected areas there is the possibility that 70% of the random sample will be infected with the virus. That is what that sample says
Fake news and misinformation, Here is the actual report from italy and it does not say what you mentioned in that gutter press, also find below it the debunk of the junk you have just written.Natumaini umepata na kupitia ripoti hii ambayo inaelezea tiba inafanyika kwa magonjwa yasiyotokana na maambukizi ya COVID-19.
LATEST NEWS ABOUT COVID 19
It seems that the disease is being attacked worldwide.
Thanks to autopsies performed by the Italians ... it has been shown that it is not pneumonia ... but it is: disseminated intravascular coagulation (thrombosis).
Therefore, the way to fight it is with antibiotics, antivirals, anti-inflammatories and anticoagulants.
The protocols are being changed here since noon!
According to valuable information from Italian pathologists, ventilators and intensive care units were never needed.
If this is true for all cases, we are about to resolve it earlier than expected.
Important and new about Coranovirus:
Around the world, COVID-19 is being attacked wrongly due to a serious pathophysiological diagnosis error.
The impressive case of a Mexican family in the United States who claimed they were cured with a home remedy was documented:
three 500 mg aspirins dissolved in lemon juice boiled with honey, taken hot.
The next day they woke up as if nothing had happened to them!
Well, the scientific information that follows proves they are right!
This information was released by a medical researcher from Italy:
Thanks to 50 autopsies performed on patients who died of COVID-19, Italian pathologists have discovered that IT IS NOT PNEUMONIA, strictly speaking, because the virus does not only kill pneumocytes of this type, but uses an inflammatory storm to create an endothelial vascular thrombosis.
As in disseminated intravascular coagulation, the lung is the most affected because it is the most inflamed, but there is also a heart attack, stroke and many other thromboembolic diseases.
In fact, the protocols left antiviral therapies useless and focused on anti-inflammatory and anti-clotting therapies.
These therapies should be done immediately, even at home, in which the treatment of patients responds very well.
The later performed less effective.
In resuscitation, they are almost useless.
If the Chinese had denounced it, they would have invested in home therapy, not intensive care!
DISSEMINATED INTRAVASCULAR COAGULATION (THROMBOSIS):
So, the way to fight it is with antibiotics, anti-inflammatories and anticoagulants.
An Italian pathologist reports that the hospital in Bergamo did a total of 50 autopsies and one in Milan, 20, that is, the Italian series is the highest in the world, the Chinese did only 3, which seems to fully confirm the information.
Previously, in a nutshell, the disease is determined by a disseminated intravascular coagulation triggered by the virus; therefore, it is not pneumonia but pulmonary thrombosis, a major diagnostic error.
We doubled the number of resuscitation places in the ICU, with unnecessary exorbitant costs.
In retrospect, we have to rethink those chest X-rays that were discussed a month ago and were given as interstitial pneumonia; in fact, it may be entirely consistent with disseminated intravascular coagulation.
Treatment in ICUs is useless if thromboembolism is not resolved first. If we ventilate a lung where blood does not circulate, it is useless, in fact, nine (9) patients out of ten (10) die.
Because the problem is cardiovascular, not respiratory.
It is venous microthrombosis, not pneumonia, that determines mortality.
Why thrombi are formed[emoji780]
Because inflammation, according to the literature, induces thrombosis through a complex but well-known pathophysiological mechanism.
Unfortunately what the scientific literature said, especially Chinese, until mid-March was that anti-inflammatory drugs should not be used.
Now, the therapy being used in Italy is with anti-inflammatories and antibiotics, as in influenza, and the number of hospitalized patients has been reduced.
Many deaths, even in their 40s, had a history of fever for 10 to 15 days, which were not treated properly.
The inflammation did a great deal of tissue damage and created ground for thrombus formation, because the main problem is not the virus, but the immune hyperreaction that destroys the cell where the virus is installed. In fact, patients with rheumatoid arthritis have never needed to be admitted to the ICU because they are on corticosteroid therapy, which is a great anti-inflammatory.
This is the main reason why hospitalizations in Italy are decreasing and becoming a treatable disease at home. By treating her well at home, not only is hospitalization avoided, but also the risk of thrombosis.
It was not easy to understand, because the signs of microembolism disappeared!
With this important discovery, it is possible to return to normal life and open closed deals due to the quarantine, not immediately, but it is time to publish this data, so that the health authorities of each country make their respective analysis of this information and prevent further deaths. useless!
The vaccine may come later.
Now we can wait.
In Italy, as of today, protocols are changing.
