MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Eeh Mwenye Enzi Mungu, nakuomba msahama kwa kwa niaba ya huyu mleta uzi, wewe ni Muweza wa Yote, unayempa umtakaye na kumnyima umtakaye.
Endelea kutuzidishia imani, matumaini na mapendo, tunapoendelea na mwaka huu mpya, ili wewe uweze kudhihirka kwa wale wenye subra na wakutumainiao. AMEN
Endelea kutuzidishia imani, matumaini na mapendo, tunapoendelea na mwaka huu mpya, ili wewe uweze kudhihirka kwa wale wenye subra na wakutumainiao. AMEN