Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakuwa ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie

Rwanda na Uganda watapigana Mara tu Corona itakapokwisha, Kagame anachosubiri ni kupata uhakika toka kwa Magufuli iwapo Tanzania itaendelea kuruhusu vifaa vya kivita vya Rwanda kupitia Dar port wakati WA kipindi chote cha vita.

Ila ninakubaliana na wewe kwamba Tanzania hatupo very much interested na EAC, kumbuka Tanzania kwa sasa ni mwenyekiti na katibu wa SADC, na mwezi uliopita tulifanikisha mkutano wa nchi za SADC kuhusu mapambano ya Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda hawezi kuitisha Uganda, never ever
 
Hh
Mkuu ameibua mjadala mkubwa sana, nina amini asemacho ni kweli. Hisia zangu zinaniambia sample zinakuwa contaminated wakati wa kuchukua, kusafirisha, au huko maabara.

Au reagent zina tatizo na hii ilitokea hata marekani walitupa na kuagiza mpya. Mwisho inaweza kuwa kweli kuna hujuma ya ndani au toka nje ya nchi.

Mjadala mzuri sana huu maana mimi nimewahi kuambiwa nina damu group flani na kukapita miaka nikaenda kupima Hifadhi (bank) ya Taifa ya damu salama nikaambiwa nina group jingine tofauti na la p0mwazo na zote ni taasisi kubwa za serikali.
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!
 
Hh
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!
Mmmh nyie watu wa consipiracy theory na mambo ya 666 mnaweza kutuchanganya zaidi.

Lakini wanasema hapa duniani lisemwalo lipo kama halipo laja. Naheshimu mawazo yako mkuu.
 
How many tests has uganda done?
36,000+
Screenshot_20200503-185617_Samsung Internet.jpg
 
Rwanda na Uganda watapigana Mara tu Corona itakapokwisha, Kagame anachosubiri ni kupata uhakika toka kwa Magufuli iwapo Tanzania itaendelea kuruhusu vifaa vya kivita vya Rwanda kupitia Dar port wakati WA kipindi chote cha vita.

Ila ninakubaliana na wewe kwamba Tanzania hatupo very much interested na EAC, kumbuka Tanzania kwa sasa ni mwenyekiti na katibu wa SADC, na mwezi uliopita tulifanikisha mkutano wa nchi za SADC kuhusu mapambano ya Corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
And you implemented none of the recommendations from the SADC meeting. Why join multilateral organizations if you know you will not follow any of the rules?

It is not that you are not interested in eac, it is that Kenya controls the eac economically and logistically and that hurts Tanzania, so you turn to seek solace among other beaten countries in sadc, but even in sadc you do not have a voice apart from the token you have been given. south africa controls SADC.
 
And you implemented none of the recommendations from the SADC meeting.Why join multilateral organizations if you know you will not follow any of the rules?

It is not that you are not interested in eac, it is that Kenya controls the eac economically and logistically and that hurts Tanzania, so you turn to seek solace among other beaten countries in sadc, but even in SADC you do not have a voice apart from the token you have been given. south africa controls sadc.
Why are you always talk nonsense?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wewe poyoyo... Kwa hiyo zile video za kiswahili za watu wanazikwa usiku ni za wapi?
Hh
Huku Tanzania watu wameambiwa wana korona wakati hawana hata dalili! Miezi imepita, hata dalili hakuna!! Kuna agenda ya siri katika hili! Dunia inataka kuaminishwa kuwa tatizo ni kubwa ili ikubali chanjo ambayo itakuwa kwa mtindo wa scan fulani na watatumbukiza hapo 666!!
 
Trump ali-suggest kuchoma watu disinfectant, baadhi ya wamerekani walipiga simu kuuliza kama wanaweza wakanywa!
Ukiwa kiongozi lazima utambue kuna watu wenye uelewa mdogo, usipayuke payuke hovyo!
Screenshot_20200503-183933_WhatsApp.jpg
kunawatu hawatakula tena papai!
 
Badala ya ku-retest watu kutumia aina tofauti ya kipimo unaenda kutest mbuzi na mapapai!! Kweli?!

Tatizo la kujifanya unajua kila kitu ndo hii. Rapid test ishalalamikiwa huko duniani hatujaanza sisi sasa ukiniuliza nilitaka atoe suluhisho gani nashindwa nikujibuje coz ipo wazi.

Ishu kubwa ni kudiscredit taasisi kabla hujabaini tatizo lilipo.
Katika utafiti kuna "replication" kurudia utafiti kwa njia ile ile ukapata majibu yale yale. Hicho ndicho unashauri. Alichofanya Rais ni kuthibitisha uwezo na uhalali (Reliability and Validity) wa vipimo hivyo. Alichogundua ndicho hicho na kuagiza Taasisi za kitaaluma kufanya tafiti zaidi.
 
Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
Achana na mambo ya lock down..
Unawaamini WHO
People who took you as slaves ..do you think their children change that much
Boss usipende kuamini kila kitu
Ushaskia Neo colonialism
Unahisi wazungu wanatutakia mema sana...?
Hata baadhi ya wa africa hatutakiani mema ndo iwe whites ??
By saying that i dont mean WHO wananiam mbaya yoyote

But all whites shouldnt be trusted ..

Wao wenyewe wana makitu yao ya ajabu ajabu

Its all a messed up wolrd anyways..kila mtu anataka monopoly

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na mambo ya lock down..
Unawaamini WHO
People who took you as slaves ..do you think their children change that much
Boss usipende kuamini kila kitu
Ushaskia Neo colonialism
Unahisi wazungu wanatutakia mema sana...?
Hata baadhi ya wa africa hatutakiani mema ndo iwe whites ??


Sent using Jamii Forums mobile app
Mpima papai ndo anatutakia mema?
 
Kitu kimenifanya nikose kuamini Mapadlocks anachosema ni kuwa Karibia kila nchi ya Afrika ikiwemo Kenya, zinatumia reagents na swabs na testing kits za WHO. Sasa itakuwaje, kati ya nchi zaidi ya hamsini ambazo zinapewa testing kits na WHO ni nchi moja tu inacomplain. Kwanza nchi ambayo ni kichwa ngumu imekataa kufanya hata partial lockdown?
Tumefanya partial lockdown inayoendana na mazingira yetu. Tumefunga shule na vyuo vyote. Kenya hamna la kujisifia! Kwa sababu lockdown yenu ni ya kiwango cha chini sana na level ya maambukizi na vifo havina tofauti na Tanzania. Kenya Hanna ubavu wa kufanya total lockdown kama Rwanda.

Wazungu wenyewe yamewashinda! Wameanza kuachana na lockdown wakati level ya maambukizi mapya ni kubwa na vifo ni vingi KULIKO ilivyokuwa wakati wanatangaza lockdown.

Ni China peke yake iliyomudu total lockdown hadi wanaiondoa maambukizi mapya ya ndani yalikuwa yameisha! Huko Marekani kuna majimbo yameondoa lockdown wakati maambukizi mapya kilal siku ni zaidi ya 20,000 na vifo zaidi ya 1,000!
Kama wanaamini lockdown basi wasiiondoe mpaka maabukizi ya ndani yaishe kama ilivyofanya China! Kenya kama mnataka sifa fanyeni total lockdown tuone msipokoma hata kabla ya wiki.
 
Back
Top Bottom