According to valuable information from Italian pathologists, ventilators and intensive care units are not necessary.
Therefore, we need to rethink investments to properly deal with this disease."
That is a very valid discussion that we should have as africans. How to develop our capacity to tackle health issues from capacity, to research etc.Maswali yangu ni:
Mpaka lini tutaendelea kulalamika kuhusu kuuziwa/kupewa vitu visivyo bora?
Kwa nini tusitengeneze vipimo vyetu wenyewe kwa ushirikiano wetu wa Umoja wa nchi za Afrika?
Hatuna mahabara? Kuna mahabara ya Umoja wa nchi za Africa hili iwe ina shughulikia magonjwa yetu na ya mlipuko pamoja na kuendelea kufanya utafiti?
Hatuna wana sayansi? Kama wapo serikali zetu lini zitawapa ushirikiano?
Hatuamini mfumo wa elimu zetu?
Kwanini kila kitu tutegemee wengine?; alafu wakitaka kujaribu dawa, chanjo, vipimo vyao kwetu tunakuwa wakali na kulalamika na kusema ni ubaguzi. Mchango wetu kwenye sayansi barani kwetu na duaniani huko wapi?
Mbona wana sayansi wetu wanatumiwa na hizo nchi za nje ambazo tunawategemea kila kitu? Kwa nini sisi tusiwatumie?
Dunia nzima haijawahi kimbilia lockdown, kuna nchi kibao kama sweden hata shule hawakufungaJPM mara zote hua yupo makini na anamisimamo. Dunia nzima ilikimbilia lockdown yeye hakuona kama ni lazima..chukua tahadhari endelea na kazi maana alijua lockdown hatuwezani nayo.
Haya ya kuangalia ufanisi wa maabara na vipimo vyake hapo hata mimi sikua nimewaza kabisa, ni kweli kila mtu anadhaifu yake lakini JPM Ni kiongozi makini ambae husimamamia sana anachokiamini!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kujiliwaza wewe, Uganda wanepima wengi kuliko Kenya na bado maambukizi yapo chini sana, Jana Uganda wamepima watu 1,600 na wamepata 3 tu positive, wawili kati yao ni madereva toka Kenya.Nonsense? You have only tested 652 and 485 of those are positive that means that in Tanzania right now if I collect 1000 people from affected areas there is the possibility that 70% of the random sample will be infected with the virus. That is what that sample says
Okay i give up, you are a moron. Nothing will convince you, your mind is set on false information.Wacha kujiliwaza wewe, Uganda wanepima wengi kuliko Kenya na bado maambukizi yapo chini sana, Jana Uganda wamepima watu 1,600 na wamepata 3 tu positive, wawili kati yao ni madereva toka Kenya.
Sababu ya Uganda kupata" cases" chache pamoja na kupima watu wengi kwa siku ni "total lockdown", Kenya pamoja na partial lockdown lakini idadi ya maambukizi inazidi kuongeza kila siku.
Tanzania tukiamua kuweka " partial lockdown " tutalingana na Uganda, mnapaswa mjilinganishe na Uganda na Rwanda kwa sababu wote mpo kwenye "lockdown" sio kujilinganisha na Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Indicators are data which is collected by testing, ie. you need to test in order to have indicators of how fast the disease is spreading. You are putting the cart before the horse. Tell me which level of education have you attained?
COVID-19 science: Why testing is so important
Mmmh nyie watu wa consipiracy theory na mambo ya 666 mnaweza kutuchanganya zaidi.
Lkini wanasema hapa duniani lisemwalo lipo kama halipo laja. Naheshimu mawazo yako mkuu.
Hata angekwambia amerudia Mara 70 bado ungetafuta hoja zako zisizo na maana tu, Mimi sikushangai kwasababu watu wenye chembechembe za firauni bado wapo wao kila kitu lazima wabishe tu wao ndo wanajiona wako sawa Sasa inawezekana ukawa wewe ndio kileee kizaz Cha firauni maana alikuwa mbish Kama wewe kila anachoambia anaona uchawi tu huo hakiwezekan kitu Kama hiko Sasa subir waje kukuambia wamarekani kua hivi vifaa havina ubora ndio utakuja kukubaliTrump ali-suggest kuchoma watu disinfectant, baadhi ya wamerekani walipiga simu kuuliza kama wanaweza wakanywa!
Ukiwa kiongozi lazima utambue kuna watu wenye uelewa mdogo, usipayuke payuke hovyo!
View attachment 1438935 kunawatu hawatakula tena papai!