MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Mmhh maandalizi tena yaani Mungu mwenye mamlaka na muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo umfanyie maandalizi tena..Ndio shida ya kufanya jambo huku ukiwa na uhakika wa kwamba plan B yake ipo, huwezi kukifanya kwa ufanisi yaani kuingia miguu yote kwa maana unajua ukifeli huko huna pengine pa kukimbilia so uko na option moja tu.
Mambo ya kiroho yanahitaji maandalizi kwanza lakini pia inawezekana unachokiombea tayari kipo kwahiyo ni wewe tu kukifuata.
Kama sina akili basi hata huyo aliyeniumba hana akiliHuna akili
Mambo bado ni taiti sana mkuu waya ni mkali kikubwa jua kuji position tu apa paleSasa hivi upo wapi mkuu na mm nije
mkuu umemuita huyu ndo kama mzimu au...?
Nenda kasome biblia kitabu kile cha Mwanzo, anzia sura ya kwanza hadi ya sita pale (ishia tu hapo, wala usiende mbali, kisha ukimaliza kaa kwenye utulivu tafakari neno)... Utapata kujua kwanini ufanye maandalizi wakati wa kuomba na kwanini ukiomba maombi hayajibiwi na kadhalika.Mmhh maandalizi tena yaani Mungu mwenye mamlaka na muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo umfanyie maandalizi tena..
Sasa na waganga nao wasemaje maan kule ndio mambo ya kuku mbuzi ni kawaida.
Mimi nilimuomba Mungu ajidhihirishe kwangu Mama Mwanakwani uliambiwa maombi ni kama chumvi ukiweka tu kwenye mboga imekolea?
Mungu yupo na ana Nguvu sanaHabari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
imeandikwa usimjaribu bwana mungu wako kwa chochote hata kwa maombi bali muombe kwa moyo wako wote na kwa akili zako zote utamuonaMmhh maandalizi tena yaani Mungu mwenye mamlaka na muumba wa mbingu na ardhi na vyote vilivyomo umfanyie maandalizi tena..
Sasa na waganga nao wasemaje maan kule ndio mambo ya kuku mbuzi ni kawaida.
Kabla hujafikiria kumuomba Mungu hakikisha alivyokupa kama akili na afya umevitumia kwa ukamilifu,,,unaweza pia kutumia na akili za wanadamu wengine kupitia USHAURI..Habari zenu Wanajamiiforums.
Kwa mda niliotumia kumuomba Mungu na kutokupata majibu yoyote, nahitimisha kuwa nguvu za Mungu si nyingi kama tulivyoaminishwa.
Aisee nataka kuamia Mizimuni, Anayejua namna ya kutambikia Mizimu anielekeze, Mungu aliyeletwa na meli kwenye maisha yangu amefeli (Hana impact yoyote).
Am done.
kila nikiona kichwa cha huu uzi nacheka!..Ki ukwel nimecheka sana kuna watu mmeshindikana
yani hilo tu? best, Mungu hakupi unachokitaka anakupa unachostahili kwahiyo ww huamini kuna Mungu?Mimi nilimuomba Mungu ajidhihirishe kwangu Mama Mwana
Hakikutokea chochote nikaamua kuikimbia imani
Watu wananiambia nilikosea sikuweka juhudi kwenye kufunga
Eti nilikosea?
Ndiokwahiyo ww huamini kuna Mungu?
Mzimu wa nanimkuu umemuita huyu ndo kama mzimu au...?